Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Alooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tomboys na hao Wavulana hua wana bifu lao la kimya kimya si umeona hapo kasema walikua wananyang'anyana mabinti [emoji38]
Hua wanaamini Tomboys wanabeba mabinti warembo na wao wanaachiwa magalasa[emoji2960]
Hawana cha kusitisha maana hatujawahi kupewa misaada zaidi ya kutunyonya!!Ushoga unapromotiwa Sana pamoja na usagaji na mkizingua tu kukataa wazi wazi ushoga misaada Inasitishwa.Ndyo tatizo la nchi masikini kama zetu tunaogopa kusitishiwa misaada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahUshoga unapromotiwa Sana pamoja na usagaji na mkizingua tu kukataa wazi wazi ushoga misaada Inasitishwa.Ndyo tatizo la nchi masikini kama zetu tunaogopa kusitishiwa misaada.
Sio kwamba ni wasahaulifu. Tunaongozwa na mapenzi au chuki. Viwili hivi vinapofua.Ni JPM huyu huyu ambae wizara yake ya mambo ya nje ilitoa tamko kumkana Makonda dhidi ya vita yake ya Ushoga baada ya wafadhili kuanza kukata misaada? Ni JPM huyu ambae waziri wake Kangi Lugola alisema hadharani kwamba mashoga wapo salama nchini na hawatoguswa? Ni JPM huyu huyu aliemuhakikishia Makamu wa Rais wa Benki ya dunia kuwa mashoga hawatoguswa? Nahisi sisi ni wasahauilfu sana. Nimeambatanisha evidence chini sije mkasema nimetungaView attachment 2586357View attachment 2586358View attachment 2586359
Unafiki mwingi sana!!!Ni JPM huyu huyu ambae wizara yake ya mambo ya nje ilitoa tamko kumkana Makonda dhidi ya vita yake ya Ushoga baada ya wafadhili kuanza kukata misaada? Ni JPM huyu ambae waziri wake Kangi Lugola alisema hadharani kwamba mashoga wapo salama nchini na hawatoguswa? Ni JPM huyu huyu aliemuhakikishia Makamu wa Rais wa Benki ya dunia kuwa mashoga hawatoguswa? Nahisi sisi ni wasahauilfu sana. Nimeambatanisha evidence chini sije mkasema nimetungaView attachment 2586357View attachment 2586358View attachment 2586359
Tena hao Tom boy ndio wanaliwa mno na wavuta bangi na wababe na wacheza mpira wa timu za kiume!Tomboys na hao Wavulana hua wana bifu lao la kimya kimya si umeona hapo kasema walikua wananyang'anyana mabinti [emoji38]
Hua wanaamini Tomboys wanabeba mabinti warembo na wao wanaachiwa magalasa[emoji2960]
Itakua wa Buza haoTena hao Tom boy ndio wanaliwa mno na wavuta bangi na wababe na wacheza mpira wa timu za kiume!
Na Wana vurugwa uwrmba maana wanajiona Ni wanaume ..hivyo wainamishwe tu.pesa za kuwahonga warembo wanazipata kwa msala huo!
Ni wakuwaonea huruma nao pia!
Halafu mjue mnachanganya kati ya tomboy na lesbian, si kila tomboy ni msagaji, na si kila msagaji ni tomboyTena hao Tom boy ndio wanaliwa mno na wavuta bangi na wababe na wacheza mpira wa timu za kiume!
Na Wana vurugwa uwrmba maana wanajiona Ni wanaume ..hivyo wainamishwe tu.pesa za kuwahonga warembo wanazipata kwa msala huo!
Ni wakuwaonea huruma nao pia!
Wapo tele.Wafadhili wa vitendo viovu vya mapenzi ya jinsia moja usagaji na ushoga wamepamba moto ni wa wazi kila taasisi Shoga yupo huu ni utafiti wa kada za serikali na sekta binafsi hapa
nchini.
mashoga wameaza kuwa na sauti maeneo ya nyumba za ibada kadhalika kwenye semina mbalimbali zinazoendeshwa na mashirika mbalimbali hapo kabla mashoga walikuwa wanatumia siri kubwa wasijulikane ingali sasa wanatetea kwa sauti kubwa kwa kile kinachoitwa "haki za binadamu"
kuna baadhi ya wabunge nao wako humo. katika mazingira kama haya 2025 si ajabu baraza la mawaziri akawepo shoga au mashoga kuwakilisha serikali katika mambo mbalimbali au huenda hata sasa wapo kwenye nafasi za juu za kisiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari tupo nao huoni wanavyo sita kwenye maamuziWafadhili wa vitendo viovu vya mapenzi ya jinsia moja usagaji na ushoga wamepamba moto ni wa wazi kila taasisi Shoga yupo huu ni utafiti wa kada za serikali na sekta binafsi hapa
nchini.
mashoga wameaza kuwa na sauti maeneo ya nyumba za ibada kadhalika kwenye semina mbalimbali zinazoendeshwa na mashirika mbalimbali hapo kabla mashoga walikuwa wanatumia siri kubwa wasijulikane ingali sasa wanatetea kwa sauti kubwa kwa kile kinachoitwa "haki za binadamu"
kuna baadhi ya wabunge nao wako humo. katika mazingira kama haya 2025 si ajabu baraza la mawaziri akawepo shoga au mashoga kuwakilisha serikali katika mambo mbalimbali au huenda hata sasa wapo kwenye nafasi za juu za kisiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app