Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Tena nimegundua Wanawake wanaopenda Anal stimulation huwa wanakojoa mara dufu kuliko wale wasiojua kuzitumia tuzi zao vizuri.
 
Mwisho wa Maisha yaani the end kwa hiyo Mkuu jiachie maisha mafupi sana.
Kutokusoma bango kuwa njia ya MAGOGONI haipitiki, hakukuondolei ADHABU Kutoka Kwa wazee wa KAZI.

Maisha yajayo baada ya kutenganishwa na mwili huu hayana mwisho.

Ni maombi yangu Usiende kuishi milele kuzimu na jehanum ya moto.

Amen.
 
13.jpg


41598_2022_22325_Fig1_HTML.jpg

Hapa tunawaona Bonobo Apes wakifirana na kusagana.

Hii tabia ni ya Big Apes hawa hawajawa corrupted na Human ideas kama Dini za Binadamu nk.

Kwahiyo hizi tabia ni Natural na Ushoga ni tabia natural.
 
Kama una hizo imani hii topic haikufai. Jamaa amejaribu kutoa mtazamo wake juu ya jambo husika usimhukumu!
Wapo mashoga wa kuzaliwa ndiyo na wapo wa kufunzwa hawa wanaingiliwa wakiwa wadogo na wanazoea hii tabia
Kama huamini kwamba watu wanazaliwa wakiwa mashoga kwann wanawake wengine wana ndevu? na baadhi ya wanaume wana maziwa?
Hakuna shoga wa kuzaliwa, ila wengi wanajifunza kutokana na changamoto za dunia bila kusahau kujitakia mfano tamaa, ila haihalalishi wewe kuendelea kufanya huo ujinga wakati unajitambua na unaelewa sio sawa, kuna maelfu washafanyiwa hivyo vitendo huko utotoni kwa kurubuniwa n.k lakini hawakuja kuwa mashoga kutokana na kutambua sio kitu kizuri walipojua ukweli
 
View attachment 2594102

View attachment 2594103
Hapa tunawaona Bonobo Apes wakifirana na kusagana.

Hii tabia ni ya Big Apes hawa hawajawa corrupted na Human ideas kama Dini za Binadamu nk.

Kwahiyo hizi tabia ni Natural na Ushoga ni tabia natural.
Mtaedit jinsi mnavyoweza ila haihalalishi ukweli kuwa ushoga ni kujitakia ikiwa wewe ni timamu na unaweza kufikiri sawa sawa
 
Juzi mke wangu alinilalamikia kwamba mwanangu wa kiume anachat na mademu, hakujua moyoni nilivyoshukuru maana siku hizi ukiwa na mtoto wa kiume unaomba umkute na demu yaani, unatamani sana kusikia ni mwanaume wa kawaida ambaye hajalemazwa na huo ujinga wa mashoga.
Zamani ilikua ukiskika umeonwa na demu unasutwa sana na mzazi, ila siku hizi mambo yamebadilika.
 
Hizi sheria za kupinga ushoga ziwe tu kwa kwa under 16 lakini kwa watu wazima iwe ni juu yao kuamua kuitumia miili yao wakiamua kufira hewalaa wakiamua kufirwa hewalaa.

Sheria ziwe kali dhidi ya wezi na wabadhirifu pamoja na wale waliozoea ku abuse power.
 
Straight to the point.
Nimekuwa mtazamaji wa hiki kitu JF kwa muda mrefu ila leo wacha nitoe maono yangu katika hiki kitu ambacho vijana hasa wa kiume wanajinasibisha nacho.

Katika vitabu vitakatifu karibia vyote, swala la NDOA limetiliwa uzito sana.

1. NDOA ni kipimo sahihi cha utuuzima.
Mwenyezi alimuumba Adamu ila alikuja kuona haitoshi akamuongezea HAWA (EVA) , Sababu Adam pekee asingeweza kusogea.

2. NDOA inaongeza ukubwa wa kudadavua mambo ndio maana hitaji la moja wapo la ili mtu awe Raisi katika Nchi zilizo nyingi Dunia basi anapaswa awe ameoa. Kwanini? Kwasababu mtu alieoa anauwo mkubwa wa kupambanua mambo katika nyakati tofauti.

3.NDOA huongeza Busarana Hikima
Mjomba wati wengi waliozishikilia Ndoa zao vizuri basi huwa na Busara sana katika jamii zetu.

Sasa hiki kikundi ambacho kinapinga Ndoa ni kikundi kinacho jaribu kupunguza Thamani ya mwanamke katika jamii na mwisho wa siku kinahamasisha mapenzi ya jinsia moja. Kwanini? Sababu Jinsia moja haitaona umuhimu wa jinsia nyingine kabisa kabisaa.

Tusiwachukulie poa hawa watu wa kampeni ya KATAA NDOA maana huenda wanafanya sababu ya UJINGA na UPUMBAFU wao AU huenda wanafanya kwa maslai ya watu baadhi(WANAPANDIKIZWA KUHAMASISHA USHOGA).

Hiki kikundi binafsi huwa nakiona hakina tofauti na vikundi vinavyohamasisha mapenzi ya Jinsia moja.

JF litazameni hili.

EID MUBARACK
TAKABALALLAHU MINA WA MIN KUM
 
Back
Top Bottom