Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ni kampeni ya vikundi vikundi haina impact kivile.. Mikwara ni mingi sana lakini naifananisha na joka la mdimu ama joka la kibisa... Serikali ndio inapaswa itoke hadharani kukemea, kulaani na kuukataa ushoga, kitu ambacho sidhani kama kitawezekana
Natamani dada Kamala akija TZ aseme maneno kama haya ili nione reaction ya wabongo πŸ˜…
Your browser is not able to display this video.
 
Ma baunsa poa[emoji23] wame left group wa west huu ushenzi wabaki nao kwao sasa namuelewa Putin kaya kataa haya mashezi ya upinde yanatuharibia jamii zetu . Hakuna mzazi anaye furahia Aya mashenzi jamii ya kitanzania na Africa na hata biblia mwanaume ni kiongozi na mwenye maamuzi, akizaliwa mtoto wakiume unakua umezaa ukoo linage inaendelea sasa hawa mavi Wana tuletea usodoma watoto wasiwe tena na nguvu za kiume wawe maupinde na walaaniwe serikali fukuza hii mizungu nchini wana najisi nchi, jamii isifumbie macho huu upuuzi wachungaji acheni injili za kubembeleza semeni ukweli na kemeeni huu uchafu, jinsia ya kiume imevamiwa, men down!!
View attachment 2570030View attachment 2570031
 
Shehe miyeyusho huyo nimecheka sana, eti mwanaume unainama kama bodaboda! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Maafisa usafirishaji wamewakosea nini aisee!
 
Hii dhana ya kusema mabaunsa wengi ni mashoga ni uongo
Tena huu uongo unachochewa na mashoga sijui agenda ya ni gani
 
natamani tuanzishe kampeni ya kuupinga uchawi/ushirikina kwa style hiihii, yaani lizungumziwe kila kona (kanisani, msikitini, wanasiasa, media zote n.k). Uchawi unamadhara sana kwa taifa letu.
Ni kampeni itakayofeli vibaya mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…