kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Atleast asitumie Our National Flag. Kwanini asingebeba lile libendera lao la marangi rangi ya upinde kama walivyofanya wenzie!when in Rome, do as the Romans-hayupo ndani ya Tanzania mwache atumie Uhuru wake.
Bendara Ya Taifa Langu inatumika vibaya...Fanya ya kwako, acha wafu wazike wafu wao
Waafrika ki ufupi hatujitambui na aliye turoga kafa.tunashupalia ushoga as if ndio jambo la hovyo tumeiga kutoka western na uarabuni.Ni dhahiri tunaunga mkono
Hawezi kuchukuliwa hatua hukoUbalozi wa Tanzania nchini yalikofanyika maandamano haya, hauwezi kufanya namna ya kumshughulikia huyu mtanzania kwa kutumia Bendera yetu ya taifa kwenye mambo yao ya kisenge? Mbona amechagua kutudharirisha hivi!! Inamaana anatuwakilisha sisi watanzania wote kwenye usenge wake!!!
Trillion 11 dollars ni ndogo au kubwa ?Waafrika ki ufupi hatujitambui na aliye turoga kafa.
Ametumia haki yake ya kikatiba kujieleza.Ubalozi wa Tanzania nchini yalikofanyika maandamano haya, hauwezi kufanya namna ya kumshughulikia huyu mtanzania kwa kutumia Bendera yetu ya taifa kwenye mambo yao ya kisenge? Mbona amechagua kutudharirisha hivi!! Inamaana anatuwakilisha sisi watanzania wote kwenye usenge wake!!!
Kwahiyo tuhalalishe ushoga Kwasababu watu wanalawitiwa? Kwanini tusiungane kukemea yote!Yaani nchi za Africa ni wajinga sana ,hapa Tanzania walawiti ni ruksa, wafiraji ni ruksa,wezi ni ruksa ila mashoga ni dhambi ,jamani nchi zenu tengenezeni uchumi uliokuwa Bora ili wazungu wakileta utamaduni wao muwakatae ,Sasa nyinyi kila kitu mnaomba Kwa wazungu mnategemea musiletewe madudu Yao?madini mnayo ,bahari mnayo,maziwa mnayo,mazao mnayo, Sasa mnataka nini ?nasema hivi walete hadi mdomoni ili akili ziwakae sawa
AahhaaaaaNeutral au sio. Bongo hatutaki tuonekane tunakiuka haki za binadamu ila mtafute j saa hizi kama anaenda maeneo yake yale wanajifungia fungia tu hawaamini kama wapo hai mpka now
Kwahiyo tuhalalishe ushoga Kwasababu watu wanalawitiwa? Kwanini tusiungane kukemea yote!
Yani tuache watu wauane Kwasababu kuna wala rushwa!!!
Jinga kweli wewe
Ndio yake Yale Marekani wanatetea haki za mashoga halafu wanaacha raia wao wanakufa Kwa Gun violence kila si
Haya tumekuelewa shoga!Fanya ya kwako, acha wafu wazike wafu wao
Wewe unatusaidiaje sasa?Waafrika ki ufupi hatujitambui na aliye turoga kafa.tunashupalia ushoga as if ndio jambo la hovyo tumeiga kutoka western na uarabuni.
Tulivyoamua kuaacha cultures zetu na ku adapt culture za jamii nyingine tulikuwa tunategemea nini?.Cultures za western nyingi za kijamii,kiuchumi na kiimani zote zimedidimiza akili za Waafrika hatujazikataa na zinazidi kutuangamiza vizazi hadi vizazi.
But kwenye ushoga ndio tumetoa macho utadhani mjusi amebanwa na mlango
Tanzania ipo neutral katika sera hii. La sivyo akina James Delicious wangesha kamatwa
Tushapigwa chuma
Ni dhahiri tunaunga mkono
Ni ukosefu wa exposure. Haya ni mambo ya kawaida sehemu nyingi duniani! Ubalozi hauwezi kufanya chochote.when in Rome, do as the Romans-hayupo ndani ya Tanzania mwache atumie Uhuru wake.
Subiri taarifa kama ile ya GGMAahhaaaaa
Mkuu mnawafanya nini siku hizi!?