Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Hakuna pepo la Ushoga kufirana na kusagana ni tabia za Big Apes.
USHOGA na na Uchawi ni kulwa na Doto.

Si TABIA. Ni ROHO inaingia, matokeo ndiyo yanakuwa kuf..rwa na kuwanga.

Rudini kuzimu enyi Wana wa ghasia.
 
Soma Bible kama Mkristu utajua kwann UZAO wa Tumbo la Maria ulibarikiwa kabla hajabeba mimba.
Na Bible inakuambia alikujua kabla hujazaliwa na upo kwa Mfano wake.
Uhalibifu upo katikati hapo kipindi cha mimba.
Rabbon mueleweshe Bw. Kabwe.
Sio kweli, ukisoma Yohana 9:1-6 Yesu aliletewa mtu kipofu tokea azaliwe then wanafunzi wakauliza je dhambi ya jamaa au wazazi wake ndio imepelekea upofu wake?? Ila Yesu akajibu hivi mstari wa tatu.

"Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi, wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake".

Sasa kama Yesu amekataa kuwa sio laana Wala dhambi Bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake wewe kwanini useme ulemavu ni shetani au dhambi?
 
Padre privates ka

Yote yanawezekana. Mm siyo shoga na wala spendi ushoga. Mtaani kwangu yupo kijana mmoja babake alikuwa mtu mkubwa tu. Kijana ni shoga huwa hazungumzii kabisa wanawake zaidi ya kuwatoa kasoro! Huyu kijana alisoma shule za seminar tangu primary huko aliingiliwa hata akawa alivyo. Tuseme mtu huyu alifanywa ajifunze tabia baadae akawa kilema kwamuwa kilema ni tabia ya kudumu.
Kama aliingiliwa kinyume na akanogewa na kuamua iwe ndo maisha yake basi ni KICHAA.

Kichaa hawezi acha KULOKOTA makopo,

Alipobakwa Roho ya USHOGA ilimwingia, na ndiyo inamtaka aendelee.

Sisi tunapambana Roho hiyo ya USHOGA na ukichaa imtoke Ili arudi ktk senses na apate msaada arudishwe kuwa Mwanaume.

POMBE na uraibu wa dawa za kulevya ni addiction na Ukichaa uleule, mfumo wa kipepo Ule ule.

Bt watu hutolewa ukichaa huo na kurudi katika asili Yao.

Amen
 
Hakuna pepo la Ushoga kufirana na kusagana ni tabia za Big Apes.
Ninachokiona hapa ni kuwa tabia za binadamu hazieleweki kwa wengi wao wqnataka kujadili tabia za watu huku unaweka maandiko sijui nini?
Mtu anatukana mashoga lakini usiku upo kona bar ananunua machangudoa na anataka wanaofirana
 
Soma Bible kama Mkristu utajua kwann UZAO wa Tumbo la Maria ulibarikiwa kabla hajabeba mimba.
Na Bible inakuambia alikujua kabla hujazaliwa na upo kwa Mfano wake.
Uhalibifu upo katikati hapo kipindi cha mimba.
Rabbon mueleweshe Bw. Kabwe.
Kumuelewesha akalelewa ni Hadi Roho ya USHOGA imtoke.

Na Ili imtoke anatakiwa aichukie Roho na TABIA hizo na ndipo aombe msaada tumsaidie.

Kama hachukii ushoga inakuwa ngumu kupata msaada sababu Kuna wakati Pepo ndo linamjibia comments sababu amelipa nafasi.
 
Sio kweli, ukisoma Yohana 9:1-6 Yesu aliletewa mtu kipofu tokea azaliwe then wanafunzi wakauliza je dhambi ya jamaa au wazazi wake ndio imepelekea upofu wake?? Ila Yesu akajibu hivi mstari wa tatu.

"Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi, wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake".

Sasa kama Yesu amekataa kuwa sio laana Wala dhambi Bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake wewe kwanini useme ulemavu ni shetani au dhambi?
Hujaneilewa na huo mstari karudie kuisoma kwa kutulia.
Ukiona Mungu analeta nuru jua giza lilivamia eneo hilo.
Mungu akuumbe na macho then akupige upofu ukiwa huna kosa lolote na kama rejeo letu ilikuwa Adam, je adam alikuwa mpofu ?

Wanafunzi wake waliamini kuwa waliozaliwa vile wamelaaniwa... Ni kweli wamelaaniwa lakini mtoa laana hakuwa Mungu Bali Mzee wa giza.
 
USHOGA na na Uchawi ni kulwa na Doto.

Si TABIA. Ni ROHO inaingia, matokeo ndiyo yanakuwa kuf..rwa na kuwanga.

Rudini kuzimu enyi Wana wa ghasia.
Kwahiyo huko Magereza Wafungwa wanafirana sana je ni Wachawi pekee ndio hufungwa Majela?
 
Hujaneilewa na huo mstari karudie kuisoma kwa kutulia.
Ukiona Mungu analeta nuru jua giza lilivamia eneo hilo.
Mungu akuumbe na macho then akupige upofu ukiwa huna kosa lolote na kama rejeo letu ilikuwa Adam, je adam alikuwa mpofu ?

Wanafunzi wake waliamini kuwa waliozaliwa vile wamelaaniwa... Ni kweli wamelaaniwa lakini mtoa laana hakuwa Mungu Bali Mzee wa giza.
Kwahiyo Mkristo akipata ulemavu ni shetani, mkristo akifa kwa magonjwa ni shetani? Sasa Ina faida Gani kuokoka kama mwisho wa siku hatma ya maisha Yako Iko mikononi mwa shetani?

Sikujua kama shetani ana nguvu kuliko uumbaji wa Mungu!! Sasa mbona tunaambiwa laana zote zilimalizwa msalabani if at all unadai laana ya shetani inasababisha ulemavu?
 
Niwekee picha ya AKILI kabla hatujaenda mbali.
hermaphrodites_g-3059.jpg

Je huyo Mungu wako amekosea?
 
Ushauri wangu ni ukijisikia kula tuzi wewe kula Acha kujifunga funga na Dua na mambo yalioandikwa na mwanadamu mwenzako.
 
Kama aliingiliwa kinyume na akanogewa na kuamua iwe ndo maisha yake basi ni KICHAA.

Kichaa hawezi acha KULOKOTA makopo,

Alipobakwa Roho ya USHOGA ilimwingia, na ndiyo inamtaka aendelee.

Sisi tunapambana Roho hiyo ya USHOGA na ukichaa imtoke Ili arudi ktk senses na apate msaada arudishwe kuwa Mwanaume.

POMBE na uraibu wa dawa za kulevya ni addiction na Ukichaa uleule, mfumo wa kipepo Ule ule.

Bt watu hutolewa ukichaa huo na kurudi katika asili Yao.

Amen
Namkumbuka mwalimu padre privatus karugendo (RIP) angekuwepo hai angeingia kwenye mjadala huu . Karugendo alikuwa anapingana na misimamo ya kanisa juu ya mambo kama haya, alijadili juu ya msimamo wa kanisa kuhusu matumozi ya kondom na utoaji wa mimba pia alijadili unafiki wa jamii juu ya ushoga kwamba unalaani ushoga lakini unaiba, unasengenya, unazini, unafira, unakunywa pombe nk
 
Kwahiyo Mkristo akipata ulemavu ni shetani, mkristo akifa kwa magonjwa ni shetani? Sasa Ina faida Gani kuokoka kama mwisho wa siku hatma ya maisha Yako Iko mikononi mwa shetani?

Sikujua kama shetani ana nguvu kuliko uumbaji wa Mungu!! Sasa mbona tunaambiwa laana zote zilimalizwa msalabani if at all unadai laana ya shetani inasababisha ulemavu?
Unamjua mkristo ni nani ? au UNafkiri ukienda kanisani wewe ni mkristo. Soma Biblia vyema ujue majukumu na mipaka ya mkristo utaelewa nacho ongea.

Ile ni Hati ya mashaka iliyokuwa inafutwa Kuondoka hukuma juu yako ila na wewe una jukumu la kufanya ili kuifanyisha kazi haki uliyopewa.. But jua kipindi cha mimba shetani na watumishi wake wanakuja kukagua na kufanya Yao kuharibu.
Usiruke ukurasa mana mtu anapigwa kulingana na mapana yake ya kujua majukumu yake.
 
Namkumbuka mwalimu padre privatus karugendo (RIP) angekuwepo hai angeingia kwenye mjadala huu . Karugendo alikuwa anapingana na misimamo ya kanisa juu ya mambo kama haya, alijadili juu ya msimamo wa kanisa kuhusu matumozi ya kondom na utoaji wa mimba pia alijadili unafiki wa jamii juu ya ushoga kwamba unalaani ushoga lakini unaiba, unasengenya, unazini, unafira, unakunywa pombe nk
Wana wa Mungu tunakataa vyote, hatuibi, hatuzuni nk nk nk.

Your will be done upon Earth, as it is in heaven.

Amen.
 
Wala hakuna ushahidi wa Sodoma kungamizwa kwa sababu ya ushosto.

Juzi nilikuwa nikiangalia Wanasayansi waki Debunk hiyo stori.
 
View attachment 2594034
Je huyo Mungu wako amekosea?
Hata wachawi wanamwita shetani Mungu,

Kuzimu KIPO kiwanda Cha kutengeneza watu aina hiyo wanaokuja Kuzaliwa duniani.

Mungu ni mtakatifu, na mkamilifu.

Mbinguni hakuna watu aina hiyo, hao ni Raia wa kuzimu.

Ni suala la muda tu, utakipata unachotafuta.
 
Back
Top Bottom