Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Aisee.Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana.
Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati.
Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete
Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa.
Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana
Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Niweka Tangazo la kazi mtandaoni kuwa natafuta vijana.
Katika hao walio apply kuna mashoga wawili.
You can see him when he open his mouth.
Its very sad kwakweli