Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Sheria ziko wazi zinapinga USHOGA, JF itoe ushirikiano Kwa Jeshi la polisi kuwapata na kuwapima na wakithibitika wanajihusisha na vitendo hivyo wachukuluwe hatua za kisheria.

Wapo members humu JF wanaojinadi waziwazi kufanya uchafu huu.

Tafadhali, viongozi wa JF mtakapotembelewa toeni ushirikiano Ili kutokomeza LAANA hii katika JAMII yetu.
 
Niliwahi kusema na narudia tena, woote wanaokataa ndoa hawana marinda
Wote? Hahaha! Na kuna wengi tu wakio kwenye ndoa zao lakini hawana rinda hata moja...tena hao ndio wanatumia kivuli cha ndoa kujificha, hasa wasomi na wenye nafasi nzuri za kazi.
 
Telesis zinasema kwenye mabenki mengi wamejaa watu wa aina hii, ila ngumu kuwajua. Wana group zao na wanakulana wao kwa wao.
 
Juzi mke wangu alinilalamikia kwamba mwanangu wa kiume anachat na mademu, hakujua moyoni nilivyoshukuru maana siku hizi ukiwa na mtoto wa kiume unaomba umkute na demu yaani, unatamani sana kusikia ni mwanaume wa kawaida ambaye hajalemazwa na huo ujinga wa mashoga.
Zamani ilikua ukiskika umeonwa na demu unasutwa sana na mzazi, ila siku hizi mambo yamebadilika.
Kakudanganyaaa huyo mtoto anachat na wanaume wenzie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi sheria za kupinga ushoga ziwe tu kwa kwa under 16 lakini kwa watu wazima iwe ni juu yao kuamua kuitumia miili yao wakiamua kufira hewalaa wakiamua kufirwa hewalaa.

Sheria ziwe kali dhidi ya wezi na wabadhirifu pamoja na wale waliozoea ku abuse power.
Haswaaaaaah!!!!
 
Sheria ziko wazi zinapinga USHOGA, JF itoe ushirikiano Kwa Jeshi la polisi kuwapata na kuwapima na wakithibitika wanajihusisha na vitendo hivyo wachukuluwe hatua za kisheria.

Wapo members humu JF wanaojinadi waziwazi kufanya uchafu huu.

Tafadhali, viongozi wa JF mtakapotembelewa toeni ushirikiano Ili kutokomeza LAANA hii katika JAMII yetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi ni vichekesho.
 
Wote? Hahaha! Na kuna wengi tu wakio kwenye ndoa zao lakini hawana rinda hata moja...tena hao ndio wanatumia kivuli cha ndoa kujificha, hasa wasomi na wenye nafasi nzuri za kazi.
Boraa wee usemeee.
 
Rais Samia amezidi kuonyesha uongozi mzuri ni vitendo zaidi na sio kubweka bweka majukwaani

Katika suala la kulinda maadili ya Tanzania, mashoga sasa hawapo salama tena Tanzania, maana wamekuwa wakiswekwa jela kama sheria za nchi zinavyoelekeza


Screenshot_20230421-111844.png


Screenshot_20230421-111653.png


Screenshot_20230421-111309.png


Screenshot_20230421-111157.png

Hii ni tofauti na kipindi cha Magufuli ambapo serikali yake iliwahajikishia usalama wao, na nchi hii mashoga wakawa wanatapa sana na vitendo vya ulawiti kushamiri

Kuna mashoga kama James Delicious ambaye alikuwa maarufu sana kipindi cha Magufuli na serikali haikufanya kitu
Screenshot_20230421-112411.png

Shoga aliyeitwa Kaoge ambaye alihojiwa hadi kwenye Tv kubwa nchini kueneza ushoga

Kuna akina Amber Rutty ambao walikuwa wakirusha video za kulawitiana na bado wakatamba mtaani na kuwa maarufu
 
Chawa mnajaza sana server za JF.

Samia hakuthubutu kufungua mdomo kuhusu ushoga alivyokuja Makamu wa Rais wa Marekani, kisa aliona kibunda mbele yake.
 
Chawa mnajaza sana server za JF.

Samia hakuthubutu kufungua mdomo kuhusu ushoga alivyokuja Makamu wa Rais wa Marekani, kisa aliona kibunda mbele yake.
Tutawakamata tu na kuwapiga nyundo 30
 
Pale unapojidai unakichukia kitu kumbe unapiga promo! Sasa hapa tujadili nn zaidi ya promo ya hilo jambo? Tukilijadili kwa tunavyojua na kuamini mnatutukana matusi ya nguoni
 
Samia awe mkali kwa wezi wa Tozo zetu na Kodi sio kuwachekea wezi na kuwaonea Mashoga wasiokuwa na hatia

Samia aishughulikie ipasavyo ripoti ya CAG ya wizi wa Matrioni.

She is too soft kwa wezi.
 
Chawa mnajaza sana server za JF.

Samia hakuthubutu kufungua mdomo kuhusu ushoga alivyokuja Makamu wa Rais wa Marekani, kisa aliona kibunda mbele yake.
Nenda kajaribu kuigiza hata ushoga uone kitakachokukuta awamu hii

Mashoga Tanzania hawapo salama tena

Uongozi sio kuropoka ropoka ili kufurahisha genge, bali ni action

Nionyeshe action hata moja aliyofanya Magufuli dhidi ya ushoga zaidi ya kubwekwa jukwaani
 
Pale unapojidai unakichukia kitu kumbe unapiga promo! Sasa hapa tujadili nn zaidi ya promo ya hilo jambo? Tukilijadili kwa tunavyojua na kuamini mnatutukana matusi ya nguoni
nimekuwekea case kama nne hivi za mashoga kufungwa kifungo kirefu jela kwa kufanya ushoga, ndani ya mwaka huu


Kama unaona hii ni promo jaribu hata kuigiza ushoga uone kitakachokukuta awamu hii
 
Back
Top Bottom