Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Na utakuta wanaosema ivo ni wanaume wenye vitambi na minyama wale wavivu kufanya mazoezi na wanatamani wapange mbavu. Wanafikiri kazi ndogo hiyoHii dhana ya kusema mabaunsa wengi ni mashoga ni uongo
Tena huu uongo unachochewa na mashoga sijui agenda ya ni gani
Ama kampeni ya kupinga wizi na ufisadi na rushwa tukirejea report ya CAG.natamani tuanzishe kampeni ya kuupinga uchawi/ushirikina kwa style hiihii, yaani lizungumziwe kila kona (kanisani, msikitini, wanasiasa, media zote n.k). Uchawi unamadhara sana kwa taifa letu.
Naona wana wenye matumbo na vitambi wana ajenda ya kuchafua tasnia ya mazoezi na mbavu1)Jamesdelicious
2)Aggy pitahuku
3)Kaoge (alihojiwa na zamaradi)
4)Noel (designer wa Mond)
5)Juma Lokole
6)Kisura wa mbea
7)Afande wa Zanzibar
8)Moyo mashine (aliyekufa)
9)Michael Scolfid (wa prison break)
10)Yule mtangazaji wa Mawingu
Hawa wote hakuna Baunsa hata mmoja, Naomba unitajie list ya baunsa 10 Kama nilivyotaja
Tusioende kuchafua Wana mazoezi jamani
Au fanya ku-google neno gays tu then angalie kwenye photo ukamilishe reserch Kama ujaona 100% ni normal guys
Mbona hajataja viongozi ama wanasiasa ama viongozi wa dini na dini na wanahabari.Kada yake na Yule mwenzakeRipoti ya Mwakyembe sio mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahMshana Jr achana na kitambi cha Halison na yule mwenzake dada mwenye 2T yaani tumbo na titis wasiojua maana ya mazoezi.
Kashfa zao hizo za kuwaambia watu wa mazoezi ni mashoga hazina mashiko.
Ushoga ni tabia za watu na kila pahala hata huko kanisani kwao upo, uandishini wao wa habari upo, maofisini upo nk nk.
Wao kama wanaona wivu wanaume kupanga miili wakanyanyue na wao vyuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah makubwaaa.We demu nilishetani wewe.. Sina chakusema zaidi ya hilo... Ova
Una ushahidii??Ajabu sana Hawa mashoga wanaoendelee kuonekana kwanini serikali isiwachukulie Sheria...??.
Shoga agrey
James delicious
???
Huenda wanaona wana potential ndio maana.Hivi inakuwaje majitu kama j.lokole wanapewa airtime sana
Mule mjengoni mwao naona kama wanawafuga hao
Ova
Umeona mkuu, hapo tutakuwa tume-hit the spot(tumemkamata mchwawi).Ama kampeni ya kupinga wizi na ufisadi na rushwa tukirejea report ya CAG.
kinachosikitisha ni watu kufuata mkumbo na ushabiki wa mada, tasfiri yake nchi imejaa watu wajinga sana.Nyuzi za ushoga zimekua nyingi mpka zinachosha
Huyu dada nimemkumbuka alikuwa meneja wa Dr Shika[emoji16]. Sema haijalishi ana tabia gani, kitu anachopigania ni sahihi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu kajichubua kawa mwekundu kama tuzi ya panya.
Mchunguzi mwenyewe ni mentally retarded. Huwezi kuwa na akili timamu ukajikoboa sura ukawa mithili ya TUZI.
Kwa povu hili nimejiridhisha pasi na shaka kuwa wewe ni shogaHuyu mchunguzi apimwe mkojo, halafu atueleze amepata wapi VIPODOZI VYENYE SUMU vya kubadilisha rangi ya JUSO LAKE.
TFDA ilishapiga marufuku vipodozi hatarishi lakini yeye kaviiingiza nchini kwa magendo ili ajikoboe awe kama TUZI.
Amulikwe huyu mchunguzi feki mwenye mkorogo.
Wana wa promote walio wa inspirehizi agenda mbona mnazi promote sana [emoji706]
Kama kweli wewe ni hip-hopDunia inapo elekea nikugumu sana
Hili la Ushoga upande wangu naliona lina Kua kwa kasi sana.
Kuna Ushoga Wamoja kwa moja na Kuna Ushoga wa mwanaume kujipa Uanamke.
Ipo hivi Mfano humu Jamiiforums Unakuta Mwanaume Kajipa Id ya Kike! huyu naye Nishoga kama mashoga wengine
Unakuwaje Mwanaume na Kujipa Id ya Kike?
Kwanza Umefanya Kufikiria vizuri!?
Je Unatofauti gani na Yule Aliye Vaa nguo za Kike?
Hivi unawezaje Kutoa Kauli kali kwa mtu aliye vaa Nguo ya kike na kupaka Wanja lips nk
ikiwa wewe umeweka Id ya kike na Kuweka kabisa Frofile ya kike?
Mwanaume Unapinga Ushoga Na Una Id ya kike kisha Unatongozwa Pm na Kujipa Kila Aina ya Umwanamke kweli!!
Mambo ya Kijinga huanzia Mbali Kidogo kidogo ndio unakuwa Shoga kweli kweli
maana Unakuwa Na Id ya kike kisha Unamuomba Pesa Mwanaume
unapanga kwenda Kwake tena Unaongea nakila aina ya Umwanamke kweli!!
Mwanamke awe Mwanamke na mwanaume Awe Mwanaume.
Namjua huyo ni shoga mchafu sana anaishi Ubungo Kibangu riverside.Wee nae Una familia?? Makubwaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniii uwiiiiihNamjua huyo ni shoga mchafu sana anaishi Ubungo Kibangu riverside.