Amani bm 150
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 315
- 488
Kwanini thread zako zote zinahusu ushoga?
Umeona ee huyu mtu si mwema kabisa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini thread zako zote zinahusu ushoga?
Kuna walakini mkuu.Kweli kabisa mkuu sijui anawonea wapi huyu mkuu. Mana ana uzi wake mwingine kama huu huu wenyewe unahusisha watu wa gym hawa wenye vimbavu flani aisee kawasema kweli kweli sasa naona kaanzisha na huu ata kama ana nia njema ya kutoa taarifa ila kwa staili hii ni uhamasishaji sasa [emoji2955][emoji3525]
Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!
Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati
Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete
Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa
Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana
Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Sababu ya kushamiri ushoga unasababishwa na SABABU kuu 2.Inasikitisha sana.
Hivi kwanini ushoga umeshamiri sana pwani na zenji?shida nini hasa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatafuta pair itakuaKwanini thread zako zote zinahusu ushoga?
Wanakuza sana hii issue...infact wana-promote indirectly!Mnawaonea wapi? Mbona wengine hatuwaoni kwa idadi hiyo? Mara ya mwisho kuona kiumbe cha aina hii ni muda sana, tena kwa kuambiwa unamuona yule? Ni shoga. Inawezekana circle yako inaruhusu hilo.
Kuna walakini mkuu.
Kabisaa broo... Ila mi huwa nawaona Tik tok asee...Mnawaonea wapi? Mbona wengine hatuwaoni kwa idadi hiyo? Mara ya mwisho kuona kiumbe cha aina hii ni muda sana, tena kwa kuambiwa unamuona yule? Ni shoga. Inawezekana circle yako inaruhusu hilo.
Kwani ni beberu US kauleta au?Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!
Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati
Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete
Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa
Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana
Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Inawezekana mkuu. Ni muda mod kupigana na watu wa aina hii.Wanakuza sana hii issue...infact wana-promote indirectly!
Mods wanatakiwa kutangaza vita na watu wa aina hii.Kabisaa broo... Ila mi huwa nawaona Tik tok asee...
Ila kitaa sija muonaa hata mmoja
Wanakuza sana hii issue...infact wana-promote indirectly!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mfichua mambo kweli leo umeamua kufunguka!!Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!
Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati
Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete
Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa
Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana
Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Shindwa2030 ni keshokutwa tu.
Wewe vipi utakuwa kundi la mashoga?
Mtoa mada nakuuliza, maana ndiye uliyeleta mada ukisema wanaume watapatikana kwa tochi
Hawa watu huwa wanakua na inferiority complex iliyozidi kipimo....wengi huonesha kuuchukia ila deep down ndo wahanga wakubwa. Huyu mleta mada kwa 98% anashiriki GaysmKwanini thread zako zote zinahusu ushoga?
Utakua shoga for 98%Shindwa
Kwaiyo kufikia 2030 baba yako na mme wako hawatakuwa marijali?[emoji24][emoji24][emoji24]