Hii ni aibu kubwa
Kuna bwege mmoja alinitumia link ya Telegram nikaingia huko. Nilichokutana nacho ilinibidi nifunge siku nzima nikiomba TOBA kwa Mungu.
Vijana mahendisam wa kibongo wanapakuliwa mzigo na wanajiuza waziwazi na wanatuma vids zao wakinyooshwa marinda.
Wapo wanawake pia wanaishi kwenye trauma kubwa baada ya kugundua waume zao ni versatile yaani wanapakuliwa kinyume na maumbile.
Sikuwahi kufikiria kuwa bongo imekuwa nyoso hivyo. Nilidhani wapo wachache na Wanajificha mnoo. Jamaa nimemuhoji tangu lini yupo kwenye group za kununua mashoga wa kibongo kanijibu ni mwaka qa tatu sasa. Ananiambia kuwa wanaume wengi wanaoenda GYM huwa wanaenda kujiuza ama kununua wanaume wenzao.
Kama jamii, tunaweza kusema tunalaani na kukemea ushoga na usagaji lakini hao hao wanaokemea ndiyo wanunuzi ama washiriki wakubwa. Maeneo yaliyotia fora ni Tabata. Mbagala, Mbezi na Sinza.
Wazazi ni muhimu sana kuweka uangalizi chanya kwa watoto kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.
Hatari kubwa hii