Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Hakuna anayesaport dhambi, dhambi ni dhambi tu bila kujali ni dhambi ya aina Gani usifikiri Mungu atakupunguzia mapigo eti kisa hukua shoga ila ni mzinifu mkubwa.

Kwa mtazamo wako wa kibinadamu unaona shoga ndiye mdhambi sana ilhali wewe mzinifu huna tofauti nae? Tuache dhambi tumrudie MUNGU muda ungalipo, Asante, karibu sana
Dhambi ya kula mbumbusi ni common kwa Dunia nzima😅.. vijana mmekazana kusapoti huu upuuzi dah... Hongereni kufukuana matopeni.
 
Habari za usiku Wana Jf twende mojamoja kwenye mada.

Leo nimekutana na swali mahali linajadiliwa👇👇👇

Je Kwa kijana wa kiume kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi baada ya balehe hupelekea kupata viashiria vya ushoga.

KATAA ushoga Linda kizazi chako
 
Tena isiwe kwamba katika harakati za kudidimiza ushoga itokee tabia za upotovu zinaungwa mkono..
 
Dawa ya hawa viumbe ni kuwazika wakiwa hai, chimba shimo refu kisha fukia.
 
Back
Top Bottom