Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Nahic kuna vitu wanapewa vya ku imbalance hormone acha uchunguz uendelee.
Kuna nesi mmoja alijaribu kukusanya data akakuta watoto wadogo wa darasa la 3 vijokoleo vimeisha wakati mwingine hata hizi nyumba za kupanga ni shida unapiga mashine anasikiliizia miguno ya mapenzi, unasikia kesho Yake mamaaa mbona ulikua unalia Jana usiku na kitanda kinalia kweche kweche kweche kweche.
 
Dunia inakoelekea hatujui yaani leo kanisa la [emoji636] wanataka Mungu asiitwe kama HE" mwanaume kisa kuwatetea mashoga

Na mahakama za huku wanasema wasiitwe ladies and gentlemen eti watawaudhi mashoga

Badala yake waseme members of the jury
Hii ladies and gentlemen ilikuwepo tangu mwaka 1919
Wamekasirika sana watu kila sekta
Sijui hawa wana nguvu kiasi gani maana walianza zamani kuwaingiza mashoga serikalini na sasa wamejaa kila sehemu Ulaya

Screenshot_20230412_194902_Chrome.jpg
 
Katika hii kadhia inayopamba moto kujadiliwa, ya wanaojihusisha na mapenzi wa jinsia moja, nadhani inaegemezwa mno kwa wanaume, wanaopewa jina la "mashoga"...

Jana na leo nimeona maoni mapya yakiwagusa wasanii wanaoigiza kwa kuvaa mavazi ya kike, hasa madera na wigi na bambataa....kuwa wanaharibu watoto wa kiume.

Lakini hadi sasa sijasikia kuongelewa hawa wanajiita "Tom Boys" ambao nao wanaongezeka kwa kasi, na wamejaa kwenye mpira wa miguu wa wanawake, mabinti wana swaga za kiume, wanavyovaa, wanavyoongea hata kuongea. Unaweza kudhani ni binti na mvulana kumbe ni binti na binti.

Je, hatuoni athari ya hawa kwa binti zetu? Maana hili pia halipo katika utamaduni wetu.

Siku moja ilitokea kukatiza uwanja nyuma ya shule ya Msingi Boma, Ilala, mbele yangu palikuwa na wakina Mama wawili, wakawa wanalalamika, wanasema huu ni ushetani...hapo pikuwa na wasichana wanapiga boli.

Hii pia naona kikwazo kinaweza kufanya familia zingine zisiwaruhusu binti zao kujiunga na mpira wa miguu.
 
Katika hii kadhia inayopamba moto kujadiliwa, ya wanaojihusisha na mapenzi wa jinsia moja, nadhani inaegemezwa mno kwa wanaume, wanaopewa jina la "mashoga"...

Jana na leo nimeona maoni mapya yakiwagusa wasanii wanaoigiza kwa kuvaa mavazi ya kike, hasa madera na wigi na bambataa....kuwa wanaharibu watoto wa kiume.

Lakini hadi sasa sijasikia kuongelewa hawa wanajiita "Tom Boys" ambao nao wanaongezeka kwa kasi, na wamejaa kwenye mpira wa miguu wa wanawake, mabinti wana swaga za kiume, wanavyovaa, wanavyoongea hata kuongea. Unaweza kudhani ni binti na mvulana kumbe ni binti na binti.

Je, hatuoni athari ya hawa kwa binti zetu? Maana hili pia halipo katika utamaduni wetu.

Siku moja ilitokea kukatiza uwanja nyuma ya shule ya Msingi Boma, Ilala, mbele yangu palikuwa na wakina Mama wawili, wakawa wanalalamika, wanasema huu ni ushetani...hapo pikuwa na wasichana wanapiga boli.

Hii pia naona kikwazo kinaweza kufanya familia zingine zisiwaruhusu binti zao kujiunga na mpira wa miguu.
Mkuu,

Japo tunazungukwa na kuathiriwa moja kwa moja na jamii; jitahidi wewe na familia yako mwe na malezi bora na yampendezayo Mungu.

Dunia ya leo ni ngumu sana kupambana na haya mambo. Muhimu fanya unapoweza - kwako na kwa familia yako.

Dunia imejaa uovu, ni ovu na inatetea na kuwalea waovu.
 
Wakati nasoma chuo kimoja jijini dar kulikuwa na mwanafunzi mwenzetu wa kike mwenye haiba ya kiume. Huyu binti alikuwa na tabia ya kupendapenda mabinti wenzake kimapenzi kiasi cha kunyang'nyana mabinti na wavulana, ikawa utata kuhusu jinsia yake hasa ni ipi japo kimuonekano kifuani ana matati mazuri tu tena saa sita ila hana tabia za kike.

Siku moja mwalimu kwa utani alituambia tumkamate huyo binti tumchunguze tuhakikishe kama ni mwanaume kweli au ni mwanamke, huo ulikuwa ni utani tu kumkamata isingewezekana maana ingekuwa ni kosa la shambulio la aibu.

Baadhi ya wanafunzi walianza kutoa maoni yao kuwa huyo binti ni msagaji. Baadhi ya mabinti wenzake walikiri kununuliwa vitu.

Huenda huyo binti alikuwa 'tom boy' Hawa ma tom boy wamejaa kwenye mpira wa wanawake halafu jamii inalialia na kujifanya haioni vyanzo vya u tom boy wakati wanaonekana wazi haiba zao.

Watoto wa kike wamekuwa kama watoto wa kiume hawana tena haiba za kike, wananyoa viduku, wanavaa pensi za kiume, mapaja yamekakamaa kama ya wanaume!
 
"Jeshi la polisi mkoa wa Njombe limebaini uwepo wa wanafunzi wenye umri wa chini ya miaka 17 wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja katika shule ya sekondari Yakobi iliyopo mkoani humo.
Jeshi la polisi limeweka kambi katika shule hiyo na linaendelea na uchunguzi zaidi"View attachment 2585683
Ebwana ina maana difenda zipo hapo 24/7

Ova
 
Jamii yetu imechanganyikiwa na mambo ya ushoga na usagaji haijui ni nini vivutio na na vichocheo vyake. Sasa kama hawa mabinti wanaocheza mpira wa wanaume jinsi wanavyovaa na kunyoa na jinsi miili yao ilivyokakamaa kutokana na mazoezi ya mchezo huo ukiwatizama unaona kabisa wale ni wasagaji, hawana haiba za kike na hawaoleki wale. Lakini tunafurahia maendeleo ya mpira wa miguu kuchezwa na wanawake kumbe kuna ushetani mkubwa ndani yake. Wanawake gani wale hawana haiba za kike? Wamejiweka kiume zaidi kuliko kike, ni ma tom boys lakini jamii inajifanya haioni huko,inaona ni maendeleo makubwa kwenye soka la wanawake. Jamii imekuwa na unafiki mwingi kuhusu ushoga na usagaji, inataka kunywa maji safi huku haitaki kuchafuka na tope yanakotoka maji safi. Ndoana ndani ya chambo jamii imenaswa
 
Jamii yetu imechanganyikiwa na mambo ya ushoga na usagaji haijui ni nini vivutio na na vichocheo vyake. Sasa kama hawa mabinti wanaocheza mpira wa wanaume jinsi wanavyovaa na kunyoa na jinsi miili yao ilivyokakamaa kutokana na mazoezi ya mchezo huo ukiwatizama unaona kabisa wale ni wasagaji, hawana haiba za kike na hawaoleki wale. Lakini tunafurahia maendeleo ya mpira wa miguu kuchezwa na wanawake kumbe kuna ushetani mkubwa ndani yake. Wanawake gani wale hawana haiba za kike? Wamejiweka kiume zaidi kuliko kike, ni ma tom boys lakini jamii inajifanya haioni huko,inaona ni maendeleo makubwa kwenye soka la wanawake. Jamii imekuwa na unafiki mwingi kuhusu ushoga na usagaji, inataka kunywa maji safi huku haitaki kuchafuka na tope yanakotoka maji safi. Ndoana ndani ya chambo jamii imenaswa
Si huwa mnasema wanawake wako wengi kuliko wanaume sasa mnasumbuka na hao tomboys wachache wa nini, wakati wenye haiba za kike wako wengi tu na hawajaolewa, hao waliokakamaa wala hawajawashikia mapanga muwaoe ninyi oeni wenye hizo haiba za kike tu simple as that
 
Hoja ya ushoga bungeni,isiwe sababu ya kufifisha mjadara wa waliokwiba hela,naona wabunge wamesha nasa humo,hatutaki nasema hatutaki,tunataka wezi wafungwe na wafirisiwe,ushoga kila mtu atajijua mwenyewe,hakuna anaeweza kumbadirisha mtu,ongeleeni wezi,
Nimesikitika kuona Wabunge wanalilia kupimwa Marinda, wake kwa waume kabla ya kuingia bungeni, nikawaza hawa ndio walichaguliwa na Wananchi wao na wanawategemea wawakilishe shida zao lakini nikapata uchungu zaidi nilipokumbuka kodi zetu ndio zinawapa huo utaahira wa kuongelea ujinga na kuacha mambo ya maana,

Eti Abas Tarimba na yeye anajitia uchungu kuhusu ushoga wakati ametandaza mashine za bettings kila pembe ya Kinondoni, hivi kuna kitu kinaua nguvu kazi kama hizo bettings kweli?

Msukuma anasema wauliwe kimya kimya kama Panya Road au wale majambazi ya Kibiti ukishamuua Shoga huyo Basha wake atauliwa na nani?

Sasa kama Wawakilishi na Watunga Sheria wanafumbia macho wizi wa trilions za Pesa na kujitia kuumizwa na faragha za watu wengine hii Nchi itaendelea kweli au ndio tutakua wasindikiza Maisha ya wenzetu tu.
 
Si huwa mnasema wanawake wako wengi kuliko wanaume sasa mnasumbuka na hao tomboys wachache wa nini, wakati wenye haiba za kike wako wengi tu na hawajaolewa, hao waliokakamaa wala hawajawashikia mapanga muwaoe ninyi oeni wenye hizo haiba za kike tu simple as that
Tomboys na hao Wavulana hua wana bifu lao la kimya kimya si umeona hapo kasema walikua wananyang'anyana mabinti [emoji38]
Hua wanaamini Tomboys wanabeba mabinti warembo na wao wanaachiwa magalasa[emoji2960]
 
Hoja zako Hazina mashiko kabisa...!! Na nikiangalia Kwa makini hizi hoja zako, naona wewe ni miongoni mwa wale wanaoamasisha ushoga...!! Betting na ushoga wap na wap...? Je Kuna umuhimu wa kujadili mapato na uapatikanaji wake hili hali watafutaji wanapotea...?? NB. Amin unavyo amini Ila usitake kuaminisha watu kama unavyo amini wewe..
 
Tusiseme tu kuwa tutunze maadili yetu na tusiige maadili ya Ulaya. Tuseme wazi wazi kuwa ushoga kwetu ni marufuku! ni zaidi ya unyama! ni ushenzi. Hivi ndivyo alivyokuwa anafanya JPM na wazungu walimwelewa na kumheshimu. Hakubembeleza misaada yao, alikuwa na uso wa chuma. Nawaomba viongozi wetu tuendeleze msimamo huo.

Viongozi wa kiroho pia kemeeni wazi wazi kwa kuitaja dhambi yenyewe ya ushoga na usagaji na ubadilishaji wa jinsia. Msiionee haya kwa kuitaja kwa lugha ya kificho eti 'Maadili mabaya ya kigeni!! Msikieni JPM alivyokuwa anaushambulia ushoga bila kumung'unya maneno.

 
Ni JPM huyu huyu ambae wizara yake ya mambo ya nje ilitoa tamko kumkana Makonda dhidi ya vita yake ya Ushoga baada ya wafadhili kuanza kukata misaada? Ni JPM huyu ambae waziri wake Kangi Lugola alisema hadharani kwamba mashoga wapo salama nchini na hawatoguswa? Ni JPM huyu huyu aliemuhakikishia Makamu wa Rais wa Benki ya dunia kuwa mashoga hawatoguswa? Nahisi sisi ni wasahauilfu sana. Nimeambatanisha evidence chini sije mkasema nimetunga
20230413_125231.jpg
20230413_125228.jpg
20230413_125309.jpg
 
Ni JPM huyu huyu ambae wizara yake ya mambo ya nje ilitoa tamko kumkana Makonda dhidi ya vita yake ya Ushoga baada ya wafadhili kuanza kukata misaada? Ni JPM huyu ambae waziri wake Kangi Lugola alisema hadharani kwamba mashoga wapo salama nchini na hawatoguswa? Ni JPM huyu huyu aliemuhakikishia Makamu wa Rais wa Benki ya dunia kuwa mashoga hawatoguswa? Nahisi sisi ni wasahauilfu sana. Nimeambatanisha evidence chini sije mkasema nimetungaView attachment 2586357View attachment 2586358View attachment 2586359
Watz wengi wana ubongo mdogo
 
Back
Top Bottom