Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Yaani nchi za Africa ni wajinga sana ,hapa Tanzania walawiti ni ruksa, wafiraji ni ruksa,wezi ni ruksa ila mashoga ni dhambi ,jamani nchi zenu tengenezeni uchumi uliokuwa Bora ili wazungu wakileta utamaduni wao muwakatae ,Sasa nyinyi kila kitu mnaomba Kwa wazungu mnategemea musiletewe madudu Yao?madini mnayo ,bahari mnayo,maziwa mnayo,mazao mnayo, Sasa mnataka nini ?nasema hivi walete hadi mdomoni ili akili ziwakae sawa
 

Attachments

  • Screenshot_2023-04-30-08-46-59-958_com.twitter.android.jpg
    206.2 KB · Views: 10
  • 20230428_181925.jpg
    28 KB · Views: 9
Mbona wote sura ngumu hivyo.? Huyo hawezi kuwa Mtanzania.
 
Ni dhahiri tunaunga mkono
Waafrika ki ufupi hatujitambui na aliye turoga kafa.tunashupalia ushoga as if ndio jambo la hovyo tumeiga kutoka western na uarabuni.

Tulivyoamua kuaacha cultures zetu na ku adapt culture za jamii nyingine tulikuwa tunategemea nini?.Cultures za western nyingi za kijamii,kiuchumi na kiimani zote zimedidimiza akili za Waafrika hatujazikataa na zinazidi kutuangamiza vizazi hadi vizazi.

But kwenye ushoga ndio tumetoa macho utadhani mjusi amebanwa na mlango
 
Hawezi kuchukuliwa hatua huko
 
Ametumia haki yake ya kikatiba kujieleza.

Tanzania haiwezi kumchukulia hatua huyo kwa sababu imesaini mikataba ya kimataifa ya kutetea haki za watu bila kuwabagua kwa misingi ya sexual orientation.

Ndiyo maana hata akili ndogo Makonda alivyoanzisha vita dhidi ya watu hawa, akili kubwa Waziri wa Mambo ya Nje marehemu Balozi Dr. Augustine Mahiga alimkana na kusema hiyo ni kauli binafsi ya Makonda, si msimamo wa serikali.

Dr. Mahiga hakuwa mjinga kusema vile, anajua nchi imesaini mikataba gani na ikiikiuka hilo litakuwa na maana gani katika diplomasia ya kimataifa, hata kama hapa nyumbani serikali inaweza kuwapelekapeleka tu inavyotaka.
 
Kwahiyo tuhalalishe ushoga Kwasababu watu wanalawitiwa? Kwanini tusiungane kukemea yote!


Yani tuache watu wauane Kwasababu kuna wala rushwa!!!

Jinga kweli wewe


Ndio yake Yale Marekani wanatetea haki za mashoga halafu wanaacha raia wao wanakufa Kwa Gun violence kila siku.
 
Naona Bango lake kaandika kwa mwandiko mbaya: Kuchukiana si Utanzania, Kupendana ni Utanzania.
 
 
Hmmm?! Sio musukuma huyu?! Enewei mwambie aje huku tumsikilize vizuri mana ugerman n mbali sauti haifk adje tuh ss hata sio wabaya tunampenda tutamjengea na nyumba ya futi sita mchwa wana njaa sana 😅😅
 
Wewe unatusaidiaje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…