DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Hawa nikikutana nao nakata mitama milioni mianane hamsini na sita elfu mia mbili kumi na moja nukta saba halafu nawatandika mawe ya kutosha visogoni... Pumbafsana
Wa kigauni nyekundu kipotabo 🔥🔥🔥Sihitaji salamu,hizo nimewaachia watu wa pwani Dar na Zanzibar!.
Hivi unadhani ni kwanini suala la Usagaji wa Mahindi kutoka Sumbawanga halipewi kipaumbele kwenye mijadala mingi ukilinganisha na suala la ushoga baina ya Mwajuma na Rebecca?,Je Ushoga wa Mwajuma na Rebbeca ni kitu hatarishi sana katika jamii ya watanzania kuliko Usagaji wa mahindi kutoka Sumbawanga?
Mijadala mingi hapa JF imekuwa ikiongelea na kugusia Ushoga baina ya Mwajuma na Rebbeca lakini sijaona kabisa mijadala kuhusu Usagaji wa nafaka aina ya Mahindi kutoka Sumbawanga,Je ni halali kusagwa kwa mahindi kutoka Sumbawanga katika mashine zetu ila Ushoga baina ya Mwajuma na Rebbeca ni haramu?
Hii imekaaje?
Au ndo yale yale ya Kuingiliwa kinyume na maumbile kwa mtu mume ni haramu ila kuingiliwa kinyume na maumbile mtu muke ni halali?
View attachment 2646971
HaramWa kigauni nyekundu kipotabo 🔥🔥🔥
Kitu gani haramHaram
Kinyaa kivipi mkuu?,Kwahiyo uume unapoingia kwenye Ndukumu ya mwanaume ni kinyaa ila ukiingia kwenye ndukumu ya mwanamke si kinyaa?Ushoga ni kinyaa ! Usagaji ni masterbation iliyochangamka!
Mapenzi ya Jinsia mojaKitu gani haram
Kwanini ufutwe mkuu?Nimesharipoti huu Uzi hauna maisha zaidi ya dakika 30. Utafutwa
Kivipi?Watajuana wenyewe as long as ni miili yao.
Haya maswali ndio yanahamsisha na kutangaza huu upuuzi.
Mi nimempenda tu huyo wa kigauni chekundu wanayoyafanya na mwenzie hio ni juu yaoMapenzi ya Jinsia moja
Mwanamke kuingiliwa kinyume ni usagaji? Navyoelewa usagaji ni ke Kwa ke kusuguana! Anyway mie simoKinyaa kivipi mkuu?,Kwahiyo uume unapoingia kwenye Ndukumu ya mwanaume ni kinyaa ila ukiingia kwenye ndukumu ya mwanamke si kinyaa?
umesoma vizuri andiko na kulielewa au umekunywa komoni?Mwanamke kuingiliwa kinyume ni usagaji? Navyoelewa usagaji ni ke Kwa ke kusuguana! Anyway mie simo
Kwa kifupi wewe ni mpumbavuUnadhani ni kwanini Ushoga unajadiliwa sana Kuliko Usagaji?
Sababu akitoka MUNGU anakuja Mwanaume kisha anakuja Mwanamke ndio maana watu baadhi huhisi kua MUNGU ni Mwanaume kutokana na uumbaji aliumba mtu anaefanana nae kisha akamtumia Mwanaume kumuumba Mwanamke, sasa ni MUNGU gani anakua shoga anaefirwa na Wanaume wengine ? Mwanamke ameumbwa kwa mfano wa Mwanaume sio kwa mfano wa MUNGU maana kwenye uumbaji wa kwanza kuumbwa ni Mwanaume, kwa mujibu wa Maandiko ya vitabu vya Dini