Haya mambo yana uhusino mkubwa na sera hizi za kucopy kutoka mataifa ya kimagharibi.
Ukianzia mambo ya haki sawa yamechangia sana hili janga. Vijana wetu wanakutana na mabinti wanaowaonyesha viburi na jeuri hadi wanakosa mood ya kuwa na wanawake sababu ya kuepuka rejection na kero za kudeal nao wanaona watafute affection kwa wanaume wenzao.
Malezi especially ya single mothers. Wanawake wanalea watoto kimahaba sana. Mabusu kibao na kukumbatiana kama nyani muda wote. Mtoto wa kiume hii inamfanya awe laini na kushindwa kudevelop vizuri male traits ndani yao wanabakia kuwa soft ndani ya nafsi. So wakimiss yale mahaba ukubwani wanajikuta wanaliwa na wanaume wenzao wanaojua kubembeleza.
Mwanamke akilea mtoto bila baba around impact mojawapo ni kutoa picha ya uanaume katika akili ya mtoto yule. So akikua anakuwa hana ajualo kuhusu kuwa mwanaume kwa mwanamke wake so anajikuta anavutiwa na wanaume wenye traits za kiume.
Madogo wengi wa miaka hii hawajui tofauti ya kuwa mwanaume au mwanamke. Maana hata nguo za siku hizi wanavaliana wa kike na wa kiume. Tazama akina rayvan, wanavyosuka nywele kama dada zao. Sasa Madogo wa sampuli hizi umuweke meza moja na Mimi kwann asijiskie dhaifu na kuomba niwe mume wake.
Sera za kiserikali especially maeneo ya Afya na chakula napo ni pa kutazama. Chakula ni silaha nzuri sana ya kujenga taifa lolote.
Tokea miaka ya 1990s serikali na wizara husika wamekuwa very careless kuhusu raia wao vyakula wanavyokula, dawa wanazotumia, mambo ambayo yanachangia sana mabadiliko ya kitabia. Mfano Tazama vyakula vinavyotokana na mbegu za kisasa (GMO).
Tazama mabinti wanavyobwia P2 kila siku, hizi dawa zinawavuruga mzunguko halisi wa uzazi na kudisturb msawazo wa hisia.
Ndio Maana unaweza kushangaa mabinti wa siku hizi especially hawa kuku wa bloiler (mabinti wa mijini) wengi hawana hisia, Labda akuone na hela na hapo tamaa ya hela sio mahusiano.
Naturally vitu vinavyomvutia mwanamke ni Jasho, mchoro wa kidevu cha mwanaume, pua, kifua, gardenlove, sauti nzito, wingi wa ndevu, misuli ya mikono, etc. Ila mabinti wa kisasa hawapo responsive na hizo features wanataka mwanaume soft, mpaka poda, sauti, mwanaume ambaye hata Mimi nikimuona nadinda nataka nikamgegede, why wanaume sasa wasianze kulana na kundi kubwa wanaanza kulainika?!
Kuna mengi sana nyuma ya pazia ila yote inachangiwa na sera za serikali kwa raia.