Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Uzao wa shetani? Kisa ana tabia za kike? We ni mkristo wa wapi? Nina wasiwasi utakua mshirika wa Gwajima!!

Kama unayosema hayo unamaanisha kivipi Mungu aliruhusu Biblia ya kwanza ya kiingereza itafsiriwe na Mfalme shoga?? Au kwanini Mungu aruhusu tafsiri ya biblia inayotumika zaidi yaani NIV itafsiriwe na NGO inayo support ushoga?

Mungu angekua na akili kama zako basi hata kabla biblia haijachapishwa hao wahusika wangekufa kwa radi!! Mungu amejaa Rehema na msamaha sio chuki kama nyie wafia dini.
Mungu ana REHEMA Kwa wanaotubu na kukubali kuacha USHOGA.

Mungu Hana REHEMA na mtu hanithi anayeamua atambulike na kuolewa na Mwanaume mwenzie.

Mungu asingeichoma Sodoma na gomora kama unadai ni WA REHEMA.

Dhambi lazima ihukumiwe kama HAPANA TOBA.
 
Congo ni majanga Kila siku kwani Kuna ushoga? Afrika mbona magonjwa haysishi je Kuna ushoga? Acheni homophobia bila sababu, ni kheri ungesema mwenye hormones za kike apewe booster za testosterone walau ningekuelewa ila hii ya kueneza chuki kwa mtu aliyezaliwa hivyo ni upunguani.
Hebu tuambie na wewe kwanini ulizaliwa dume harafu unataka kuwa demu acha uchoko
 
Mungu hakumwumba shetani.

Shetani ni LAANA baada ya kuasi.

Hakuna mahala Mungu ameumba shetani, kama ambayo Mungu amemuumba Mwizi, ni uamuzi wako kuwa mwovu au mwema.
Kwahiyo kuna Miungu miwili yenye majina tofauti?

Huu uongo wenu usiokuwa na ushahidi mnaoufanya uwe sheria za Nchi sio poa hata kidogo

Science inamajibu kuhusu Mwanadamu kuzaliwa na jinsia mbili na sio kama ninyi mnaosema ni kwasababu ya Shetani.
 
Hormones imbalance wala sio ushoga, mimi nazungumzia ushoga. Kuzaliwa namna yoyote sio kosa. Mashoga wengi mnaowaona wala hawana hormones imbalance isipokuwa tabia tu za kujizoesha ndo zinawafanya wawe hivyo. So hakuna namna yoyote ya kuwatetea mashoga kwa hoja ya hitilafu za hormones.
Yaani mashoga wanakuja live kutetea USHOGA Ili uenee, Bahati Yao wamejificha nyuma ya keyboard,

Wajaribu kufanya hivyo hadharani waone impact yake.
 
Hormones imbalance wala sio ushoga, mimi nazungumzia ushoga. Kuzaliwa namna yoyote sio kosa. Mashoga wengi mnaowaona wala hawana hormones imbalance isipokuwa tabia tu za kujizoesha ndo zinawafanya wawe hivyo. So hakuna namna yoyote ya kuwatetea mashoga kwa hoja ya hitilafu za hormones.
90% ya wasio na hormone imbalance walikua abused udogoni hii nimeikuta sana Zanzibar. Hakuna mtu kajizoeza ila wengi ni kuwa abused na wajomba sijui binamu n.k. So basically hakuna namna utaondoa lawama kwa mzazi au jamii kabla ya huyo shoga. So tusiwe biased kwenye maoni
 
Kwahiyo Mungu hawezi umba mlemavu? kwamba walemavu wote wa miguu au viungo ni kazi ya shetani? Duh Sikujua kumbe ni shetani ndio kafanya hayo!! Kumbe Mungu hawezi umba mlemavu. Basi shetani ana nguvu sana kama anaweza Hadi kuumba mlemavu yaani ana uwezo wa kuharibu uumbaji wa Mungu
Soma Bible kama Mkristu utajua kwann UZAO wa Tumbo la Maria ulibarikiwa kabla hajabeba mimba.
Na Bible inakuambia alikujua kabla hujazaliwa na upo kwa Mfano wake.
Uhalibifu upo katikati hapo kipindi cha mimba.
Rabbon mueleweshe Bw. Kabwe.
 
Kwahiyo kuna Miungu miwili yenye majina tofauti?

Huu uongo wenu usiokuwa na ushahidi mnaoufanya uwe sheria za Nchi sio poa hata kidogo

Science inamajibu kuhusu Mwanadamu kuzaliwa na jinsia mbili na sio kama ninyi mnaosema ni kwasababu ya Shetani.
Narudia upo uzao wa shetani duniani,

Na upo uzao wa Wanavwa Mungu duniani.

Kamwe shetani hatotawala ikiwa Bado tunaishi hapa.
 
Narudia upo uzao wa shetani duniani,

Na upo uzao wa Wanavwa Mungu duniani.

Kamwe shetani hatotawala ikiwa Bado tunaishi hapa.
Huo ni upuuzi na uvivu wa kukaririshwa Babu zetu walichukuliwa Utumwa kwa kukaririshwa ujinga.
 
Yaani mashoga wanakuja live kutetea USHOGA Ili uenee, Bahati Yao wamejificha nyuma ya keyboard,

Wajaribu kufanya hivyo hadharani waone impact yake.
Ni njema wao wakija kwa mgongo wa keyboard nasi tuwazukie kweupeee!

TUWAPE UKWELI NA KUUKATA MPANGO WAO WAZI WAZI
 
90% ya wasio na hormone imbalance walikua abused udogoni hii nimeikuta sana Zanzibar. Hakuna mtu kajizoeza ila wengi ni kuwa abused na wajomba sijui binamu n.k. So basically hakuna namna utaondoa lawama kwa mzazi au jamii kabla ya huyo shoga. So tusiwe biased kwenye maoni
Kama alikuwa abused atibiwe na kurudi ktk Hali yake.

Kumruhusu aamue kuwa shoga ni BATILI na HARAMU.

Tunapambana kuanzia kwenye family, wazazi waache kuwaingilia wake zao, watoto nk nk.

HARAMU kamwe haitahalalishwa kuwa HALALI ktk Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Amen
 
Mm siyo shoga ila waweza niita utakavyo haibadilishi kitu mm ni social professional nimesomea jamii nimefundishwa kutohukumu watu haswa tabia zao

Mimi nimekuuliza wala sijakuita.
"...nimefundishwa kutohukumu watu haswa tabia zao..." hapa unakiri ushoga si kilema ni tabia.
 
WhatsApp-Image-2021-12-17-at-9.12.18-AM-768x1024.jpeg

Je Mungu kafanya makosa? naombeni majibu sitaki stories za Shetani.
 
Naomba ni seme kidogo kuhusu hili swala la ushoga kama ambavyo watu wamekuwa wakilijadili. Mimi kwa uelewa wangu na kwa jinsi ambavyo nimelifahamu hili tatizo. Nitalizungumzia kwa mifano halisi kwa watu ambao nimewafahamu.

Kwanza kabisa, nimezaliwa nimekuta kuna majina au maneno watu wakiyatumia ktk jamii, 1. Msenge 2. Hanithi, na 3 wasagaji. Haya majina yamekuwepo miaka nenda rudi ktk jamii na sio msamiati mpya. Maneno haya hawaitwi wanyama bali ni sisi, na ktk jamii watu hawa wapo na ndio maana kumekuwa na maneno haya.

Kitu cha kwanza ni jamii kutambua kuwa vitendo hivi vipo na vinafanyika, na kwa nini vipo, hilo ndio swali la msingi lazima watu wajiulize kwanza na sio kulalamika tu na kuwanyooshea vidole wausika.

Nitoe mfano mmoja, kuna family moja niliwahi kuishi nayo kwa kipindi cha takribani miaka 10, ile family ilikuwa na watoto 4, wakike 3 na mdogo wao wa mwisho alikuwa wakiume.

Huyu mtoto alikuwa hapendi kucheza na watoto wa kiume hata kidogo, bali ni watoto wakike tu nilimfahamu akiwa na miaka 9, bado anasoma primary school, mpaka akaenda secondary school, na kila alivyokuwa ana kua, ndivyo alivyojidhihirisha kuwa na hisia za kike, na wazazi wake wamemkubali kwa jinsi alivyo, kumbuka ni mtoto pekee wa kiume.

Kwa hiyo hawa watu uzaliwa hivyo na sio kama watu wengi wanavyodhani. Pili kuna rafiki yangu mmoja aliolewa na mwenyezi Mungu aliwajalia kwakapata mtoto, lakini kabla ya hapo tulikuwa tunaambiwa kuwa jamaa anaingiliwa na wanaume wenzake, tukawa hatuamini ila amini usiamini mkewe alithibitisa hilo na ukawa ndio mwisho wa ndoa yao. Kumbuka wamezaa mtoto.

Nimejaribu kutoa mifano ya watu ninao wajua fika na sio kitu cha kusimuliwa na mtu. Kwa nini nimeamua kuanzisha uzi huu ni kujaribu kueleza kuwa hawa watu wapo na tunaishi nao sioni sababu ya jamii kuwatenga ni wenzetu na hivyo ndivyo walivyo, hawa kupenda kuwa hivyo walivyo kama wengi wanavyo amini.

Wazungu walichofanya wao ni kutambua tatizo na kuwatambua ni sehemu ya jamii yao. Ila kwa Tanzania tunahisi kuwa ni utamaduni wa kizungu wakati sio kweli, ni kutafuta mtu wa kumtwisha lawama pasipo kuangalia ni jinsi gani tunaweza kuwasaidia.

Jaribu kufikiria mtaani, shuleni au hata makazini tumeishi na watu wa jinsi hiyo ila tulikuwa tunasema, huyu ana tabia za kike au za kiume, jaribuni kukumbuka.

Kwa hiyo mimi nawaona ni watu ambao ni vilema kama kilema kingine chochote kile, tunatakiwa kuwa angalia kama ni watu ambao wanahitaji kuwa sehemu ya jamii.

Hebu chukua kesi ya yule jamaa wa zanzibar, unaenda kumpima, kisha majibu yana kuja ameingiliwa, je uliwahi kujiuliza background history yake kabla ya kumpima?.

Au ndio sisi tunaamini bado tunaamini kuwa watoto wetu hawajamiani mpaka wanapofunga ndoa au akipata ujauzito ndio wazazi wanasituka.

Mwisho tunapojadili swala la ushonga tuliangalie kwa upana wake na sio kwa ushabiki
sio kilema tu ndugu yangu,ushoga ni CURSE{LAANA} ndo manake MUNGU aliilipua sodoma na gomora
 
View attachment 2594004
Je Mungu kafanya makosa? naombeni majibu sitaki stories za Shetani.
Si Mungu huyo,

Kama mwanadamu anaweza kusoma Dua na akanuiza likatokea Jini, iweje shetani ashindwe kufanya jambo Hilo dogo?

Mungu anaumba ORIGINAL bt shetani huumba FAKE.

Narudia, Asili ya USHOGA ni KUZIMU. Na baba yenu ndiye SHETANI.
 
90% ya wasio na hormone imbalance walikua abused udogoni hii nimeikuta sana Zanzibar. Hakuna mtu kajizoeza ila wengi ni kuwa abused na wajomba sijui binamu n.k. So basically hakuna namna utaondoa lawama kwa mzazi au jamii kabla ya huyo shoga. So tusiwe biased kwenye maoni
Haijalishi, na hayo mambo yapo kila sehemu BUT kuzaliwa familia masikini hakukuforce wewe uwe masikini pia ilhali unauwezo wa kujitajirisha. Ilimradi umekua na umepata akili... zuri na baya unalijua then baya achana nalo.
 
Mapenzi Yako Mungu yatimizwe hapa duniani, kama huko Mbinguni.

Umewahi kujiuliza Mbinguni Kuna Wezi? Wauaji nk nk?

Neno limeweka wazi, wazinzi,wezi ,wafiraji, nk nk, hawataurithi ufalme wa Mungu.

USHOGA ni mfumo ulioanzia kuzimu kuletwa Duniani. USHOGA ni uvamizi Kwa mankind.

Mfumo huo ukiingia ndani ya Mume, ataanza kumwingilia mke kinyume, BAADAYE majirani na BAADAYE watazaliwa mahanithi ktk ukoo na BAADAYE kuwa mashoga.

Wachawi huingiliana kinyume na maumbile na ni kawaida wao kushare.

Kama una mke na ni mchawi, jua unashare, sababu mchawi mama na mtoto wanazini, kuingiliana kinyume ni sifa kwao.

Mchawi na shoga, na wafiraji na makahaba ni wamoja.

So NDOA ya Mume mmoja na mke mmoja imetoka Mbinguni.

Bt kuzimu hakuna such a thing.

Kama ilivyo Mbinguni, hakuna vilema, vipofu, viziwi, wenye KIFAFA, magonjwa Sugu nk nk, kamwe usiJUSTFY ukilema huo wa kujitakia kimchongo, kubadili Utaratibu na AMRI za Mungu.

Jua fika, ukiona umezaa, mtoto hanithi, au mwenye JINSIA mbili, jua Kuzimu imehusika kuingiza matatizo hayo kwenye uzao wako.

Tangu zamani walizaliwa mahanithi, hawakuingiliwa kinyume, waliachwa wawe matowashi. JAMII zingine ziliwaua watoto wa aina hiyo walipogundukika Ili kuwapunguza.

Kuwa na watu wa aina hiyo katika JAMII ni jambo moja na Kuhalalisha au kuhamasisha waenee na kuongezeka ni jambo jingine.
Padre privates ka
Mimi nimekuuliza wala sijakuita.
"...nimefundishwa kutohukumu watu haswa tabia zao..." hapa unakiri ushoga si kilema ni tabia.
Yote yanawezekana. Mm siyo shoga na wala spendi ushoga. Mtaani kwangu yupo kijana mmoja babake alikuwa mtu mkubwa tu. Kijana ni shoga huwa hazungumzii kabisa wanawake zaidi ya kuwatoa kasoro! Huyu kijana alisoma shule za seminar tangu primary huko aliingiliwa hata akawa alivyo. Tuseme mtu huyu alifanywa ajifunze tabia baadae akawa kilema kwamuwa kilema ni tabia ya kudumu.
 
Back
Top Bottom