Huwezi kutenganisha unafiki na wabongo, wanaume wana walaumu wanawake wanakuza ushoga na ku support, ili hali watengenezaji wa ushoga ni wao wanaumee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume acheni kulana wenyewe kwa wenyewe na ushoga hautakuwepo, mchana mnawachukia na kuwatenga, usiku mnakua nao 0 distance mna pumuliana na kuhemeana afu lawama kwa wanawake, serious??
Hao watoto wa kiume wenye hulka na silka ya kike, muwaache hivyo msiwatongoze mbna ushoga hautakuwepooo.
Mabashaa ndo tatizo LA ushogaa. Kuweni wazii tyuuh.