Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Hamna kitu kama hicho [emoji28][emoji28]yule kijana wa chuga kaolewa
Huyo mwanaume mvaa suti ndo bwana harusi, anaitwa Shaban ila amezoeleka Shebby.

Hao wengine ni bibi harusi, kushoto anaitwa Abdallah na kulia ni Said. Hapo ni siku ya ndoa yao, sherehe ilikua mbagala kizuiani.

Tena ndoa ya mitalaa, km kumbukumbu zako ziko vizuri ndo hawa walikamatwa sinza na kuhojiwa walikua 4, ambapo huyo Abdallah alisema hiyo michezo alianzishwa madrasa na mwalimu wake.

Sasa leo hii ni Mke wa mtu., [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Napenda kutembea kwa ushahidi.
 
😅😅😅

Kijana Arusha ameolewa bado unataka nikuonyeshe aliyebadili jinsia wa huko pia. Hapo wanatoka kanisani.

 
Sahivi mtu aache kufanya mambo yake, awaze ushoga? Hana cha kufanya labda.

Watu wanakulana vinyeo km hawana akili nzuri, wanaona walichelewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wewe unazungumzia me kwa me wafiraaane au me kwa ke jibu ni lipi???
 
We mwenyewe shoga ndo maana unaanzisha uzi wa mashoga kuona ni wangap wanasapoti ushoga

Na majb nazan ushayapata
 
Kuna clip moja nmetumiwa aise hatari sana watu wako wana serebuka na masingeli misomisondo jux ngoma zao,alafu jamaa yuko na dem kazungukwa na umati wanabanduana
Live mijitu inashangiliaaaa
Tzzzz mpya hiyooo shikamoooo

Shetani ameshashindaaaa

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…