Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

1)Jamesdelicious
2)Aggy pitahuku
3)Kaoge (alihojiwa na zamaradi)
4)Noel (designer wa Mond)
5)Juma Lokole
6)Kisura wa mbea
7)Afande wa Zanzibar
8)Moyo mashine (aliyekufa)
9)Michael Scolfid (wa prison break)
10)Yule mtangazaji wa Mawingu

Hawa wote hakuna Baunsa hata mmoja, Naomba unitajie list ya baunsa 10 Kama nilivyotaja

Tusioende kuchafua Wana mazoezi jamani

Au fanya ku-google neno gays tu then angalie kwenye photo ukamilishe reserch Kama ujaona 100% ni normal guys
Naona wana wenye matumbo na vitambi wana ajenda ya kuchafua tasnia ya mazoezi na mbavu
 
Mshana Jr achana na kitambi cha Halison na yule mwenzake dada mwenye 2T yaani tumbo na titis wasiojua maana ya mazoezi.
Kashfa zao hizo za kuwaambia watu wa mazoezi ni mashoga hazina mashiko.

Ushoga ni tabia za watu na kila pahala hata huko kanisani kwao upo, uandishini wao wa habari upo, maofisini upo nk nk.

Wao kama wanaona wivu wanaume kupanga miili wakanyanyue na wao vyuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Ajabu sana Hawa mashoga wanaoendelee kuonekana kwanini serikali isiwachukulie Sheria...??.
Shoga agrey
James delicious

???
 
Hivi inakuwaje majitu kama j.lokole wanapewa airtime sana
Mule mjengoni mwao naona kama wanawafuga hao

Ova
Huenda wanaona wana potential ndio maana.

Najuta kuvamia watu PM nikidhani ni pisi kali kumbe mwisho wa siku unagundua ni gays! 😡🤬🤢🤮🤮🤮🤮
 
Ama kampeni ya kupinga wizi na ufisadi na rushwa tukirejea report ya CAG.
Umeona mkuu, hapo tutakuwa tume-hit the spot(tumemkamata mchwawi).
Maana haiwezekani taifa zima makanisani, misikitini, wanasiasa, waandishi wa habari n.k n.k lizunguziwe na kukemewa jambo moja tu kana kwamba ndo kitu kinalimaliza taifa letu, hapana!

Kweli ushoga ni mbaya na wa kupingwa kwa nguvu zote sababu unatuharibia vijana wetu, lakini je? Vipi kuhusu UFISADI, UBADHIRIFU WA MALI ZA UMMA, MATRILLION YANAYORIPOTIWA KUPOTEA baada ya CAG kufanya ukaguzi? Si yanasababisha umasikini!
Vifo mahospitalini kwa kukosa madawa na posho/mishahara na motisha kwa watumishi wa afya!
Barabara mbovu za vumbi za kurekebisha kila mwaka wakati pesa hizo zingetumika kutengeneza lami kila mahali, au ziwape vijana wetu scholarship vyuo vya nje maana hii ya kwetu haina tija mpaka leo barabara, madaraja na reli wanajenga wachina na waturuki maana yake sisi hatuna maarifa ni wajinga!
UJINGA MARADHI NA UMASIKINI! leo tunapiga kelele eti ushoga kweli? Tuko serious?
Hiki ni kituko kilichopangwa na kuratibiwa vyema kabisa! Pongezi kwake director wa muvi hii mpaka sasa Box Office imeshauza $500m
 
Mambo ya Walawi 20:13 Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu kajichubua kawa mwekundu kama tuzi ya panya.

Mchunguzi mwenyewe ni mentally retarded. Huwezi kuwa na akili timamu ukajikoboa sura ukawa mithili ya TUZI.
Huyu dada nimemkumbuka alikuwa meneja wa Dr Shika[emoji16]. Sema haijalishi ana tabia gani, kitu anachopigania ni sahihi
 
Huyu mchunguzi apimwe mkojo, halafu atueleze amepata wapi VIPODOZI VYENYE SUMU vya kubadilisha rangi ya JUSO LAKE.

TFDA ilishapiga marufuku vipodozi hatarishi lakini yeye kaviiingiza nchini kwa magendo ili ajikoboe awe kama TUZI.

Amulikwe huyu mchunguzi feki mwenye mkorogo.
Kwa povu hili nimejiridhisha pasi na shaka kuwa wewe ni shoga
 
Dunia inapo elekea nikugumu sana

Hili la Ushoga upande wangu naliona lina Kua kwa kasi sana.

Kuna Ushoga Wamoja kwa moja na Kuna Ushoga wa mwanaume kujipa Uanamke.

Ipo hivi Mfano humu Jamiiforums Unakuta Mwanaume Kajipa Id ya Kike! huyu naye Nishoga kama mashoga wengine

Unakuwaje Mwanaume na Kujipa Id ya Kike?
Kwanza Umefanya Kufikiria vizuri!?

Je Unatofauti gani na Yule Aliye Vaa nguo za Kike?

Hivi unawezaje Kutoa Kauli kali kwa mtu aliye vaa Nguo ya kike na kupaka Wanja lips nk
ikiwa wewe umeweka Id ya kike na Kuweka kabisa Frofile ya kike?

Mwanaume Unapinga Ushoga Na Una Id ya kike kisha Unatongozwa Pm na Kujipa Kila Aina ya Umwanamke kweli!!
Mambo ya Kijinga huanzia Mbali Kidogo kidogo ndio unakuwa Shoga kweli kweli

maana Unakuwa Na Id ya kike kisha Unamuomba Pesa Mwanaume
unapanga kwenda Kwake tena Unaongea nakila aina ya Umwanamke kweli!!

Mwanamke awe Mwanamke na mwanaume Awe Mwanaume.
Kama kweli wewe ni hip-hop
 
Back
Top Bottom