Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Wanaume wanaovaa hereni na vinjuga vinavyobana wanaweza kuingia katika mikono wa wapimaji.
 
Poleeeeeeh wee km ilitolewa order ya kupimwa na wametokaaaa, unadhani nn tenaaa??

Wako huruu na maisha yao ya kila siku km kawaida. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Teseka taratibuuu
Na ww ni mwana upinde mwenzako Nini?
 
Wanaume wanaovaa hereni na vinjuga vinavyobana wanaweza kuingia katika mikono wa wapimaji.
HATA UKIVAA PENSI NA MAKOBAZI UNAWEZA UKAITWA SHOGA HALAFU UKAKAMATWA NA KUPIGWA MADOLE YA MKUNDUNI.

HIKI KIKOSI CHA SAMIA KIMEKAA KIHUNI HUNI TU. KIKOSI CHA KUPIMA MAVI NA KUCHOKONOANA.

UKIJICHANGANYA UNAINGIZIWA MAJITI KWENYE HAJA KUBWA. HALAFU UNAPACHIKWA JINA LA SHOGA.

HUYU MVAA USHUNGI ADHIBITIWE. ANAVUKA MIPAKA YAKE.
 
Waache tu wakenue meno, ngoja wamalize kuwapima hao wanaosemekana ni mashoga kwa sasa.
 
Pole sana mtoa mada.
Watu wengi ajenda ya Ushoga wanaijadili kimihemko, hawatumii AKILI ndio mana, dude linakuwa kwa kasi.

Naomba sasa nijibu Swali lako.

Kwenye Kipengele namba 154 (3) cha Penal Codes imewekwa bayana kuhusu adhabu ya mtu anayeingilia mwengine au mnyama kinyume na Maumbile 'Order of nature' ataadhibiwa miaka kumi na minne jela.
View attachment 2595824

Lakini kwenye kipengele cha 110 (b) kinahalalisha mshtaki, ambaye kwenye hii kesi ni Jamhuri kuthibitisha madai yake. Zoezi linaloendelea ni kutafuta ushahidi, na ikiwa mtuhumiwa atazuia au kutotoa Ushirikiano wakati wa kupima atakuwa ametenda kosa, kaa mujibu wa kifungu hiko atakuwa ametenda kosa na ataadhibiwa kifungo cha miaka mitano.
[emoji28]



Hakuna mahala pameandikwa kuhusu kupima shimo, ila sheria inataka mshtaki atoe ushahidi wa madai yake. So hatua hiyo imechukuliwa kuthibitisha mashtaka

Unadhani wanaweza kuthibitisha vipi? Kwa njia nyingine labda
Ni hayo tu.

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20230422_064512.jpg
    38 KB · Views: 8
ndo umejiona ushapata maisha?
HUKO ULIPO NILISHAPITA SIKU NYINGI SANA.

MIMI SITISHWI NA WATOTO WADOGO WANAOKULA UGALI KWA VIWAVIJESHI. UTAFARIKI KABLA YA WAKATI.

NA UKAMUELEZE HUYO SAMIA, KWAMBA HII NCHI SIO JAMUHURI YA MACHIZI. HATUTAMRUHUSU AWAINGIZIE VIDOLE MIKUNDUNI VIJANA WA HILI TAIFA.

NCHI IKIMSHINDA AKAE KANDO, KABLA HAJAWEKWA KANDO.
 
πŸ™‡β€β™‚οΈπŸ™‡β€β™‚οΈπŸ™‡β€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…