Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Papa Francis ambae ni mkuu wa kanisa kubwa duniani la kikatoliki kisha ukubali ushoga, tutegemee nini?

Kila anaekwambia mkatoliki ujuwe kisha ukubali ushoga.

Tuna lazi kubwa sana, lakini hao mashetani hawana ubavu wa kushindana na Mwenyezi Mungu. Walishushiwa AIDS wanaona wameishinda ngoja kiwashukie kimbembe kingine.

Yetu macho na dua.
 
Kwani wewe ni mnyama,? Je una akili kama za wanyama. Na nikisema wanyama nadhani unaelewa nazungumzia nini.
Jamani hivi huna akili au. Sijasema mimi mnyama. Nimeclarify fact ambao watu hujaribu kusema kwamba hamna wanyama mashoga. Wanyama mashoga hao hapo so mtoe sababu zingine za maana
 
Hata marekani na ulaya mashoga wananyanyapaliwa na huwezi kufanya kitu. We kukubali mtu haimbadilishi haja zake za kimwili. Mwili wake maamuzi yake.
 
Niambie wewe mtu Akiwa kigoma upo dar anagongana na mwanaume guest. We unapungukiwa nini
 
Ukiwa na mtoto Kama hutaki awe shoga pambana nae mwenyewe. Usianze kuweka fikra zako akilini kwa watu wote.
 
Hawa Kuna kitu wanajaribu ku promote lakini wapo kwenye jamii tofauti isiyo yapa promo mambo ya ushoga. Wamepotea njia. Pitia thread yote utanielewa.
We uliyonjia sahihi si unaishi katika nchi iliyoendelea kisiasa kijamii na kiuchumi kuliko hio
 
Wanapaswa kupimwa akili manake huwezi ku act against nature, na wanatumia nguvu nyingi kweli kweli.
Nature? What is nature? Nature is everything around us. Plants animals buildings stars zote hizo. Nothing is against nature Kama kila kitu kinatokea in nature. Wanyama wapo in nature na wanafirana. But do u know wat isn't in nature. Mungu, wanasema Mungu hayupo ulimwenguni na at the same time wanasema yupo kila mahala. So Mungu nae ni against nature. Hana sifa za nature, haonekani, hasikiki, hanuswi, haguswi so it means utamchukia mungu sio. Coz ni against nature
 
Aah...wat the hell is this. AIDS imeshushwa kisa ushoga. Haya Kama ndo unataka twende hivi bac sawa. Marekani na Africa(nchi ambazo zinapinga ushoga) zipi zinaongoza kwa ukimwi. Jibu swali usikimbie. Papa ni Kima Kama Mimi kachaguliwa kuongoza watu waliokariri story za mababu bac. Bora nimuheshimu Rais kuliko yeye, Ila hajakubali ushoga. Amesema tofautisheni dhambi na sheria. Serikali na Dini r too separate entities. Dini ni imagination zako na wenzako ndo maana dini zipo zaidi ya 3000 duniani. Ila sheria hairuhusiwi kumbagua mtu kisa anachofanya chumbani.
Hao unasema mashetani wametengeneza iphones, satellites, ndege, wameenda mwezini na ndo wanaokupa misaada kila siku unapata hela ya kula. We Baki kwenda kanisani kuwajengea wachungaji maghorofa wenzako wanaendelea kufanya maisha Yao yawe marahisi ndo maana hata corona imekuja imekaa mwaka mmoja washapata chanjo na wanatuuzia sisi ambao tumedanganywa corona imeondoka kwa kwenda kanisani. Tumia akili sio hisia sawa, maendeleo yanaletwa na kutumia akili sio kuamini story za mababu. Ndo maana ukiona Masai kaendelea ujue kaamua awe wa kisasa. Maendeleo yanaanza na mabadiliko ya kifikra.
 
Kwenye mioyo yao kuna maradhi na Mwenyezi Mungu atawazidishia maradhi.
 
Kwenye mioyo yao kuna maradhi na Mwenyezi Mungu atawazidishia maradhi.

Kwenye mioyo yao kuna maradhi na Mwenyezi Mungu atawazidishia maradhi.
Hivi hujiulizi kwa Nini wazungu wamekuja na dini wamekutawala nayo na wameondoka huko wao wakiachana nayo Ila we ambayo umeletewa umeikazania tafkiri ulikuwa unaijua Sana kuliko wao. Wao ndo wamekuja na hio dini na ndo maana wanajua umuhimu wake ni kutawala wajinga walivyoona washatawala vya kutosha wakaachana nayo
 
Sikuelewi unachoongea.
 
Umecomment moja. Ehe ongelea wanyama wengine plz
Nimeongelea hiyo picha uliyotumia kupotosha umma, hata wanyama huwa hawakwendi against nature sasa kama wewe umeamua kwenda against nature ukwende mwenyewe sababu ndo njia uliyoichagua lakini usijaribu kupotosha kwa kutumia hoja za upotoshaji.
 
Mbna hutoi hoja za mashiko, wee ni mihemko isiyo na tija? Msipokua na hoja kaeni kimyaa, sio kupovukwa na kuropokwaa
Non sense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…