Kwa hiyo kama kabla hela haujatoka unaonjwa kwanza ( kuthibitisha kuwa wewe ni memba) utakuwa tayari kuichangamkia hiyo " fursa" ?Kama kichwa Cha thread hapo juu nataka niwaambie kuwa ushoga kwa Sasa ni fursa Kama fursa nyingine kupitia kwenye ngo zinazo pigania haki zao hao ma lbgtq....mfano kuomba ruzuku kupitia foundation mbali mbali,kuajiriwA kwenye hizo ng o....nk
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Labda jf ina mkono katika hili, si bureModerator mbona kila post ni ushoga? Kwani mnapromote na nyie jf?
Jana nilikuwa sehemu fulani dar nilikuwa nimekaa na wadada flan wa mjini! Wanakata kilaji kama mamba . Akaja dogs mmoja kumbe shoga aliomba namba ya dada mmoja pale baadae akamuomba yule dada amtafutie bwana lakini mwenye dushe dogo ili akamkanyage dah. Nashangaa ndugu yangu unaita fursaKama kichwa Cha thread hapo juu nataka niwaambie kuwa ushoga kwa Sasa ni fursa Kama fursa nyingine kupitia kwenye ngo zinazo pigania haki zao hao ma lbgtq....mfano kuomba ruzuku kupitia foundation mbali mbali,kuajiriwA kwenye hizo ng o....nk
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Habari za ushoga ni too overrated. Sijui kama Yana muda mrefu.. Imekuwa kama upepo ule wa misemo kama 'hamsemi..., kama wote......., usitufokee!'. Nina hakika ikipita mwezi huu hatutazisikia tenaUkifuatilia kwa umakini utagundua misaada mingi inayokuja Nchini kutoka ulaya ni ya mashirika yanayosapoti mapenzi ya jinsia Moja (ushoga, usagaji n.k) mpaka NDOA za wanyama.
Sisi Tanzania tumekuwa watu wakupokea na mwisho matokeo ndo haya tunayoyaona mpaka sasa, Tanzania imeteuliwa kuwa moja ya kituo kikubwa na makao makuu ya ushoga. Usinambie nikupe uthibitisho kama una macho usifosi nikupe yangu uone.
Madawa ya kulevya, hii ni biashara ambayo inahusian na ushoga maana watu asilimia 45 ni mashoga wanaofanya biashara hii sio maboss nasemea wabebaji kama maboss nao ni mashoga sawa ila me natambua kuwa wabeba ngada asilimia fulani ni mashoga.
Kivipi? Wabeba ngada ni mashoga.. ushoga wao unaanza pale anapoanza kupandisha yale madawa uko sehemu za siri (Sehemu ya Haja kubwa) akifanya hivo mara kwa mara lazima anatumbukia katika ushoga.
Chunga sana wenye kauli za tafuta pesa na ukicheki kweli yuko na maisha fulani hivi Mazuri anamiliki ndiga kali hana duka wala ni au anaweza kuwa na duka la kuzugia ila any where .
Wasomi hata wasio kuwa wasomi, viongozi hata wasiokuwa viongozi, watoto hata wasio kuwa watoto wote wamezama kwenye janga hili... kama kila mtu atafanyiwa mahojiano ya kina kila mtu atafunguka jinsi alivoingia kwenye dhambi hiyo.
Nishawai kuwa na Demu msagaji , chanzo yeye ni kukaa boarding hilo tu akawa amenogewa. Ila sion kama kuna afadhari ya shoga na msagaji make yote ni ukiukwaji wa utaratibu.
...... Afu watu kkuweij na akili za ziada huku jf kuna watu wanajifanya wajuaji kumbe mbumbu wa kutupwa mbali na elimu zao. Wenye elimu asilimia fulani ndo hao mashoga .
...... Mi sio kama wewe ....
Kama hao uwe na HelaNapata shida na kuona aibu Sana kulizungumzia hili swala!! Najiuliza unawezaje kumjamani mwanaume mwenzio wakata akina dada tena warembo wamefurika mitaani!??Huwa nashindwa nianzie wapi!! Hebu ona hii pisi picha!! Niache vitu vya mifano hii nilifate dume lenye kengele kama mm!?? Hapana hapanaaaaaaaView attachment 2582182
ukimkataa Shetani Mkatae yeye na kazi zake zote. Sio hauli nyama ya nguruwe ila unapenda mchuzi wake.Kama kichwa Cha thread hapo juu nataka niwaambie kuwa ushoga kwa Sasa ni fursa Kama fursa nyingine kupitia kwenye ngo zinazo pigania haki zao hao ma lbgtq....mfano kuomba ruzuku kupitia foundation mbali mbali,kuajiriwA kwenye hizo ng o....nk
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mtatolewa sana marinda kwa tamaa za kisngeKama kichwa Cha thread hapo juu nataka niwaambie kuwa ushoga kwa Sasa ni fursa Kama fursa nyingine kupitia kwenye ngo zinazo pigania haki zao hao ma lbgtq....mfano kuomba ruzuku kupitia foundation mbali mbali,kuajiriwA kwenye hizo ng o....nk
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Amewaza kibepari. Katika dunia ya kibepari maadili hayana nafasiUmewaza ujinga sana..
Mamaae hebu naomba nichukue hii picha nikajilipue moja la fasta.Napata shida na kuona aibu Sana kulizungumzia hili swala!! Najiuliza unawezaje kumjamani mwanaume mwenzio wakata akina dada tena warembo wamefurika mitaani!??Huwa nashindwa nianzie wapi!! Hebu ona hii pisi picha!! Niache vitu vya mifano hii nilifate dume lenye kengele kama mm!?? Hapana hapanaaaaaaaView attachment 2582182
We ni jinga saaana km una degree we ni senge senge bwabwa yaan upate Mali kupitia ufirauni shenzi na mbwa Koko weweKama kichwa Cha thread hapo juu nataka niwaambie kuwa ushoga kwa Sasa ni fursa Kama fursa nyingine kupitia kwenye ngo zinazo pigania haki zao hao ma lbgtq....mfano kuomba ruzuku kupitia foundation mbali mbali,kuajiriwA kwenye hizo ng o....nk
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hizo za rainbow sio nzuri mkuu Bora wangeleta za Pasaka, tuna maadiri yetu sisikwenye lile tangazo wanaleta za rainbow, yaani zile alama za upinde zinaonekana japo kwa kificho kificho
Tatizo ni wewe sio wao!!Hivi ni mimi pekee yangu nimeona na naendelea kuona????
Jana wakati naangalia mpira kupitia dstv channel 223 supersport likawa linakuja tangazo la golf kipindi cha mapumziko, kwenye lile tangazo wanaleta za rainbow, yaani zile alama za upinde zinaonekana japo kwa kificho kificho, na hata tena wakati naangalia marudio ya mpira wa jana Man Utd na Everton nimeliona lile tangazo lao la upinde.
Hata leo kwenye mechi kali ya Liverpool na Arsenal watakua wanaleta hilo tangazo lao,jamani hivi kwa nini hili suala linapigiwa chapuo sana?? Dstv huna napenda kuangalia mpira, kama wanaonyesha hayo mambo yao ya ajabu ajabu nitaacha kabisa kulipia hii huduma yao kusema na ukweli,kijana wangumakawa anasema kuna channel nyingi sana zimefungiwa dstv,maana nilikua sijui kama kuna channel za dstv zimefungiwa!!
Serikali yangu ya Tanzania,taasisi za dini kama Bakwata,Tec,na wengine wenye nguvu,tuungane pamoja kukemea huu ujinga, sisi tuna mila na tamaduni zetu,pia hata maandiko yanasema wazi,familia ni Baba,Mama na watoto, sasa iweje leo hii mwanaume aoe mwanaume mwenzake au mwanamke aoe mwanamke mwenzake?? Kuna familia kweli hapo???
TUTOLEE MFANO:-Tatizo ni wewe sio wao!!
Hivi kwa akili yako upinde wa mvua una uhusiano gani na ushoga!!?
Nani alieanzisha hiyo logic na wewe ukanasa!!?
Hivi upinde wa mvua ulikuwepo enzi za nuhu kwanini leo utumike kama nembo ya ushoga na wewe uamini ni kweli!!?
Kwanini uingie mkenge kama huo wa kuamini upinde wa mvua kuwa nembo ya ushoga wakati upinde ulishakuwepo kabla ya ushoga kuwepo na haukumaanisha ushoga!!?
Kama je ingekua benders ya kijani tu ungeamini ni ushoga huo!!!?
Tunakuza hii dhana ya upinde na ushoga wakati haina uhalisia wa kimantiki!! We unavouona upinde wa mvua na rangi zake unauhusiano wote na mwanamke kuinamishwa na mwanamme mwenzie!!!?
We unadhani hivyo kweli!!!?
Ni Nani huyo unaempa umaarufu alieanzisha hii move hadi uikubali na kumpa kichwa!!!?
Yaani huyo aloeleta hiyo logo na logic kapata umaarufu wa bure coz hakuna uhusiano wa rangi za upinde wa mvua na ushoga unamaanisha agano la mungu kwa nuhu ni la ushoga!!!?
MI NADHANI TUANZE KUFIKIRI UPYA DHANA HII!!
Unawasaka, una upweke gani?