Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Nimesikia, lakini source ya mambo yote hayo ni ushoga!

Mishoga na mibasha imejaa maofisini....


Taifa linakosa vijana Mahodari, Majasiri, Mashupavu na Mashujaa

Kwamba mapunga yanapigwa pipe kwa sababu vinyeo ni vyao na yameamua hivyo? Sasa hiyo inatuhusu nini sisi wengine ndugu?

Kama hata wanataka wakachomeke hadi mipini ya majembe kwamba hilo ndilo furaha yao? Inatuhusu Nini sisi wengine?

Kwa nini usijikite kuwaangalia nduguzo chini ya miaka 18 kuhakikisha wanakua kwenye maadili unayoyapenda, ukaachana na hii michoko yenye hati miliki ya hivyo viungo vyao vyote?

Hudhani kuwa kupambana na hawa hapa:



ilikuwa ni jambo la tija zaidi ndugu?
 
Umeongea kimwili sana Ndugu. Hii issue ni ya kiroho. Roho ya USHOGA inazidi kusambaa sana TZ kutokea hapo SINZA. Lazima hili suala tulikemee kila kukicha...

Roho chafu huwa hazipendi kukemewa au kuambiwa ambiwa jambo lilelile kila wakati kwasababu huwa zimejaa kiburi + majivuno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…