Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kweli kabisa mkuu sijui anawonea wapi huyu mkuu. Mana ana uzi wake mwingine kama huu huu wenyewe unahusisha watu wa gym hawa wenye vimbavu flani aisee kawasema kweli kweli sasa naona kaanzisha na huu ata kama ana nia njema ya kutoa taarifa ila kwa staili hii ni uhamasishaji sasa [emoji2955][emoji3525]
Kuna walakini mkuu.
 
Unapata $ kiasi gani kwa kuitangaza hii biashara kwa nguvu zako zote hapa JF? Naona kila uzi! Unatumika ama unatumia?
Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!

Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati

Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete

Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa

Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana

Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
 
Ifike mahala content za aina hii humu JF zipate zuio la moja kwa moja mana kwa uhuru huu watu wa aiana hii watafanya hivi kila wakati mana huyu mtu ana uzi wake mwingine unahusiana na hili hili jambo sasa kaanzisha tena huu mwingine content ile ile duh hii hatari sasa ata kwa afya ya akili zetu kuona jambo baya mara kwa mara aisee mkuu stop this non sense we kama unawaona kaa nalo huko huko au unahisi humu ndani wote tupo kwa wazazi kias kwenda bara au club mpaka tuombe ruhusa….[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Inasikitisha sana.

Hivi kwanini ushoga umeshamiri sana pwani na zenji?shida nini hasa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ya kushamiri ushoga unasababishwa na SABABU kuu 2.
1) sababu za kimwili
uwepo wa utalii na natural ya watu wa pwani si wa kufanya Kazi.
Ukiangalia ushoga maeneo mengi ambayo yana utalii au muingiliano wa watalii hivi vitendo vimeshika Sana Kasi mf. Arusha na Kilimanjaro huko ni kutokana na uwepo wa utalii..
Lakini pia watu wa pwani ni watu ambao hawapendi na wavivu wa kujishughulisha yaani wanapenda pesa za mserereko hali inayopelekea vijana wengi kuingia katika huu mtego.
Mtu anaweza TOKA bara lakini akija kukulia KWA watu wa pwani asipokuwa makini anaweza igiza tabia za uvivu.

2)Sababu ya kiroho.
Muingiliano mkubwa wa majini (mashetani) kutokana na Eneo hili kupakan na mwambao wa bahari.

Homesuxual ni mlango wa kiroho wa kukaribisha mapepo na matakataka mengi.

Wapo wanaofanya ushoga ikiwa n masharti ya fedha za kishetani na wengine kupata mvuto au mambo yao yaende.
Ukiangalia ukanda wa pwani una matukio mengi ya ushirikina hususani USHIRIKINA wa majini.
Kuanzia
Tanga,Zenji,Mombasa,Dar,Lindi,Mtwara na Pwani Yenyewe (hususani Bagamoyo)
Maeneo haya uchawi wao mkubwa huwa ni wakutumia majini na ile michezo majini wanapenda KWELI.

Ukienda bara maeneo ambayo hayajapakana na bahari ni nadra sana kukuta case za majini/uchawi wa majini.
 
Mnawaonea wapi? Mbona wengine hatuwaoni kwa idadi hiyo? Mara ya mwisho kuona kiumbe cha aina hii ni muda sana, tena kwa kuambiwa unamuona yule? Ni shoga. Inawezekana circle yako inaruhusu hilo.
Kabisaa broo... Ila mi huwa nawaona Tik tok asee...
Ila kitaa sija muonaa hata mmoja
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!

Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati

Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete

Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa

Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana

Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Kwani ni beberu US kauleta au?
 
Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!

Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati

Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete

Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa

Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana

Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mfichua mambo kweli leo umeamua kufunguka!!

inaskitisha sana kuna siku niliingia badoo ndani ya dk kadhaa tu mwenyewe ikabidi niifute ile app

yaani nilishangaa nimetumiwa picha nyingi sana kwa wakati mmoja halafu zoote zinao yesha jamaa anavyoliwa

baadae nikaona kanitumie sms ananiuliza kama mimi ni top au bottom sasa mi sijui ikabidi nimuulize yeye kwanza

akanipa jibu kuwa yeye ni bottom , nikamuuliza unaposema bottom unamaana gani akaniambia kuwa yeye ni shoga na bottom kwa tafsir yao kuwa anainamishwa

nikamtukana sana sababu mtoto wa kiume unafanya ufala namna ile

hapo hapo nikaifuta ile app ndio mpaka leo hii siitaki tena
 
2030 ni keshokutwa tu.
Wewe vipi utakuwa kundi la mashoga?
Mtoa mada nakuuliza, maana ndiye uliyeleta mada ukisema wanaume watapatikana kwa tochi
 
Kwanini thread zako zote zinahusu ushoga?
Hawa watu huwa wanakua na inferiority complex iliyozidi kipimo....wengi huonesha kuuchukia ila deep down ndo wahanga wakubwa. Huyu mleta mada kwa 98% anashiriki Gaysm
 
na ndo mana shoga moja la gym likakuzagamua likakupa mimba likakutelekeza limeenda kufukolewa uko gym.
 
Back
Top Bottom