Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Aisee.

Niweka Tangazo la kazi mtandaoni kuwa natafuta vijana.
Katika hao walio apply kuna mashoga wawili.
You can see him when he open his mouth.
Its very sad kwakweli
 
Mbona umekasirika sana?
 
Dar ni sehemu ndogo sna Tanzania,ukiiondoa dar kieneo ata ukiitazama Tanzania Kwenye ramani hutagundua mapungufu
 
Ziache pisi ziendelee kuringa tuuu! Muda si mrefu kibao kitageuka watakuwa wao ndio Madanga...
 
Mnawaonea wapi? Mbona wengine hatuwaoni kwa idadi hiyo? Mara ya mwisho kuona kiumbe cha aina hii ni muda sana, tena kwa kuambiwa unamuona yule? Ni shoga. Inawezekana circle yako inaruhusu hilo.
Mazee kwa sasa huwezi kuwajua sababu sifa yao kubwa ni usela..yaani wasenge wenye muonekano wa kisela ndiyo wana soko kubwa sana...Ukisubiri waliolegea utasubiri sana.....wana mitandao yao wanajieleza hivyo....
 
Ila mna exaggerate sana ...siyo kwa wingu huo.....naona wewe unahamasisha ushenzi huu
 
Nimekaa Dar, Arusha, Moshi, Mbeya, Dom n.k

Hao mashoga huwa mnakutana nao wapi? Ukiniambia Moshi na Arusha kumejaa mashoga siwezi kuamini hata unishikie bunduki.

Hiyo research yako NI kiboko yaani Africa mashariki na kati Tanzania inaongoza????!!!

Moderator hivi nyuzi kama hizi kwanini mnazilea?
 
Mazee kwa sasa huwezi kuwajua sababu sifa yao kubwa ni usela..yaani wasenge wenye muonekano wa kisela ndiyo wana soko kubwa sana...Ukisubiri waliolegea utasubiri sana.....wana mitandao yao wanajieleza hivyo....
Sawa. Naomba MUNGU wabaki kwenye mitandao yao.
 
Inasikitisha sana.

Hivi kwanini ushoga umeshamiri sana pwani na zenji?shida nini hasa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ya kihistoria pia.Wanawake walilinda bikira zao wakaruhusu laini 2 itumike Ili kulinda laini one Ili kuepuka aibu.
Zamani uarabuni huna bikira kisu kinakuhusu so kulinda bikira unafungua laini two, ikapelekea wanaume kunogewa
 
[emoji780][emoji780][emoji780][emoji780][emoji780]
Kuna kitu kuhusu wewe
 
tangu uanze had leo mbona hawajaisha ulianza miaka ya sodoma had leo n miaka zaidi ya laki moja….acha mihemuko
Sijui watu wametoa wapi dhana kwamba ushoga unafundishwa au ukipewa airtime ndio idadi ya mashoga itapaa. Kama lijali ni lijali tu, ukizaliwa na mkanganyiko wa kijinsia hamna dawa zaidi ya kukubali matokeo. Ni sehemu ya maisha sio siasa, propaganda au mambo ya kiimani. Umetoa mfano mzuri, ushoga upo toka zama za giza na bado vidume kamili wapo kibao hawajaisha hadi leo.
 
Mnawaonea wapi? Mbona wengine hatuwaoni kwa idadi hiyo? Mara ya mwisho kuona kiumbe cha aina hii ni muda sana, tena kwa kuambiwa unamuona yule? Ni shoga. Inawezekana circle yako inaruhusu hilo.
Swali zuri sana
 
Hiki kitu kinakuja juu kwa kasi sana, ukienda sehemu za starehe Tabata, sinza, Kigamboni, Kinondoni unaweza jionea jinsi vijana wamechafukwa roho.
 
Si kweli!asilimia kubwa wanaitwa mashoga bongo kutokana na maumbo yao au sauti ,zao,
Unapiambiwa huyo shoga jaribu kufuatilia
Watu wengi wamedhalilishwa kwa kuitwa mashoga
Shoga ni shoga uwa hawajifichi hata awe na umbo la misuli
Tupunguze mihemko kwa kuita tu mtu shoga ,tunawaumiza mioyo ndugu zetu

SEMA TZ NI WATAALAMU WA KUZUSHA MAMBO HATUNA TAKWIMJ HALISI
 
Yaani iko hivi huyu jamaa kaamua kuelimisha jamiii sasa km anafanya au hafanyi yeye kaleta taarifa mwenye sikio na asikie mwenye kuweka gundi aweke kuuuumbe na Mbagala jamani kule kuchafu kuchafu eti nako kuna mashoga!

si watakuwa ni full fungus??? kule maji safi ya bomba wana pata wapi maskini wale?? Hosp nzuri nzuri za kuwapima watapata wapi?? ile ya Rangi tatu choka mbaya mweeeeee! kazi ipo!
 
Shetani kazini, lakini ushoga umekuwepo kabla ya media kuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…