USHOGA na na Uchawi ni kulwa na Doto.Hakuna pepo la Ushoga kufirana na kusagana ni tabia za Big Apes.
Si TABIA. Ni ROHO inaingia, matokeo ndiyo yanakuwa kuf..rwa na kuwanga.
Rudini kuzimu enyi Wana wa ghasia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USHOGA na na Uchawi ni kulwa na Doto.Hakuna pepo la Ushoga kufirana na kusagana ni tabia za Big Apes.
Sio kweli, ukisoma Yohana 9:1-6 Yesu aliletewa mtu kipofu tokea azaliwe then wanafunzi wakauliza je dhambi ya jamaa au wazazi wake ndio imepelekea upofu wake?? Ila Yesu akajibu hivi mstari wa tatu.Soma Bible kama Mkristu utajua kwann UZAO wa Tumbo la Maria ulibarikiwa kabla hajabeba mimba.
Na Bible inakuambia alikujua kabla hujazaliwa na upo kwa Mfano wake.
Uhalibifu upo katikati hapo kipindi cha mimba.
Rabbon mueleweshe Bw. Kabwe.
Kama aliingiliwa kinyume na akanogewa na kuamua iwe ndo maisha yake basi ni KICHAA.Padre privates ka
Yote yanawezekana. Mm siyo shoga na wala spendi ushoga. Mtaani kwangu yupo kijana mmoja babake alikuwa mtu mkubwa tu. Kijana ni shoga huwa hazungumzii kabisa wanawake zaidi ya kuwatoa kasoro! Huyu kijana alisoma shule za seminar tangu primary huko aliingiliwa hata akawa alivyo. Tuseme mtu huyu alifanywa ajifunze tabia baadae akawa kilema kwamuwa kilema ni tabia ya kudumu.
We madam unamchango gani??Nasoma comments tyuuh mie, nataka nione fikra, mitazamo na uelewa wa watu kuhusu jambo hili.
Nipo na popcorn zangu hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi nimetaka kuwa demu? Punguza utotoHebu tuambie na wewe kwanini ulizaliwa dume harafu unataka kuwa demu acha uchoko
Naomba uniwekee picha ya jini hapa halafu tuendelee.Kama mwanadamu anaweza kusoma Dua na akanuiza likatokea Jini, iweje shetani ashindwe kufanya jambo Hilo dogo?
Ninachokiona hapa ni kuwa tabia za binadamu hazieleweki kwa wengi wao wqnataka kujadili tabia za watu huku unaweka maandiko sijui nini?Hakuna pepo la Ushoga kufirana na kusagana ni tabia za Big Apes.
Kumuelewesha akalelewa ni Hadi Roho ya USHOGA imtoke.Soma Bible kama Mkristu utajua kwann UZAO wa Tumbo la Maria ulibarikiwa kabla hajabeba mimba.
Na Bible inakuambia alikujua kabla hujazaliwa na upo kwa Mfano wake.
Uhalibifu upo katikati hapo kipindi cha mimba.
Rabbon mueleweshe Bw. Kabwe.
Hujaneilewa na huo mstari karudie kuisoma kwa kutulia.Sio kweli, ukisoma Yohana 9:1-6 Yesu aliletewa mtu kipofu tokea azaliwe then wanafunzi wakauliza je dhambi ya jamaa au wazazi wake ndio imepelekea upofu wake?? Ila Yesu akajibu hivi mstari wa tatu.
"Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi, wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake".
Sasa kama Yesu amekataa kuwa sio laana Wala dhambi Bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake wewe kwanini useme ulemavu ni shetani au dhambi?
Niwekee picha ya AKILI kabla hatujaenda mbali.Naomba uniwekee picha ya jini hapa halafu tuendelee.
Kwahiyo huko Magereza Wafungwa wanafirana sana je ni Wachawi pekee ndio hufungwa Majela?USHOGA na na Uchawi ni kulwa na Doto.
Si TABIA. Ni ROHO inaingia, matokeo ndiyo yanakuwa kuf..rwa na kuwanga.
Rudini kuzimu enyi Wana wa ghasia.
Kwahiyo Mkristo akipata ulemavu ni shetani, mkristo akifa kwa magonjwa ni shetani? Sasa Ina faida Gani kuokoka kama mwisho wa siku hatma ya maisha Yako Iko mikononi mwa shetani?Hujaneilewa na huo mstari karudie kuisoma kwa kutulia.
Ukiona Mungu analeta nuru jua giza lilivamia eneo hilo.
Mungu akuumbe na macho then akupige upofu ukiwa huna kosa lolote na kama rejeo letu ilikuwa Adam, je adam alikuwa mpofu ?
Wanafunzi wake waliamini kuwa waliozaliwa vile wamelaaniwa... Ni kweli wamelaaniwa lakini mtoa laana hakuwa Mungu Bali Mzee wa giza.
Niwekee picha ya AKILI kabla hatujaenda mbali.
Namkumbuka mwalimu padre privatus karugendo (RIP) angekuwepo hai angeingia kwenye mjadala huu . Karugendo alikuwa anapingana na misimamo ya kanisa juu ya mambo kama haya, alijadili juu ya msimamo wa kanisa kuhusu matumozi ya kondom na utoaji wa mimba pia alijadili unafiki wa jamii juu ya ushoga kwamba unalaani ushoga lakini unaiba, unasengenya, unazini, unafira, unakunywa pombe nkKama aliingiliwa kinyume na akanogewa na kuamua iwe ndo maisha yake basi ni KICHAA.
Kichaa hawezi acha KULOKOTA makopo,
Alipobakwa Roho ya USHOGA ilimwingia, na ndiyo inamtaka aendelee.
Sisi tunapambana Roho hiyo ya USHOGA na ukichaa imtoke Ili arudi ktk senses na apate msaada arudishwe kuwa Mwanaume.
POMBE na uraibu wa dawa za kulevya ni addiction na Ukichaa uleule, mfumo wa kipepo Ule ule.
Bt watu hutolewa ukichaa huo na kurudi katika asili Yao.
Amen
Unamjua mkristo ni nani ? au UNafkiri ukienda kanisani wewe ni mkristo. Soma Biblia vyema ujue majukumu na mipaka ya mkristo utaelewa nacho ongea.Kwahiyo Mkristo akipata ulemavu ni shetani, mkristo akifa kwa magonjwa ni shetani? Sasa Ina faida Gani kuokoka kama mwisho wa siku hatma ya maisha Yako Iko mikononi mwa shetani?
Sikujua kama shetani ana nguvu kuliko uumbaji wa Mungu!! Sasa mbona tunaambiwa laana zote zilimalizwa msalabani if at all unadai laana ya shetani inasababisha ulemavu?
Wana wa Mungu tunakataa vyote, hatuibi, hatuzuni nk nk nk.Namkumbuka mwalimu padre privatus karugendo (RIP) angekuwepo hai angeingia kwenye mjadala huu . Karugendo alikuwa anapingana na misimamo ya kanisa juu ya mambo kama haya, alijadili juu ya msimamo wa kanisa kuhusu matumozi ya kondom na utoaji wa mimba pia alijadili unafiki wa jamii juu ya ushoga kwamba unalaani ushoga lakini unaiba, unasengenya, unazini, unafira, unakunywa pombe nk
Hata wachawi wanamwita shetani Mungu,View attachment 2594034
Je huyo Mungu wako amekosea?
CAG kasema Matrilioni ya fedha zetu yameibiwa na uko kimyAAA.Wana wa Mungu tunakataa vyote, hatuibi, hatuzuni nk nk nk.