Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ogopa sana Uswahili. Maeneo mengi yenye Uswahili mambo ya kishenzi sana ni utamaduni wao. Vigodoro nk
 
Ogopa sana Uswahili. Maeneo mengi yenye Uswahili mambo ya kishenzi sana ni utamaduni wao. Vigodoro nk
Uswahilini kuna kila dhambi... Ushoga, kulogana, umbea, wizi, ufusika na uchafu wote... Kwao kawaida tu
 
Mapenz ya Jinsia moja ni suala binafsi na hufanyika sirini na HASARA au faida (kama ipo) huenda Kwa mtu
binafsi wala si taifa. Hivyo halipaswi kuwa mjadala wa kitaifa.

** Wanaofanya matendo hayo Kwa sasa ni weengi hawatumii sheria Wala Sera yoyote, Kwa hiyo tusipoteze muda na muelekeo, kujadili hoja mfu.

NB: Kama taifa tuwekeze kwenye elimu, teknolojia na afya kwa wananchi.
 
Mapenz ya Jinsia moja ni suala binafsi na hufanyika sirini na HASARA au faida (kama ipo) huenda Kwa mtu
binafsi wala si taifa. Hivyo halipaswi kuwa mjadala wa kitaifa.


NB: Kama taifa tuwekeze kwenye elimu, teknolojia na afya kwa wananchi.
Uibaji wa kura tunaousema ni suala la siri halifanyiki hadharani kwa hiyo lisijadiliwe ?

Rushwa ni suala la siri halifanyiki hadharani,kwa hiyo lisijadiliwe ?

Utekaji ni suala la siri,linafanyika hadharani,kwa hiyo lisijadiliwe ?
 
Hayo Mambo yenu huko Mjini Dar es Salaam. Huku Peramiho watu hawawazi kupasuana mitaro bali Kilimo na ufugaji tu
 
Hali ni mbaya sana aisee yaani too much kabisa Taifa linazidi kukosa vijana mashababu hususani maeneo ya Tanga napata ukakasi kwa maeneo ya Tanga kumtambua kijana shababu ni yupi au kijana mchere mchere ni yupi yaani hali ni too much sanaa aiseee

Nenda maeneo kama pale sabasaba au kule Castala villa utakuja vijana wengi wa kiume wamevaa kikuu na then watu wa pale wanajiuza eti vijana wa kiume wapo kabisa kwenye msururu eti.wanajiuza eti sio poa kabisa

Asilimia kubwa vijana wengi wa Tanga wanapakuliwa aisee sijui viongozi wa mkoa wa Tanga wako wapi?
 
Tanga waja leo waondoka leo.....tatizo Tanga watoto wa kiume wanakaa jikoni na mama zao.

Afu watoto wa Tanga ni weupe mashallah kama kina jaymelody, kusah, lafudhi ya kitanga nayo inashawishi.

Watoto wadogo miaka 6 mpaka 15 wanaangalia mama zao wakiyamwaga mauno kwenye zile baikoko na vigodoro, wanaiga michezo ya kukalia chupa, mwisho wa siku nao wanayamwaga.

Ukitaka kujua men ni shoga nenda club.
 

Dooh,msiba mzito huu.
 
Jamii ya tz inaongea suala la ushoga mdomo ila wakemeaji wakuu ndio wafiraji wakuu.
 
Jay melody ni wa MOROGORO please...japo watu wa morogoro hawana tofauti kubwa na Tanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…