Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Polisi ndiyo chombo pekee chenye mamlaka ya kuchunguza uhalifu na wahalifu. Ikiwemo kupekua sehemu za siri na kupeleka kwa wataalam washukiwa wakapimwe sehemu za siri.
Mkuu
Unakosea sana. Polisi hawezi kukupekua utu wako bila hati ya kimahakama. Hata wanapokulazimisha waingie kwenye mawssiliano yako ninsharti wawe na ruhusa ya mahakama behind.

Kuhusu upelelezi kuna utaratibu wake ambao wanapaswa kuufuata na huwa hawaifuati na hilo limezalisha kizazi kama wewe mnaoamini polisi wanaweza kufanya lolote wakati kisheria ni watekelezaji wa sheria hususani zilizotafsiriwa na mahakama
 
Kuna siku nilitoa Uzi hapo Jukwaa la Sheria tunapoelekea na haya mambo tunaweza kujikuta hatujengi bali tunabomoa....

 
Mkuu
Unakosea sana. Polisi hawezi kukupekua utu wako bila hati ya kimahakama. Hata wanapokulazimisha waingie kwenye mawssiliano yako ninsharti wawe na ruhusa ya mahakama behind.

Kuhusu upelelezi kuna utaratibu wake ambao wanapaswa kuufuata na huwa hawaifuati na hilo limezalisha kizazi kama wewe mnaoamini polisi wanaweza kufanya lolote wakati kisheria ni watekelezaji wa sheria hususani zilizotafsiriwa na mahakama
Ndo maana polisi wanafanya hovyo mitaani, kwa kuwa wanajua wananchi wao hawana uelewa wala ufahamu wa mambo.

Ndio wananchi wa Bongo, na wanajifanya wajuaji balaaa.
 
Ndo maana polisi wanafanya hovyo mitaani, kwa kuwa wanajua wananchi wao hawana uelewa wala ufahamu wa mambo.

Ndio wananchi wa Bongo, na wanajifanya wajuaji balaaa.
Washazoeshwa kukandamizwa ndo maana hawajishughulishi kujielimisha
 
Soma uzi uelewe, sijatete ushoga, nimeulizia vifungu vya sheria vilivyotumika...
Hawa nyumbu wanataka sheria zifatwe kwenye mambo ya siasa peke yake. Kwenye mambo ya ushoga wanaona sawa sheria zikipindishwa.
Hawatakuewa utapondwa mawe tu hapa.
Cha kushangaza ni wao wana waingilia watoto wa kiume wakiwa wadogo hadi kupelekea kuwa mashoga baadae.
 
Suala liko simple tumekutuhumu kama wewe ni shoga sasa kama unataka kuthibitishia mahakama kama we sio shoga inama tu mzee
 
Magereza za Tanzania na ugumu wa maisha unaofanywa viongozi kupora matrilioni ndio moja ya sababu ya kuwa na Mashoga wengi.
 
Hawa nyumbu wanataka sheria zifatwe kwenye mambo ya siasa peke yake. Kwenye mambo ya ushoga wanaona sawa sheria zikipindishwa.
Hawatakuewa utapondwa mawe tu hapa.
Cha kushangaza ni wao wana waingilia watoto wa kiume wakiwa wadogo hadi kupelekea kuwa mashoga baadae.
Halafu baadae wanaanza kuwa hukumu wahanga na kuwaacha hawa waharibifu wazidi kuharibu wengine wapyaa.

Sijui wanatatua tatizo au wanakuza tatizo.
 
Hawa nyumbu wanataka sheria zifatwe kwenye mambo ya siasa peke yake. Kwenye mambo ya ushoga wanaona sawa sheria zikipindishwa.
Hawatakuewa utapondwa mawe tu hapa.
Cha kushangaza ni wao wana waingilia watoto wa kiume wakiwa wadogo hadi kupelekea kuwa mashoga baadae.
Bebe,
Sikukuu huji kwetu?
Tumechinja samaki leo bana
 
Hawa nyumbu wanataka sheria zifatwe kwenye mambo ya siasa peke yake. Kwenye mambo ya ushoga wanaona sawa sheria zikipindishwa.
Hawatakuewa utapondwa mawe tu hapa.
Cha kushangaza ni wao wana waingilia watoto wa kiume wakiwa wadogo hadi kupelekea kuwa mashoga baadae.
Sio siasa, hata kwenye makahaba wakianza kusakamwa utasikia wanaonewa, eti ni biashara kongwe, kwan ushoga sio ukongwee? when it comes to gaysim, wanataka sheria ipindishwee au isitumike kabisaa, ili wao wafurahiii.

Wa bongo wamejawa na UBINAFSI na UNAFIKII.
 
Soma uzi uelewe, sijatete ushoga, nimeulizia vifungu vya sheria vilivyotumika...
Hapa watu watakutukana sana lakini kwangu mimi una hoja nzuri sana. Wanaokutukana hawaoni nje ya boksi. Kuna siku huu ujinga atakuja kufanyiwa mtu, tena pengine hawa wanaotukana, kwa sababu tu kuna kiongozi anataka kumkomoa au hata polisi. Serikali iache kupoteza muda kufanya mambo ya kijinga kama haya ijikite kwenye mambo muhimu.
 
Back
Top Bottom