Rais Samia amezidi kuonyesha uongozi mzuri ni vitendo zaidi na sio kubweka bweka majukwaani
Katika suala la kulinda maadili ya Tanzania, mashoga sasa hawapo salama tena Tanzania, maana wamekuwa wakiswekwa jela kama sheria za nchi zinavyoelekeza
View attachment 2594971
View attachment 2594970
View attachment 2594969
View attachment 2594968
Hii ni tofauti na kipindi cha Magufuli ambapo serikali yake iliwahajikishia usalama wao, na nchi hii mashoga wakawa wanatapa sana na vitendo vya ulawiti kushamiri
Kuna mashoga kama James Delicious ambaye alikuwa maarufu sana kipindi cha Magufuli na serikali haikufanya kitu
View attachment 2594972
Shoga aliyeitwa Kaoge ambaye alihojiwa hadi kwenye Tv kubwa nchini kueneza ushoga
Kuna akina Amber Rutty ambao walikuwa wakirusha video za kulawitiana na bado wakatamba mtaani na kuwa maarufu