Wewe ndo uthibitishe kuwa hayupoThubitisha uwepo wa Mungu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usilete story zako za kutunga hapa.
Sawa kalia unachokijua wewe manake umeshindwa kufanya tafiti umekomaa kukopi kila unachokiona.Ingia Wikipedia search homosexuality in animals soma. Soma na citations zote na reference zote. Afu nend kafanye control experiment mwenyewe. Hutaki acha. Mi sio mhubiri. Silazimishi.
Thibitisha kuwa Yupo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndo uthibitishe kuwa hayupo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie wananiachaga hoi mnoo.Akili ya mbongo akiona fact hakubaliani nayo anakuambia ni propaganda. Watu kubalini kushindwa nature isn't a good argument. Mbona sababu za msingi zipo nyingi Sana fikirieni nyingine bac maana hii ya mababu zenu imeshindikana Kama watu wahumu mna akili za kufikiria kuliko wazungu waliotumia dini kuwatawala. Tumieni akili mtoe sababu ya msingi kukataa ushoga. Nature imebuma. Dini imebuma.
Kama umediriki kusema kwamba….Niambie nature ni nini usikimbie swali. Nature ni nini.
Cocastic🤣🤣🤣🤣 wewe dawa yako ni ndogo sana mamaaaParagraph ya mwisho, aibu naona mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umwonaye hapo kwenye picha ni binadamu kama wewe na mimi aliyekwama chini ya kifusi cha udongo kwa zaidi ya miezi mitatu na amekutwa akiwa hai, sasa ebu nipe sababu za kisayansi zitakazokinzana na uwepo wa Mungu kwa tukio hili then mie nitaanzia hapo kukujibu .Thibitisha kuwa Yupo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo zote ni tabia ni ishu za maroho machafuHakuna genetic za ubakaji au ufataki pia. Hakuna genetic za kuua pia. So what's ur point hapa. We sio daktari so u have no knowledge on the human biology. Ukiwa una knowledge ndo urudi.
Thibitisha kutokuwepo kwa MunguThubitisha uwepo wa Mungu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usilete story zako za kutunga hapa.
Mi sijacopy chochote. Ndo maana mbwa anakula watoto wake lakini huwezi sema tufanye hivyo coz it's nature. That's my point. Hoja ya nature ni ya uongo.T
Sawa kalia unachokijua wewe manake umeshindwa kufanya tafiti umekomaa kukopi kila unachokiona.
Nature ni all living and non living things. Hilo jengo limejengwa na mchanga cement ambayo Ni limestone rangi ambayo Ni mafuta which comes from organic matter. Everything is nature. We ndo urudi shule. Kwa Nini ukitupa taka barabarani unaambiwa unachafua mazingira. Soma environment topic kwenye geography darasa la tatu alafu urudi huku.Kama umediriki kusema kwamba….
“ Nature is everything around us. Plants animals buildings stars zote hizo”.
Kwamba hadi buildings ni nature, sina cha kukusaidia🤣 go back to school. Tutaonana muda mwingine. I’m out.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaahCocastic[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe dawa yako ni ndogo sana mamaaa
Huu ndio uthibitisho kuwa Mungu yupoo??Umwonaye hapo kwenye picha ni binadamu kama wewe na mimi aliyekwama chini ya kifusi cha udongo kwa zaidi ya miezi mitatu na amekutwa akiwa hai, sasa ebu nipe sababu za kisayansi zitakazokinzana na uwepo wa Mungu kwa tukio hili then mie nitaanzia hapo kukujibu .
Hayupo ndiyo kwa sababu haonekani.Thibitisha kutokuwepo kwa Mungu
Hii Ni sababu ya kijinga Sana. Watu wamekufa kwenye kifusi hicho hicho Ila mmoja kasurvive hence mungu yupo. Kama hujui kitu kaa kimya. Huyo Mungu si aokoe watoto million wanaokufa kwa njaa kila mwaka Kama ana haya maajabu kuliko kuchagua mtu mmoja mmoja. Kitu usichokielewa usimpandikize Mungu. La sivyo unamfanya huyo Mungu wako aonekane mchoyo na mbaguzi. Mtu akifa Mungu kamuita asipokufa Mungu kamuokoa Akiwa kilema Mungu kamuepusha kifo Akiwa mzima Mungu kambariki. Hebu tumieni akili na ulete hoja ya msingi. Coz hii hoja ni ya kijinga. Mungu awepo asiwepo bado watu watakufa na Kuna watu watapona. So sio uwepo wake. Mbona katuacha tokea enzi za kuongea kwa miti inayoungua na tumeenda freshi tu bila yeye na story za wayahudi za watoto.Umwonaye hapo kwenye picha ni binadamu kama wewe na mimi aliyekwama chini ya kifusi cha udongo kwa zaidi ya miezi mitatu na amekutwa akiwa hai, sasa ebu nipe sababu za kisayansi zitakazokinzana na uwepo wa Mungu kwa tukio hili then mie nitaanzia hapo kukujibu .
Kwani kuna njia ngapi za kuthibitisha uwepo wa jambo mbali na macho kuonaHayupo ndiyo kwa sababu haonekani.
Sasa wee km yupo mlete hapa tumuonee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo unaujuaji usio na faida. Mi nazungumzia nature we unazungumzia mazingira.Nature ni all living and non living things. Hilo jengo limejengwa na mchanga cement ambayo Ni limestone rangi ambayo Ni mafuta which comes from organic matter. Everything is nature. We ndo urudi shule. Kwa Nini ukitupa taka barabarani unaambiwa unachafua mazingira. Soma environment topic kwenye geography darasa la tatu alafu urudi huku.
SawaHii Ni sababu ya kijinga Sana. Watu wamekufa kwenye kifusi hicho hicho Ila mmoja kasurvive hence mungu yupo. Kama hujui kitu kaa kimya. Huyo Mungu si aokoe watoto million wanaokufa kwa njaa kila mwaka Kama ana haya maajabu kuliko kuchagua mtu mmoja mmoja. Kitu usichokielewa usimpandikize Mungu. La sivyo unamfanya huyo Mungu wako aonekane mchoyo na mbaguzi. Mtu akifa Mungu kamuita asipokufa Mungu kamuokoa Akiwa kilema Mungu kamuepusha kifo Akiwa mzima Mungu kambariki. Hebu tumieni akili na ulete hoja ya msingi. Coz hii hoja ni ya kijinga. Mungu awepo asiwepo bado watu watakufa na Kuna watu watapona. So sio uwepo wake. Mbona katuacha tokea enzi za kuongea kwa miti inayoungua na tumeenda freshi tu bila yeye na story za wayahudi za watoto.
Cheka kwa raha zako mamaaHuu ndio uthibitisho kuwa Mungu yupoo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sitaki kucheka hapa.
Dawa yako ninayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaah