Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Hali ni mbaya, kuna mmoja nilikutana nae mchana kweupe kajiremba hatari, pisi akasome.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mwenzio yuko sokoni, asijirembe akose Dangaaa?? Uwiiiiih
 
Hiv serikali wao wamepima huu upuuzi na kuona hauna effect yoyote au wapo wapo tuu hawajua wasimame wachuchumae au wakae

Inabd huu upuuz upngwe
Uwezo wa kupinga wanao? Unadhan pesa mnazokopa na zile mnazopewa km msaada, inaletwaa bureeee? Poleeeeni sanaaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mmoja nilionyeshwa tena na ushahidi kabisa kuwa ni upinde, kijana ni wa ki corporate kabisa, smart, successful pesa ya kubadilishia mboga ipo ila ndio hivyo anakazwa.

Halafu alianza mchezo mkubwa tu akiwa na miaka 23.
Wengine wanajifichaaa wakiwa utotoni, wakifika ukubwan wanaamua kufuata hisia zao. Hisia haijawahi kuishinda chochote.
 
Kama kuna viongozi wa serikali humu, ni vizuri wasome comment hii kama ushauri kwao na kulifanyia kazi ili kuokoa hiki kizazi cha sasa
Tena na mie nakazia hapo hapo huyo baba kaongea ukweli mtupu na hajaacha chochote. Yuko sahihi sanaaaa.
 
Jamani wapo wapi hao wanaotaka kufumukiwanlinda na sie tukawakule...connection jamani plz
 
Jamani wapo wapi hao wanaotaka kufumukiwanlinda na sie tukawakule...connection jamani plz
Km kawaida yako mzee wa topeee hukosekani lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hali iko wazi sana,leo nimesikia jamaa analalamika kua anatongozwa na relative wa mgonjwa,daah! sijui tunaelekea wapi?
 
Mashoga hua yanajiamini labda kwa kua yana Ile confidence ya kiume kuna moja ilo linaishi sinza linaimba injili
Anakufata inbox bila wasiwasi
 
Hii ni aibu kubwa

Kuna bwege mmoja alinitumia link ya Telegram nikaingia huko. Nilichokutana nacho ilinibidi nifunge siku nzima nikiomba TOBA kwa Mungu.

Vijana mahendisam wa kibongo wanapakuliwa mzigo na wanajiuza waziwazi na wanatuma vids zao wakinyooshwa marinda.

Wapo wanawake pia wanaishi kwenye trauma kubwa baada ya kugundua waume zao ni versatile yaani wanapakuliwa kinyume na maumbile.


Sikuwahi kufikiria kuwa bongo imekuwa nyoso hivyo. Nilidhani wapo wachache na Wanajificha mnoo. Jamaa nimemuhoji tangu lini yupo kwenye group za kununua mashoga wa kibongo kanijibu ni mwaka qa tatu sasa. Ananiambia kuwa wanaume wengi wanaoenda GYM huwa wanaenda kujiuza ama kununua wanaume wenzao.

Kama jamii, tunaweza kusema tunalaani na kukemea ushoga na usagaji lakini hao hao wanaokemea ndiyo wanunuzi ama washiriki wakubwa. Maeneo yaliyotia fora ni Tabata. Mbagala, Mbezi na Sinza.

Wazazi ni muhimu sana kuweka uangalizi chanya kwa watoto kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.

Hatari kubwa hii
We koma weee. Tabata hatuna huo upuuzi wako. Ni kinondoni.
 
Muziki wa bongo fleva, taarabu na singeli vimechangia sana kushuka kwa maadili ya watto na wanaume.
Mziki mtu anakata mauno, mwanamke anampelekea matako mwanaume na mwanaume anafanya kama wanafanya mapenzi tofauti kuwa tu wamevaaa nguo, then huyo mtoto ukimkuta amepigwa staili ya chuma mchicha unasema kajifunzia wapi wakati wewe ndio umemfunza, umemwacha aangalie hiyo michezo lakini pia hujakemea badala yake wew ni mfuaasi wa huo ushenzi.
 
Back
Top Bottom