Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Tena Zanzibar na Tanga ni hatari mno, kina Aunty Muddy wanajidhalilisha tu kama hawana akili vile
 
Inashindwa kuwanyonga mafisadi na wahujumu uchumi ,wanaokwamisha maendeleo ya nchi hii. Iende kuwanyonga kundi dogo lisilo na athari yoyote kwa maendeleo ya nchi.
Maajabu hayaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila babu umechachukaa vibayaa, eti matobo ya watu, khaaah
 
JPM mtoe hapo.
 
Mwanzoni sikuwa naamini kuwa ushoga unashika kasi kubwa nchini Tanzania mpaka pale nilipoanza kufuatilia baadhi ya mabadiliko mitaani na kwenye mitandao ya kijamii.
Kati ya mitandao ya kijamii niliyofanyia upekuzi wangu ni kwenye JF.Nimegundua kuna nyuzi nyingi za wanachama zinazohimiza kukataa ndoa.Vile vile wanayatia shubha mahusiano ya wanawake na wanaume kwa visingizio ambavyo kihistoria tangu dunia iumbwe havijawahi kuonekana ni tatizo.
Ukipenda unaweza kujiridhisha kwa kuwafuata pembeni wale wanaoanzisha nyuzi za kataa ndoa.Utashangaa sana.
 
Usipooa,utaolewa...naungana na mtoa mada,mimi nitaoa bila limitation za misahafu akinishinda napiga chini naoa mwingine,tufuate mila za mababu zetu jamani
 
Vijana wa maika hii ya 90's - 2000's ni mashoga Kwa asilimia 75% wengi wao wapo mitandaoni wakipinga ndoa.
Ukiona kijana amevaa jeans ya kubana MAPAJA ujue huyo ni biashara au ameshaolewa na yupo kwenye ndoa
 
kwamba kataa ndoa ni mashoga
naunga mkono hoja
 
NDOA NI MAUAJI YA KIMWILI, KIROHO NA KIUCHUMI YALIYOHALALISHWA NA KIKUNDI FULANI HIVI CHA WAHUNI

KATAA NDOA πŸ€’ 😎
 
kama kweli tumedhamiria kusimamia maadili ya kizazi chetu basi mamlaka husika zinao wajibu wa kutupia macho matamasha ya taarabu ambayo kwa kiasi kikubw mashoga hujiingiza na kujiuza/.
jana trh 26/04 nilikuwa kwenye ukumbi wa Dimond J kwenye Tamasha la taarabu (Raha za Pwani) nilishuhudia kundi la vija (mashoga) wakiwa mawindoni......
hatunabudi kutokomeza huu ufirauni ktk maeneo yetu.

tusipo kemea na kutokomeza hawa mashoga basi tusishagae kupata mafuriko na majanga mengine makubwa .
 
Machoko mengi siku hizi UTAYAKUTA kwenye hizi social medias kama Badoo, tinder, tagged n.k ni mengi mno huko. πŸ˜’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…