Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Nimekuelewa sana mleta uzi, jf haina GT tena.
Watu hawajui kua kuna mianya mingi ya hao mnaowatuhumu kwa ushoga kuponyoka.
Sheria ikiwa vizuri watabanwa kisawasawa, hata kama tatizo litakuwepo ila sio kwa kiwango kikubwa.
Wajuzi wa sheria watatumia vifungu kuponyoka, yule mzenji pamoja na video yake kuvuja si ajabu akashinda.
Wengi wanaopigwa nyundo ni wale wanaokubali kua wamepigwa pipe, ila wanaokataa ndo kama hao kina delishazi waliachiwa huru, hao ambao kina dula makabila anaimba nao hata hawatiwi hatiani, machoko ni wengi ila nadhani sheria haiwabani kwasababu kumkamata akifokolewa ni inshu.
Watu hawajui kua kuna mianya mingi ya hao mnaowatuhumu kwa ushoga kuponyoka.
Sheria ikiwa vizuri watabanwa kisawasawa, hata kama tatizo litakuwepo ila sio kwa kiwango kikubwa.
Wajuzi wa sheria watatumia vifungu kuponyoka, yule mzenji pamoja na video yake kuvuja si ajabu akashinda.
Wengi wanaopigwa nyundo ni wale wanaokubali kua wamepigwa pipe, ila wanaokataa ndo kama hao kina delishazi waliachiwa huru, hao ambao kina dula makabila anaimba nao hata hawatiwi hatiani, machoko ni wengi ila nadhani sheria haiwabani kwasababu kumkamata akifokolewa ni inshu.