Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Miaka 8 nyuma hii singo ingekuwa imegundulika wapinzani wote wangetiwa vidole na sijui wangepata wapi nuru ya kurudi kwa wanachama wao tena. Kwa dhati kabisa, nia ya kupambana na ushoga ni sawa ila utaratibu huu wa kuwapima watu kwa nguvu pasipo kuwepo sheria ya kuliongoza hili ni hatari sana. Kwa jinsi ilivyo sasa, kila mmoja wetu yuko kwenye hatari ya kupigwa dole!
 
Reactions: Tsh
Jitu linataka mashoga wauwawe ukute mtoto wake au ndugu yake wa karibu ni shoga halafu hajui.
Siku akiibuliwa shoga kwenye familia zao ndo watatia akili.

Wao wenyewe ni mashoga sema tu vile kujikosha na kufanya defensive mechanism.

Hapa wanajifanya kupinga ushoga ila ukiwakagua nyuma unakuta mashimo yameachama mwaaaaaah!

Maushungi mwenyewe anapenda dyudyu, ndio maana anataka dogo dogo zile za bongo fleva.

Humu wote ni wapenda madyudyu. Wanajishongondoa tu.

Ona hii...
 
"Mahakama yaamuru marinda ya kiongozi wa upinzani........yapimwe"

Nashauri waanze na LISSU, maana huyu ni KINYONGA MWENYE RANGI SABINI.

Mwaka jana alituambia ushoga ni haki ya binadamu, juzi akatuambia ushoga sio haki ya binadamu.

Mara akasema Lowasa fisadi, mara tena sio fisadi.

Huyu KINYONGA WA UBELGIJI apimwe haja kubwa. NI MTATA SANA.
 
Kukaa maeneo mengi sio kuona yote mkuu.
Hao watu wapo kuna bro alinizidi kidato, toka sisi wadogo jamaa alikua na pigo za kike... Huyu jamaa alikua skanganga sana kwa kazi za bush ila sauti ndo ilimsaliti kabisa, anaongea tone ya kike kabisaa.
Kuna mwingine huyu akikuja kubadilika alipobalehe ila huko nyuma alikua anapenda zaidi kufanya mambo wafanyayo wanawake..

Wenye sauti za kike hawa ndo nimekutana nao wengi sana.
 
Ukiona unahisiwa jambo jua ni kweli
 
Reactions: Tsh
Bora umuambiee huyo anadhani kila kitu anakijua yeye pekee ake ktk Dunia hii.
 

Tofautisha Sauti ya kike na kuongea kiume Mkuu.
 
Hili ni jibu la ChatGPT [emoji116][emoji116]

Kwa kuanza, ni muhimu kusema kwamba kushiriki katika vitendo vya ushoga sio kosa la jinai na haiwezi kuwa msingi wa kuwekwa kizuizini au kupimwa bila idhini yako. Kama mfumo wa sheria unavyoamuru, mtu hawezi kushutumiwa au kutendewa vibaya kwa sababu ya mwelekeo wake wa kimapenzi.

Kwa kuongezea, kufanyiwa vipimo vya kimwili pasipo idhini yako ni uvamizi wa faragha na ni kinyume cha haki za binadamu. Kwa hivyo, ikiwa habari zinazosambazwa ni za kweli au la, haki za mtu zinapaswa kulindwa.

Kwa kuongezea, ni muhimu kukumbuka kuwa sheria zilizopo zinapaswa kuzingatiwa wakati wa kufanya uamuzi wowote, na hakuna mamlaka yoyote inayoweza kuamuru kitendo ambacho ni kinyume cha sheria. Kwa hivyo, ikiwa kuna utata juu ya sheria au mamlaka inayotumika kufanya uamuzi fulani, inapaswa kushughulikiwa kwa njia ya kisheria.

Kwa hivyo, kama ulivyosema, hatupaswi kuwa na hofu ya kufanyiwa vipimo vya kimwili pasipo idhini yetu, na tunapaswa kuendelea kuheshimu na kulinda haki za binadamu za kila mtu. Ikiwa kuna utata wowote, ni muhimu kushughulikia kwa njia ya kisheria na kufuata sheria na taratibu zilizopo.
 
Kazi ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…