Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Sheria za nchi yetu zinakataa mapenzi ya Jinsia moja na zinakataza kwa msisitizo mwanaume kuingiliwa kinyume

Kinachotakiwa ni kuhakikisha kila tukio sheria inachukua mkondo wake
 
Mimi sio tambi tambi ila huu uzi utagonga 1K comments within 24hrs
 
Hebu tujadilini mambo ya maana, Yani Rais aache kufanyia Kazi mapendekezo ya CAG atoe matamko kuhusu hizo laana?
Tatizo la watanzania ni malalamiko na kutafuta mtu wa kumtupia lawama always, kila mtu achukue nafasi yake kwenye jamii, hayo matamko tuyatoe kwenye familia zetu....Kwa taarifa yako waendesha hizo kampeni za ushoga hawana shida na nyie mibaba mijitu mizima yenye miaka 36 sijui 43 mliokomaa videvu, target Yao ni hawa watoto wadogo wasiojua Jema na Baya....sasa wewe unataka ukeshe bar, mkeo ashinde group za wasap halafu Rais Samia ndo akulele na kumfunza mwanao, tena Kwa tamko🤣🤣🤣
Hebu kila mmoja atimize wajibu wake, wewe mwenyewe ni Rais hapo ulipo.
 
#KATAA UBASHA📢📢📢📢📢
#KATAA USHOGA📢📢📢
#MWANAMKE KATAA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE📢📢📢
 
Msimamo wa Nini wakati sheria tayari zipo kwamba ukijihusisha na ushoga Kuna extreme measures kama kifungo Cha mpaka miaka 30 depending na umri wa uliyemnajisi. Sio tu ushoga hata kumuingilia mkeo kinyume na maumbile nayo ni kifungo kikali.



Sasa mnataka msimamo Gani Tena wakati hayo anayofanya Museveni kwa Sasa tumeshayafanya miaka mingi iliyopita? Ingekua hakuna sheria kuhusu suala Hilo hapo ungekua na hoja. Kazi ni kwa DPP Sasa kuhakikisha anawaburuza mahakamani wenye kesi hizo na hata wwe kama unafahamu Kuna mtu anaingiliwa au anaingiliwa watu kinyume either ME au KE kashtaki maana sheria zipo na atafungwa kuliko kulia Lia mtandaoni wakati tayari maelekezo yapo.
 
Wee nashindwa kukuelewa je una maana MTU mzima ni haki kuwa shoga ila kwa mtoto Ni haramu? Au tuseme mtu mzima mwanaume ni halali kumwingilia mwanamke kinyume cha maumbile na Ni kosa pale inapokuwa Ni mtoto ameingiliwa? Mnajaribu kuhamisha magoli lakini semeni ukweli kuwa kuna mahali tumeshajifunga na mikataba sasa mnakosa pakutokea
 
Nachomaanisha hata Rais akitoa tamko hamna kitachobadilika, mabadiliko yanaanzia na kila mmoja wetu....pia hii kampeni IPO serious, target Yao sio Sisi watu wazima, hivi mbaba Kama wewe utaahidiwa nini Ili uwe papai? Wao wanataka hao watoto Ili waharibu kizazi kijacho, hivyo tulinde vijana wetu, tamko halilei watoto.
Sasa hata Rais akitoa tamko, halafu ndio nini? Sisi wanajamii tuupinge uliwati Kwa nguvu zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…