Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kuna siku mtu ataamua akuaibishe na akakupima mkund..u na ikatangazwa mtandaoni
 
Duh...!
 
Ndio tunachokataa na kupinga hizi order zinatolewa kimakosaaa, suala la ushoga ni kukutwa red handed na kufanya uthibitishoo km ni kweliii iko hivyoo.

Hili la kutolewa order kiholelaa halifai na linapaswaa kukemewa wazi wazi.
 
Mkuu wewe ndo tumeelewana, nadhani huku watu wanajibu kwa mihemko tu.. mpaka sasa hakuna aliyekuja na kifungu cha sheria hata kimoja.

Wanachoshindwa kuelewa watu ni kwamba, jamii iliyostaarabika inatakiwa kufanya mambo kwa kufuata sheria zilizopo.

Inaonekana hakuna sheria kama hiyo, ya kumuamuru mtu akaingiziwe vidole ili kujua kama yeye ni shoga, na mi nadhani hii case itakuwa haina mashiko na hawa watu naona wataachiwa huru.

Serikali wakidhamiria kweli kupambana na ushoga, waweke sheria bungeni na wazipitishe, ila sio kufanya mambo kiholela kiasi hiki na kukurupuka
 
Tu deal na hao wanaochokonolewa tu. Mbona hata kwenye ubakaji anafungwa mwanaume tu na watu wanaona sawa? Saa nyingine mwanafunzi anakubali mwenyewe ila akishaliwa anayekula 30 ni mwanaume tu. Najua kuna sababu zake, basi na kwa mashoga sababu ni kupoteza marinda
 
Wewe ni shoga?

Sisi tutakukamata tutakuingizia vidole viwili ukiwa umeinama vikipita ni nyundo 30

Acha ushoga
Uhuni wenu wa kipropaganda umefika mwisho.

Mwenzenu museven kashatepeta kaifuta sheria yake ya kihuni leo hii.

Na tutaendelea kupaza sauti mpaka mbinywe mambupu mpigwe vikwazo mnyooke.

Tutaanza mahakamani, kisha tutapanda juu ku-file official complaints kwenye mamlaka zinazohusika na kushughulika na MADIKTETA.
 
NImeuliza vifungu vya sheria iliyotumika, wewe unakuja na story zako kwamba na support ushoga... wewe nahisi kuna fuse imekatika kichwani....
Hilo ni chizi limo humu ku divert mjadala wa CAG.

Katumwa kueneza na kuchochea mijadala ya ushoga.
 
Wewe unaweza ukaruhusu KUINGIZIWA MADOLE MKUNDUNI?
 
Sisi tunaweka comments zetu kama kumbukumbu ili siku yakiwakuta tuwaanbie mbona tuliwaambia?
 
Wewe ni shoga?

Sisi tutakukamata tutakuingizia vidole viwili ukiwa umeinama vikipita ni nyundo 30

Acha ushoga
Nyie vijana msiokuwa na elimu ndo maadui wa hili taifa... We unadhani ushoga utaondoka kwa matusi an mihemko..

Ushoga utaondolewa kwa serikali kuweka sheria kali na bunge kuzipitisha, ila sio kwa hizi drama za majaji wanaotafuta umaarufu
 
Tufanye hicho kifungu hakipo na wanaliwa kweli unataka kusemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…