Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Jamiiforums Bwana.Eti alitokomea???? Usije ukawa wewe ndio shoga mwenyewe. Siyo rahisi boda kakupakiza then akupe story iliyo kamili kama hii.
Mmmh..Sababu ya baadhi ya wanaume kulawiti vijana wa kiume wanadai kuwa sehemu ya nyuma ya mwanamme ni tamu sana kwenye ngono kwasababu imezungukwa na misuli ya kukakamaza uume unaposimama kwahiyo wanapochomeka pipe inabanwa vivuri na kusisimua sana uume wakati wa show, anayeingizwa nae anadai kuwa pipe inapozama kule kunako anapata msisimko mkubwa sana unaofanana na ule wa bao linapopigwa.
Msisimko huo umewafanya wawe wakaidi na wasiomsikiliza hata Mungu pale wanapoonywa kuwa ni haramu, kupiga kelele na hawa wafiraji kwakweli ni sawa na kujaza maji kwenye gunia manake hawaambiliki kabisa
Utamjuaje basha kwani ameandikwa usoni?Mmmh..
Hii comment Nina wasiwasi na wewe. Kuna asilimia kubwa wewe ni Basha maninah zako.
Ni yeye?!Ni kweli ulikimbia mzee?
Mkuu huyo shoga ana pesa nyingi za kutupa namna hiyo?ni kweli kabisa
Dogo kamfira mtu alafu analia anasema angefanyaje?Kuna kisa dogo mmoja alifanyiwa hivi hivi dar
Kuna mwanangu alikua amepanga ubungo kibangu nikawa Kila jioni naenda tunakaa mtaa tunapiga gambe, mi natokea mabibo, hapo alipopanga pembeni kapanga dogo mmoja boda tulikua tumezoea kumtuma hapa na pale japokua hapigi gambe alafu alikua mdogo anatuita ma bro
Siku Moja usiku tukakuta dogo analia, kumbananisha dogo Nini shida ndo anatuambia
Kapata abiria kijana anaenda sinza, kufika abiria kaingia ndani kuchukua hela baadae anamuita dogo njoo ufate hela ndani, nyumba nzima ndani ya uzio, dogo akapaki vizuri kachoma ndani alikua anadai buku 3, kufika ndani jamaa kaweka burungutu la pesa mezani akamwambia dogo nataka unif**e nakupa laki 2 cash sa ivi....
Watu tunasikilizia hapo, dogo akazidi kulia tu, jamaa mmoja
Akamkazia dogo "acha usenge kwa io ikawaje mbona unalia sasa"? Dogo akaongea kwa kwikwi "brother umaskini mbaya, ningefanyaje nadaiwa hela ya bosi ya wiki nzima ya pikipiki"
Ohooo, wajuba tukajua imeisha io, wa kucheka wakacheka mpaka basi, kuanzia Hio siku sikuwahi muagiza kitu huyo dogo!!
Huyo muongoMapenzi ya Jinsia moja ni jambo linalokemewa kwa Nguvu zote hapa Nchini, lakini bado linaendelea kushamiri kwakua wanaofanya ni kwa utashi wao na hakuna anayewakagua kujua kama wameanza kushiriki au La. Juzi nilikua natoka Mwanza mjini nikielekea Kwangu Mkolani, Nilishuka Nyegezi Stendi kisha nikachukua Bodaboda kwenda Majengo Mapya.. Wakati tunaelekea huko nikampa stori dereva yule, Baadaye akanisimulia kisa ambacho kiliniacha Mdomo wazi.
ni kwamba kuna siku moja alikua alimpakia kijana Lijali kwenye pikipiki yake akitokea Nyegezi Stendi kwenda Nyegezi Kona, wakati wakiwa njiani Yule kijana akaanza kumkumbatia bodaboda, akaanza kumtomasa.. Dereva mpaka akashindwa kuendesha bodaboda akasimama baada ya kusimama Kijana yule akatoa Burungutu la Fedha akampa huyo Bodaboda akimshawishi kwenda kumfanyia hicho kitendo.. Huyo Bodaboda kwa Maelezo yake alichukua Pesa akaondoa Pikipiki yake kwa kasi na akatokomkea, sasa najiuliza ni vijana wangapi wenye tamaa ya pesa wanaopewa na kujihusisha na mapenzi haya Haramu? iko haja kwa Elimu kutolewa kwa makundi haya Maalumu ili tusipoteze hiki kizazi.
Hii experience uliyoandika siyo mchezo.Utamjuaje basha kwani ameandikwa usoni?
Bongo 90% ni wafiraji 10% tu ndo wala papuchiMmmh..
Hii comment Nina wasiwasi na wewe. Kuna asilimia kubwa wewe ni Basha maninah zako.
Namuunga mkono dogoKuna kisa dogo mmoja alifanyiwa hivi hivi dar
Kuna mwanangu alikua amepanga ubungo kibangu nikawa Kila jioni naenda tunakaa mtaa tunapiga gambe, mi natokea mabibo, hapo alipopanga pembeni kapanga dogo mmoja boda tulikua tumezoea kumtuma hapa na pale japokua hapigi gambe alafu alikua mdogo anatuita ma bro
Siku Moja usiku tukakuta dogo analia, kumbananisha dogo Nini shida ndo anatuambia
Kapata abiria kijana anaenda sinza, kufika abiria kaingia ndani kuchukua hela baadae anamuita dogo njoo ufate hela ndani, nyumba nzima ndani ya uzio, dogo akapaki vizuri kachoma ndani alikua anadai buku 3, kufika ndani jamaa kaweka burungutu la pesa mezani akamwambia dogo nataka unif**e nakupa laki 2 cash sa ivi....
Watu tunasikilizia hapo, dogo akazidi kulia tu, jamaa mmoja
Akamkazia dogo "acha usenge kwa io ikawaje mbona unalia sasa"? Dogo akaongea kwa kwikwi "brother umaskini mbaya, ningefanyaje nadaiwa hela ya bosi ya wiki nzima ya pikipiki"
Ohooo, wajuba tukajua imeisha io, wa kucheka wakacheka mpaka basi, kuanzia Hio siku sikuwahi muagiza kitu huyo dogo!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bongo 90% ni wafiraji 10% tu ndo wala papuchi
Sema wabongo ni wanafirana sio umtaje mtu, nani aliyeandikwa usoni anachezea matakoHii experience siyo ya kitoto umeandika.
Eti misuli ya mwanaume anayefirwa imebana kwa sababu ya uume alafu ukimzagamua unahisi utamu maana nyuma kumebana Sana,na anayefi*wa nae anasikia Kama anapiga bao. Wewe Ni Basha mzee!!
We ulisikia akiongea hayo... Watanzania kwa uongo aise ni asili yetuMapenzi ya Jinsia moja ni jambo linalokemewa kwa Nguvu zote hapa Nchini, lakini bado linaendelea kushamiri kwakua wanaofanya ni kwa utashi wao na hakuna anayewakagua kujua kama wameanza kushiriki au La. Juzi nilikua natoka Mwanza mjini nikielekea Kwangu Mkolani, Nilishuka Nyegezi Stendi kisha nikachukua Bodaboda kwenda Majengo Mapya.. Wakati tunaelekea huko nikampa stori dereva yule, Baadaye akanisimulia kisa ambacho kiliniacha Mdomo wazi.
ni kwamba kuna siku moja alikua alimpakia kijana Lijali kwenye pikipiki yake akitokea Nyegezi Stendi kwenda Nyegezi Kona, wakati wakiwa njiani Yule kijana akaanza kumkumbatia bodaboda, akaanza kumtomasa.. Dereva mpaka akashindwa kuendesha bodaboda akasimama baada ya kusimama Kijana yule akatoa Burungutu la Fedha akampa huyo Bodaboda akimshawishi kwenda kumfanyia hicho kitendo.. Huyo Bodaboda kwa Maelezo yake alichukua Pesa akaondoa Pikipiki yake kwa kasi na akatokomkea, sasa najiuliza ni vijana wangapi wenye tamaa ya pesa wanaopewa na kujihusisha na mapenzi haya Haramu? iko haja kwa Elimu kutolewa kwa makundi haya Maalumu ili tusipoteze hiki kizazi.
Mimi ninayeandika hapa sijawahi kumf*ra mtu,hiyo hesabu yako ya probability efi wabongo asilimia 90 wanafirana umeitoa wapi? Mbona kwenye sensa mwaka Jana hatukuulizwa Hilo swali la unafirana?Sema wabongo ni wanafirana sio umtaje mtu, nani aliyeandikwa usoni anachezea matako
Angewala na kuwala na Hela angekulaDah kuna mwingine juzi alisimulia alipakiza mashoga wawili alipowafikisha wanakoenda akawachana live kuwa wao no.majembe waache mambo yao wale mashoga wakaanza kumuambia jamaa bodaboda mshamba .Jamaa anadai siku iliyofuata hakula hata kichwa kimoja kwenye bbodaboda mpaka jioni akiammini wale mapunga alioowabeba walimletea nuksi.Jamaa ameapa atakuja kubeba tena choko kwenye bodaboda
Acheni kujusfify usenge wenu mnaoufanya.Uzinzi na ufiraji ni kitu kimoja tofauti ni tundu Gani linstumika
Subiri wakuletee makalio yao wabong'oe usipowatafuna niite mbwa, kuna mtu alikua anapiga kelele kila siku kaonjeshwa Tigo sahizi kimyaMimi ninayeandika hapa sijawahi kumf*ra mtu,hiyo hesabu yako ya probability efi wabongo asilimia 90 wanafirana umeitoa wapi? Mbona kwenye sensa mwaka Jana hatukuulizwa Hilo swali la unafirana?
Acheni michezo yenu ya kifirauni wasengerema nyie. Alafu unaonekana wewe ndiye uliyemshawishi bodaboda.