Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tinder ni nini? Kama kuna ushoga Tanzania,kwa nini Ustawi wa Jamii hawajasema? Hapo ndio unakamatwa uongo.Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana.
Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati.
Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete
Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa.
Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana
Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Uliwatambuaje?Aisee.
Niweka Tangazo la kazi mtandaoni kuwa natafuta vijana.
Katika hao walio apply kuna mashoga wawili.
You can see him when he open his mouth.
Its very sad kwakweli
Jf inakumbwa na thread za kijinga sana kama hizi siku hizi. Lengo ni kuvuta attention kwa hawa jamaa wapuuzi .Nyie mashoga kwanini mnalazimisha kila mtu awe mshenzi km nyie
Mnazushia watu ushoga ili kuhalalisha ushenzi wenu
Kama wewe mwanaume umeamua kuingia sodoma iyo tabia baki nayo
Ukianza kujinyea au kunuka mavi ni wewe acheni kulazimisha kila mtu awe km nyie
Jf inakumbwa na thread za kijinga sana kama hizi siku hizi. Lengo ni kuvuta attention kwa hawa jamaa wapuuzi .
Kwa hiyo mtoa mada wewe umesema uko neutral.....maana yake ushoga kwako unaweza kuwa sio sawa na pia inaweza kuwa sawa vilevile?Idadi ya mapenzi ya jinsia moja tz ni kubwa sana hadi marafiki zangu nao wamo
You can agree with me kwamba the rate of same sex relationship in Tanzania is higher than we think.
You can expect someone to be a pure straight but behind the scene is a secret gay
Others are married but they continue to hold this relationship but secretly.
There a lot of people thousands up to hundred thousands of people who engage on this issues
Wapo wengi sana kiwango cha wanaojihusisha ni kikubwa sana hapa sizungumzii wafanywaji nazungumzia wote, wafanyaji na wafanywa.
Bado hawa ambao wapo kwenye ndoa ambazo wakitongozwa na gays huko mitandaoni wanaaccept
Hapa bongo katika watu 100 wanaotongozwa na gays 20 tu ndo wanakua na uwezo wa kukataa hao 80 wanaingia mazima.
Wengine wasio na interests wataomba kwanza hela ili wamfanye mfanywa hivyo
Tusijigambe tupo salama, hatupo salama hata kidogo halafu ndio waongoza kwa unafiki wa kuwakandia na kuwaponda mashoga na ndo wanaongoza kwa kujifanya kuandika "mungu tulindie kizazi chetu" kumbe ndo wanaongoza kwa kuwafanya gays bongo bila unafiki mambo hayaendi
Wanaongoza kwa kujifanya kuwakandia na kuwachukia mashoga ukifatilia wengi wao 98% ndo wanaongoza kwa kutembea na mashoga au ndo mashoga wenyewe mtu anawakandia ila akifika huko inbox analainika tu na kuomba radhi kabisa kwamba samahani pale nilijifanya kuwachukia ila nimefanya hivyo ili watu waone nawaunga mkono ila haya mambo napenda.
Kuna NG'O moja nilijivolunteer majuzi ni balaa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ni wengi kuliko nilivyodhani wamo waheshimiwa, watu wa dini, wasanii, na kila aina ya watu huo mtandao ni mpana sana.
Sio poa kwakweli hata hivyo ndo maana simuamini mtu juu ya haya mambo unakuta mtu ndo yule yule kuna rafiki yangu nilikua namuamini sana tena yupo huko kwenye idara fulani hivi ukimsikiliza anavyokandia na kusimamia misimamo kindakindaki, nilikuja kugundua yeye na jamaa mmoja niliyekua namuheshimu tokea shuleni alikua kijana mtanashati kuwa nao wana mahusiano ya muda mrefu sana ya jinsia moja.
Jamaa akitoka huko kambini akija tu wanaenda kula bata na mshikaji mara mahotelini kila sehemu nikawa nashangaa mimi na washikaji zake wengine mbona sisi wanae mbona kama katutenga hivi?maana muda wote akija anakua busy na huyo jamaa mwingine kumbe nao ni wale wale niligundua miezi kadhaa iliyopita na sijawahi kumuuliza wala sitomuuliza nimegundua huku duniani unafiki upo mkubwa sana.
Kwa hali ilivyo sina binafsi sina msimamo wowote kwasasa nimebadilika sana sio kwamba nasapoti haya mambo mimi siungi mkono wala sitokaa kuunga mkono lakini haimaanishi nawachukia wanaofanya hivyo mimi nipo neutral katika hili maana bado safari ya ubaba ndo imeanza ndo kwanza mtoto mmoja sitarajii wanangu wawe hivi na naomba mungu aniepushie hili kwa watoto wangu, kwahiyo siwezi kuwa na msimamo juu ya hao wanaofanya hivyo maana siijui kesho yangu, kila mtu atahukumiwa na mungu kulingana na anayoyafanya.
[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Ndege wafananao
Hata jina la id yako Lina suggest
Nyie ni wale wale tuUko sahihi kwa 100%,Mtoa mada mwenyewe Ni mchicha mwiba na thread zake asilimia kubwa Ni hizo story za Mashoga.Nadhani jicho lake la chini litakua linapiga indicator weekend hii.
We mwenyewe ni wale waleNdege wafananao
Hata jina la id yako Lina suggest
InawezekanaMashoga wote wanamagonjwa ya akili, akili zao haziko normal kutokana na kuathiriwa kwa ubongo wao, na aina fulani ya virusi
Acha ujinga basi kwani hujawah tongozwa na shoga mtandaoni?ukiona hujawahi ujue labda una shidaKwa hiyo mtoa mada wewe umesema uko neutral.....maana yake ushoga kwako unaweza kuwa sio sawa na pia inaweza kuwa sawa vilevile?
Na kuwa kuna watu hapa jukwaani wanalaani mapenzi ya jinsia moja ila DM wanaomba msamaha kuwa walijisemea tu kupinga ushoga.
Swali....huu msamaha unambwa DM ya nani ya kwako au ya mtu? Kama sio wewe Umejuaje mambo ya DM ya mtu? Mkuu ebu acheni huu ushe.zi
Unakuwaje neutral kwenye suala la ushoga mkuu?Idadi ya mapenzi ya jinsia moja tz ni kubwa sana hadi marafiki zangu nao wamo
You can agree with me kwamba the rate of same sex relationship in Tanzania is higher than we think.
You can expect someone to be a pure straight but behind the scene is a secret gay
Others are married but they continue to hold this relationship but secretly.
There a lot of people thousands up to hundred thousands of people who engage on this issues
Wapo wengi sana kiwango cha wanaojihusisha ni kikubwa sana hapa sizungumzii wafanywaji nazungumzia wote, wafanyaji na wafanywa.
Bado hawa ambao wapo kwenye ndoa ambazo wakitongozwa na gays huko mitandaoni wanaaccept
Hapa bongo katika watu 100 wanaotongozwa na gays 20 tu ndo wanakua na uwezo wa kukataa hao 80 wanaingia mazima.
Wengine wasio na interests wataomba kwanza hela ili wamfanye mfanywa hivyo
Tusijigambe tupo salama, hatupo salama hata kidogo halafu ndio waongoza kwa unafiki wa kuwakandia na kuwaponda mashoga na ndo wanaongoza kwa kujifanya kuandika "mungu tulindie kizazi chetu" kumbe ndo wanaongoza kwa kuwafanya gays bongo bila unafiki mambo hayaendi
Wanaongoza kwa kujifanya kuwakandia na kuwachukia mashoga ukifatilia wengi wao 98% ndo wanaongoza kwa kutembea na mashoga au ndo mashoga wenyewe mtu anawakandia ila akifika huko inbox analainika tu na kuomba radhi kabisa kwamba samahani pale nilijifanya kuwachukia ila nimefanya hivyo ili watu waone nawaunga mkono ila haya mambo napenda.
Kuna NG'O moja nilijivolunteer majuzi ni balaa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ni wengi kuliko nilivyodhani wamo waheshimiwa, watu wa dini, wasanii, na kila aina ya watu huo mtandao ni mpana sana.
Sio poa kwakweli hata hivyo ndo maana simuamini mtu juu ya haya mambo unakuta mtu ndo yule yule kuna rafiki yangu nilikua namuamini sana tena yupo huko kwenye idara fulani hivi ukimsikiliza anavyokandia na kusimamia misimamo kindakindaki, nilikuja kugundua yeye na jamaa mmoja niliyekua namuheshimu tokea shuleni alikua kijana mtanashati kuwa nao wana mahusiano ya muda mrefu sana ya jinsia moja.
Jamaa akitoka huko kambini akija tu wanaenda kula bata na mshikaji mara mahotelini kila sehemu nikawa nashangaa mimi na washikaji zake wengine mbona sisi wanae mbona kama katutenga hivi?maana muda wote akija anakua busy na huyo jamaa mwingine kumbe nao ni wale wale niligundua miezi kadhaa iliyopita na sijawahi kumuuliza wala sitomuuliza nimegundua huku duniani unafiki upo mkubwa sana.
Kwa hali ilivyo sina binafsi sina msimamo wowote kwasasa nimebadilika sana sio kwamba nasapoti haya mambo mimi siungi mkono wala sitokaa kuunga mkono lakini haimaanishi nawachukia wanaofanya hivyo mimi nipo neutral katika hili maana bado safari ya ubaba ndo imeanza ndo kwanza mtoto mmoja sitarajii wanangu wawe hivi na naomba mungu aniepushie hili kwa watoto wangu, kwahiyo siwezi kuwa na msimamo juu ya hao wanaofanya hivyo maana siijui kesho yangu, kila mtu atahukumiwa na mungu kulingana na anayoyafanya.
[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Ule ni ugonjwa, mwenye akili timamu hawezi kuweka dude lake kwenye uchafu wa vyakula vyakula na gesi iliyojaa tumboni.