Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Hili janga sasa mmmh ama kweli wahasiwe tu wanaowafanyia vitendo hivi watoto,kuna pisi moja mwanangu sana anafanyia kazi mashirika haya ya haki za watoto kwa kweli hali ni mbaya sana ,sasa juzi tu kuna mtoto alilawitiwa wa miaka sita na aliyemlawiti ni wa miaka kumi na sita(16) kufanya vipimo hospitali wakakuta hata huyo aliyemlawiti mwenzie hana marinda hata kidogo nae anafanyiwa yani mwili ulikufa ganzi niliposikia 🥵🥵🥵
 
umenikumbusha mama adija kopa na mwanaye kwa sasa marehemu
 
Naona wanatumia sana alama ya rainbow - Upinde inayotumiwa na mitandao inayopigia upatu mambo ya kishoga .

Siku moja katika kipindi chao niliona wanachomekea ajenda ya kukumbatiana kwamba unahitaji kukumbatiwa usiwe mpweke na wakakumbatiana watoto wawili wa kiume. Nilitia shaka ILA nikaapa kufuatilia. Baadae nikagundua pia wapo sponsored na wamarwkani.

Kama kweli hatutaki ushoga basi hii asasi inayotoa vipindi vya elimu kwa watoto kwa njia ya tv itazamwe naona viashiria vya shetani ndani yao
 
Naona wanatumia sana alama ya rainbow - Upinde inayotumiwa na mitandao inayopigia upatu mambo ya kishoga...
Tafuta kazi ufanye..ushoga upo ulikuwepo na utaendelea kuwepo.

Kwanza kuuongelea ongelea ndio mnaupa umaarufu.

There is no bad publicity.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wasi wasi wako tu walahi
Hizo nchi zilizo wapa ruksa, bado wanaume kamili wapo kwa wingi sana walahi
Na hawapendwi na wengi ila huwezi kuwabagua ni kosa.

Nimefanya kazi sehemu nyingi sijawahi kufanya na hao watu ila nasikia tu wapo

Huwaoni kama huna shughuli nao ila wapo
 
Hii ni aibu kubwa

Kuna bwege mmoja alinitumia link ya Telegram nikaingia huko. Nilichokutana nacho ilinibidi nifunge siku nzima nikiomba TOBA kwa Mungu.

Vijana mahendisam wa kibongo wanapakuliwa mzigo na wanajiuza waziwazi na wanatuma vids zao wakinyooshwa marinda.

Wapo wanawake pia wanaishi kwenye trauma kubwa baada ya kugundua waume zao ni versatile yaani wanapakuliwa kinyume na maumbile.


Sikuwahi kufikiria kuwa bongo imekuwa nyoso hivyo. Nilidhani wapo wachache na Wanajificha mnoo. Jamaa nimemuhoji tangu lini yupo kwenye group za kununua mashoga wa kibongo kanijibu ni mwaka qa tatu sasa. Ananiambia kuwa wanaume wengi wanaoenda GYM huwa wanaenda kujiuza ama kununua wanaume wenzao.

Kama jamii, tunaweza kusema tunalaani na kukemea ushoga na usagaji lakini hao hao wanaokemea ndiyo wanunuzi ama washiriki wakubwa. Maeneo yaliyotia fora ni Tabata. Mbagala, Mbezi na Sinza.

Wazazi ni muhimu sana kuweka uangalizi chanya kwa watoto kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.

Hatari kubwa hii
 
Hii ni aibu kubwa

Kuna bwege mmoja alinitumia link ya Telegram nikaingia huko. Nilichokutana nacho ilinibidi nifunge siku nzima nikiomba TOBA kwa Mungu.

Vijana mahendisam wa kibongo wanapakuliwa mzigo na wanajiuza waziwazi na wanatuma vids zao wakinyooshwa marinda.

Wapo wanawake pia wanaishi kwenye trauma kubwa baada ya kugundua waume zao ni versatile yaani wanapakuliwa kinyume na maumbile.


Sikuwahi kufikiria kuwa bongo imekuwa nyoso hivyo. Nilidhani wapo wachache na Wanajificha mnoo. Jamaa nimemuhoji tangu lini yupo kwenye group za kununua mashoga wa kibongo kanijibu ni mwaka qa tatu sasa. Ananiambia kuwa wanaume wengi wanaoenda GYM huwa wanaenda kujiuza ama kununua wanaume wenzao.

Kama jamii, tunaweza kusema tunalaani na kukemea ushoga na usagaji lakini hao hao wanaokemea ndiyo wanunuzi ama washiriki wakubwa. Maeneo yaliyotia fora ni Tabata. Mbagala, Mbezi na Sinza.

Wazazi ni muhimu sana kuweka uangalizi chanya kwa watoto kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.

Hatari kubwa hii
Hali ni mbaya, kuna mmoja nilikutana nae mchana kweupe kajiremba hatari, pisi akasome.
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Kwa hiyo ule wakati wa wanawake 7 kumlilia mwanaume mmoja ndio umewadia?

Enewi tutawasaidia 🤣🤣🤣
 
Hiv serikali wao wamepima huu upuuzi na kuona hauna effect yoyote au wapo wapo tuu hawajua wasimame wachuchumae au wakae

Inabd huu upuuz upngwe
 
Kuna mmoja nilionyeshwa tena na ushahidi kabisa kuwa ni upinde, kijana ni wa ki corporate kabisa, smart, successful pesa ya kubadilishia mboga ipo ila ndio hivyo anakazwa.

Halafu alianza mchezo mkubwa tu akiwa na miaka 23.
 
Haya mambo yana uhusino mkubwa na sera hizi za kucopy kutoka mataifa ya kimagharibi.

Ukianzia mambo ya haki sawa yamechangia sana hili janga. Vijana wetu wanakutana na mabinti wanaowaonyesha viburi na jeuri hadi wanakosa mood ya kuwa na wanawake sababu ya kuepuka rejection na kero za kudeal nao wanaona watafute affection kwa wanaume wenzao.

Malezi especially ya single mothers. Wanawake wanalea watoto kimahaba sana. Mabusu kibao na kukumbatiana kama nyani muda wote. Mtoto wa kiume hii inamfanya awe laini na kushindwa kudevelop vizuri male traits ndani yao wanabakia kuwa soft ndani ya nafsi. So wakimiss yale mahaba ukubwani wanajikuta wanaliwa na wanaume wenzao wanaojua kubembeleza.

Mwanamke akilea mtoto bila baba around impact mojawapo ni kutoa picha ya uanaume katika akili ya mtoto yule. So akikua anakuwa hana ajualo kuhusu kuwa mwanaume kwa mwanamke wake so anajikuta anavutiwa na wanaume wenye traits za kiume.

Madogo wengi wa miaka hii hawajui tofauti ya kuwa mwanaume au mwanamke. Maana hata nguo za siku hizi wanavaliana wa kike na wa kiume. Tazama akina rayvan, wanavyosuka nywele kama dada zao. Sasa Madogo wa sampuli hizi umuweke meza moja na Mimi kwann asijiskie dhaifu na kuomba niwe mume wake.

Sera za kiserikali especially maeneo ya Afya na chakula napo ni pa kutazama. Chakula ni silaha nzuri sana ya kujenga taifa lolote.
Tokea miaka ya 1990s serikali na wizara husika wamekuwa very careless kuhusu raia wao vyakula wanavyokula, dawa wanazotumia, mambo ambayo yanachangia sana mabadiliko ya kitabia. Mfano Tazama vyakula vinavyotokana na mbegu za kisasa (GMO).
Tazama mabinti wanavyobwia P2 kila siku, hizi dawa zinawavuruga mzunguko halisi wa uzazi na kudisturb msawazo wa hisia.
Ndio Maana unaweza kushangaa mabinti wa siku hizi especially hawa kuku wa bloiler (mabinti wa mijini) wengi hawana hisia, Labda akuone na hela na hapo tamaa ya hela sio mahusiano.

Naturally vitu vinavyomvutia mwanamke ni Jasho, mchoro wa kidevu cha mwanaume, pua, kifua, gardenlove, sauti nzito, wingi wa ndevu, misuli ya mikono, etc. Ila mabinti wa kisasa hawapo responsive na hizo features wanataka mwanaume soft, mpaka poda, sauti, mwanaume ambaye hata Mimi nikimuona nadinda nataka nikamgegede, why wanaume sasa wasianze kulana na kundi kubwa wanaanza kulainika?!

Kuna mengi sana nyuma ya pazia ila yote inachangiwa na sera za serikali kwa raia.
Kama kuna viongozi wa serikali humu, ni vizuri wasome comment hii kama ushauri kwao na kulifanyia kazi ili kuokoa hiki kizazi cha sasa

La sivyo, Taifa linaangamia hili na nguvu kazi kupotea
 
Hili janga sasa mmmh ama kweli wahasiwe tu wanaowafanyia vitendo hivi watoto,kuna pisi moja mwanangu sana anafanyia kazi mashirika haya ya haki za watoto kwa kweli hali ni mbaya sana ,sasa juzi tu kuna mtoto alilawitiwa wa miaka sita na aliyemlawiti ni wa miaka kumi na sita(16) kufanya vipimo hospitali wakakuta hata huyo aliyemlawiti mwenzie hana marinda hata kidogo nae anafanyiwa yani mwili ulikufa ganzi niliposikia [emoji3062][emoji3062][emoji3062]
Ushoga na ulawiti ni vitu viwili tofauti, japo tendo ni lile lile 1.
 
Hii ni aibu kubwa

Kuna bwege mmoja alinitumia link ya Telegram nikaingia huko. Nilichokutana nacho ilinibidi nifunge siku nzima nikiomba TOBA kwa Mungu.

Vijana mahendisam wa kibongo wanapakuliwa mzigo na wanajiuza waziwazi na wanatuma vids zao wakinyooshwa marinda.

Wapo wanawake pia wanaishi kwenye trauma kubwa baada ya kugundua waume zao ni versatile yaani wanapakuliwa kinyume na maumbile.


Sikuwahi kufikiria kuwa bongo imekuwa nyoso hivyo. Nilidhani wapo wachache na Wanajificha mnoo. Jamaa nimemuhoji tangu lini yupo kwenye group za kununua mashoga wa kibongo kanijibu ni mwaka qa tatu sasa. Ananiambia kuwa wanaume wengi wanaoenda GYM huwa wanaenda kujiuza ama kununua wanaume wenzao.

Kama jamii, tunaweza kusema tunalaani na kukemea ushoga na usagaji lakini hao hao wanaokemea ndiyo wanunuzi ama washiriki wakubwa. Maeneo yaliyotia fora ni Tabata. Mbagala, Mbezi na Sinza.

Wazazi ni muhimu sana kuweka uangalizi chanya kwa watoto kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.

Hatari kubwa hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo kwa kweli. Mweeeeeeh.
 
Back
Top Bottom