Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Halafu unashangaa kuona kuna baadhi ya watu waona sawa tu.
 
Ukiamua kua mkweli Israeli ndio nchi inaongoza kwa ushoga kulingana na idadi ya watu wake.
View attachment 3011975
Haya mambo hayana kwao sasa hivi yametapakaa duniani kote na hii inadhihirisha wazi kwamba siku za kurudi kwa mwana kondoo zinazidi kuyoyoma.

Katika nchi za kiislam ambapo watu wengi wanaamini kwamba uwepo wa zile sheria katili zinazoendana na utamaduni wao ungeweza kudhibiti huu uovu lakini ndio kumbe nazo ziko taabani japo tofauti na jamii zingine kama za magharibi ambao hawapendi kuficha mambo jamii kama ya waarabu wanaficha sana huu uovu lakini upo sana kwa jamii yao kama inavyoelezwa ktk makala hii hapa chini 👇


 
Mpumbavu Wewe!

I'm sorry for calling you that mkuu, lakini kama impact yake huioni kwa jamii yetu ya kitanzania, na haswa watoto wetu basi Wewe utastahili kuitwa mpumbavu.
Mtoto wako afanye hivyo vitendobmi niumie, acha zako basi, mfano wewe ni mzinifu mke wako akifumanie Ndoa ivunjike, mimi nina athirika wapi kwa uzembe wako mwenyewe, Acha content zionyeshwe wewe mwenye familia ndio una jukumu la malezi ya watoto wako kwa asilimia 100,

Swali, Mbona huko Marekani ambako hayo mambo yameruhusiwa sio kila mtu ni shoga...?, impact yake iko wapi kwa wasio taka...!?
 
Msisahau na hao wabeba vyuma wengi wao wanaliwa..kisababishi ni poda za kuongeza misuli wanazotumia.
 
Wanasuka. Wanavaa skin jeans, Wanavaa fulana zile zenye kola kubwa, wanarembua, wanalalamika, wanapenda vya kupewa zaidi, wanashiriki umbea etc.
Àaah mkuu sio kila anayevaa flana ya kola kubwa ni mlaini.
Hiyo ni fashion tu tuwie radhi aiseee.
 
Umasikini na hali ngumu ya Maisha ndio chanzo kikubwa
 
Bahati mbaya hata majini, na viumbe wengine kama shetani hawana jinsia....kwahiyo hawajali jinsia yoyote....unatongozwa yoyote afu utaamua mwenyewe mwili wako unautumiaje....unakula?? Au unapenda kuliwa??...hata wanawake wanapenda kula wenzao...
Majini wana jinsia mkuu ndio maana nao wanazaana.
Majini wapo wakike na wakiume.
Kila kiumbe Mungu kakiumba katika jozi ya kike na kiume.
Isipokua wana uwezo tu wa kujibadili kimaumbile.
 
wakiristo sinimashogaa
Ushoga hauna dini.
Ukristo hauruhusu ushoga ila kuna wakristo wa hurka zao ndio mashoga.
Hata waislam mashoga wapo mkuu,je tuseme uislam unaruhusu ushoga!?
Huu uchafu ni hurka ya mtu husika si dini.
Uislam haujaruhusu kutusi imani za wingine mkuu,kama wewe muislam litambue hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…