NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Ushoga (USENGE) ni kitendo Cha kuingiliwa ama kumuingilia binadamu/mtu kinyume na maumbile.
Shoga ni mshiriki wa Hilo tendo eitha anaingiliwa au ana muingilia mwenzake kinyume na maumbile hiyo kwa jinsia ya kiume.
Naposema jamii inapenda "ushoga" Nina maanisha ndani ya jamii yetu Kuna wanaume tunaishi nao na michezo yao ndiyo hiyo kuwaingilia/kula kichuri/kufukua tope / wanaume wenzao hiyo ndiyo maana halisi ya jamii kupenda ushoga.
Kwa Nini nasema jamii inatetea mashoga?? Naam hapa nitatoa simulizi moja maridhawa.
Kuna kipindi Fulani mtoto wa anko wangu alikuwa anaolewa katika hiyo sherehe walikuja mashoga Kama watatu walivalia Madera ulipofika muda wa kutunza na wao wakifika waliomba wawekew nyimbo ya taarabu aise walichokifanya pale ni aibu sana wanazungusha viuno Kama wanawakw, watu walijaa nakuwapigia makofi na vigelegele.
Mimi na rafiki yangu tuliamua kuingilia Kati kwenda kuzima mziki, nilishika myk nikatangaza kuwa "sitaki kuwaona hawa mashoga kwani haileti tafsiri nzuri katika jamii"
Uliibuka mzozo mkubwa sana kwani kundi kubwa la watu lilifurahia sana lilitaka wale mashoga burudani iendelee.
Kiufupi wale mashoga waliletwa kutoka huko buguruni ndani ndani na Wala siyo wenyeji wa pale lakini jamii/kundi la watu liliwatetea sana, Mimi na rafiki yangu tulikaza msuli pale.
Mara zikaibuka stori kuwa tumekuja kuvuruga sherehe ya dada yangu/mtoto wa anko, alikuja mwenyekiti wa serikali za mitaa tukazozana nae aliamua kupiga simu polisi kuwa sisi tumakuja kuvuruga amani kwenye mtaa wake, ndipo Mimi na rafiki yangu tuliamua kutoweka eneo hilo/ kwenye sherehe hiyo kwa kuhofia kubambikiwa kesi zisizo na mashiko.
Sasa kwa picha hiyo ni dhahiri jamii inatetea mashoga waendelee kufanya upumbavu wao, hata kwenye show za wasanii wakubwa huwa wanapandisha mashoga na mashabiki wanapiga kelele kuonyesha wanafurahia kitendo hicho Cha mashoga kumwaga radhi mbele yao.
My take, ushoga ni ngumu kuisha Ila utaendelea kukua kwa kasi maana jamii, inapenda ushoga nakutetea ushoga hatupaswi kupiga kelele kwa serikali wakati sisi huku chini tunaufurahia ushoga.
Shoga ni mshiriki wa Hilo tendo eitha anaingiliwa au ana muingilia mwenzake kinyume na maumbile hiyo kwa jinsia ya kiume.
Naposema jamii inapenda "ushoga" Nina maanisha ndani ya jamii yetu Kuna wanaume tunaishi nao na michezo yao ndiyo hiyo kuwaingilia/kula kichuri/kufukua tope / wanaume wenzao hiyo ndiyo maana halisi ya jamii kupenda ushoga.
Kwa Nini nasema jamii inatetea mashoga?? Naam hapa nitatoa simulizi moja maridhawa.
Kuna kipindi Fulani mtoto wa anko wangu alikuwa anaolewa katika hiyo sherehe walikuja mashoga Kama watatu walivalia Madera ulipofika muda wa kutunza na wao wakifika waliomba wawekew nyimbo ya taarabu aise walichokifanya pale ni aibu sana wanazungusha viuno Kama wanawakw, watu walijaa nakuwapigia makofi na vigelegele.
Mimi na rafiki yangu tuliamua kuingilia Kati kwenda kuzima mziki, nilishika myk nikatangaza kuwa "sitaki kuwaona hawa mashoga kwani haileti tafsiri nzuri katika jamii"
Uliibuka mzozo mkubwa sana kwani kundi kubwa la watu lilifurahia sana lilitaka wale mashoga burudani iendelee.
Kiufupi wale mashoga waliletwa kutoka huko buguruni ndani ndani na Wala siyo wenyeji wa pale lakini jamii/kundi la watu liliwatetea sana, Mimi na rafiki yangu tulikaza msuli pale.
Mara zikaibuka stori kuwa tumekuja kuvuruga sherehe ya dada yangu/mtoto wa anko, alikuja mwenyekiti wa serikali za mitaa tukazozana nae aliamua kupiga simu polisi kuwa sisi tumakuja kuvuruga amani kwenye mtaa wake, ndipo Mimi na rafiki yangu tuliamua kutoweka eneo hilo/ kwenye sherehe hiyo kwa kuhofia kubambikiwa kesi zisizo na mashiko.
Sasa kwa picha hiyo ni dhahiri jamii inatetea mashoga waendelee kufanya upumbavu wao, hata kwenye show za wasanii wakubwa huwa wanapandisha mashoga na mashabiki wanapiga kelele kuonyesha wanafurahia kitendo hicho Cha mashoga kumwaga radhi mbele yao.
My take, ushoga ni ngumu kuisha Ila utaendelea kukua kwa kasi maana jamii, inapenda ushoga nakutetea ushoga hatupaswi kupiga kelele kwa serikali wakati sisi huku chini tunaufurahia ushoga.