Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Polisi wana kazi gani? Ikiwa mhalifu anaweza kutekeleza uhalifu wake polisi wakapeleleza hadi kumtia nguvuni wanashindwaje kuwakamata hawa macchoko wanaotamba hadharani?
Polisi inafanya kazi yake kama kawaida. Na wewe fanya wajibu wako, si unauchukia ushoga? Nenda polisi sema mtaani kwako kuna shoga peleka na majina fungua RB uone kama hatakamatwa. Baadae uende mahakamani kutoa ushahidi.
 
Mambo ya spiritual achana nayo kwanza. Sisi hatuyataki mashoga sababu ni hasara. Nchi haina hata bajeti ya pedi kwa kina mama bure uje uongeze pampas za wanaume walioharibika makalio?
Behind your president there is another president who controls your president secretly . The elites of this world are preparing the life style of the generation to come . Even your life style in your generation was planned many generations ago . Every thing in our generation was planned as it is ( Economic , Politics, Social and cultural and being not forgetting RELIGIONS ). WHETHER YOU LIKE OR NOT , YOUR GENERATION IS IN TRANSFORMATION TO ANOTHER GENERATION .
 
Hakuna kitu, uongo uongo na unafiki. Muulize mtu mwenye hasira kali ni lini alishawahi kamata shoga akalipeleka polisi halafu akakamatwa yeye. Uhalisia ni kwamba, hapa kwetu watu hawapigani na ushoga kwa vitendo zaidi ya maneno. Pere pere mingiiiii.

Mkuu bora kujikita kwenye kuhakikisha mkeo haolewi ukifa. Hili la ushoga unajidanganya.
Sasa shoga umpeleke police kufanyaje? Soga anaepaswa afe Tena Kwa Wakati bila kupoteza muda. Sheria iweje vizuri tu kama wezi tunawashambulia hata hili inawezekana
 
Behind your president there is another president who controls your president secretly . The elites of this world are preparing the life style of the generation to come . Even your life style in your generation was planned many generations ago . Every thing in our generation was planned as it is ( Economic , Politics, Social and cultural and being not forgetting RELIGIONS ). WHETHER YOU LIKE OR NOT , YOUR GENERATION IS IN TRANSFORMATION TO ANOTHER GENERATION .
Ukishaweka kingereza unanichanganya boss si unajua si wote tumeenda shule. 🙂
 
Sasa shoga umpeleke police kufanyaje? Soga anaepaswa afe Tena Kwa Wakati bila kupoteza muda. Sheria iweje vizuri tu kama wezi tunawashambulia hata hili inawezekana
Huwezi anza tu kuua watu kwa kuhisi ni mashoga bila ushahidi. Tafsiri ya ukike inatofautiana sana ndo maana serikali imeweka utaratibu wa kuwashtaki ukiwa na ushahidi.

Atakuja mtu atakuambia kucheka cheka ni ushoga, kuna mtu anacheka cheka na si shoga.

Kuna watu wanakwambia mwanaume ukijipaka mafuta baada ya kuoga ni ushoga na kuna wanaume wanajipaka mafuta na sio mashoga.
 
Upo upande Gani mkuu ?
Wa uhalisia na kupinga unafiki. Uhalisia ni ushoga unapendwa na watu waliotuzunguka tena wa heshima kuliko mashoga wenyewe wanaoonekana ndio sababu hauishi. Na hata tuue mashoga wangapi watakuja wengine sababu watumiaji hawauwawi. Unatoa utando unaacha bui bui.

Samia alishalisemea hili kuwa jamii ndo silaha pekee ya kutokomeza hizi tabia.

Kabla ya kuanza kulaumu serikali, kulaumu sheria, kulaumu wazungu swali ni je, jamii inafanya nini? Wahusika ambao ni wazazi, ndugu, rafiki, jirani, wa hao mashoga wanafanya nini? Ameshawahi tokea mtu kujaribu kujua wateja wa hawa watu wanafananaje? Wapo wapi? Ni kina nani?

Mzungu haji mtaani akuchukua uume wako, akaupaka mafuta akaudumbukiza kwenye matako ya mwanaume mwenzako.
 
Behind your president there is another president who controls your president secretly . The elites of this world are preparing the life style of the generation to come . Even your life style in your generation was planned many generations ago . Every thing in our generation was planned as it is ( Economic , Politics, Social and cultural and being not forgetting RELIGIONS ). WHETHER YOU LIKE OR NOT , YOUR GENERATION IS IN TRANSFORMATION TO ANOTHER GENERATION .
Only few knows this,.....
 
Heri hata fisadi kuliko shoga!! Maana shoga wa Leo ndiye fisadi la kesho iwapo tu hii tabia itabarikiwa na kuwa ya kawaida
Mkuu, waweza kuwa sahihi, ila hili suala la ushoga ni kama linataka kututoa kwenye kujadili matatizo ya msingi yanatukabili kama nchi, ni kama vile wanasiasa wameona kichaka cha kuficha madhaifu yao.
Hakuna binadamu mwenye akili timamu atakayeshabikia ushoga, ila kubali kuwa ushoga haujawahi kuwa kipingamizi kwenye maendeleo ya jamii au nchi husika. Wenye kuathirika na janga hili la ushoga ni ndugu wa karibu wa muhusika na si vinginevyo kabisa.
 
Kama ni wa kutafuta usiutafute hilo ndo suluhisho.

Ushoga upo tangu enzi na enzi, upo hata kwenye nchi zenye sheria kali za kiisilamu ukiutafuta utaupata.
Mbona kama unapigia chapuo, wewe kwann inakukera huyo mleta mada akikemea? [emoji848]
 
Mbona kama unapigia chapuo, wewe kwann inakukera huyo mleta mada akikemea? [emoji848]
Anakemea au anaufanyia marketing?

Ameshindwa kukemea kwenye aneo la tukio akamuita mwenyekiti wa sherehe na kumchukulia hatua shoga anakerekea JF?

Mfano una tabia za kishoga kuna watu ukikutana nao ndo utajua maana halisi ya kukemea ushoga. Kimya kimya na unanyooka ukitoka mahabusu.
 
Juma lokole anamiliki ndinga ya maana, yule sio shoga kweli maana[emoji16][emoji16]
 
zamani nilikuwa nawachukia ana mashoga, nilikuwa nawaona kama mashetani hivi yani watu waliojaa laana. Kumbe ni watu kama sisi tu ni vile tu wako na kasoro kwenye uumbaji wao unaowapelkea kufanya hivyo vitendo.

Tuwaombee sana wake zetu wazae watoto wasiokua na tatizo
 
Back
Top Bottom