[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mwenzio yuko sokoni, asijirembe akose Dangaaa?? UwiiiiihHali ni mbaya, kuna mmoja nilikutana nae mchana kweupe kajiremba hatari, pisi akasome.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hoyo ule wakati wa wanawake 7 kumlilia mwanaume mmoja ndio umewadia?
Enewi tutawasaidia madem wao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uwezo wa kupinga wanao? Unadhan pesa mnazokopa na zile mnazopewa km msaada, inaletwaa bureeee? Poleeeeni sanaaaa.Hiv serikali wao wamepima huu upuuzi na kuona hauna effect yoyote au wapo wapo tuu hawajua wasimame wachuchumae au wakae
Inabd huu upuuz upngwe
Wengine wanajifichaaa wakiwa utotoni, wakifika ukubwan wanaamua kufuata hisia zao. Hisia haijawahi kuishinda chochote.Kuna mmoja nilionyeshwa tena na ushahidi kabisa kuwa ni upinde, kijana ni wa ki corporate kabisa, smart, successful pesa ya kubadilishia mboga ipo ila ndio hivyo anakazwa.
Halafu alianza mchezo mkubwa tu akiwa na miaka 23.
Tena na mie nakazia hapo hapo huyo baba kaongea ukweli mtupu na hajaacha chochote. Yuko sahihi sanaaaa.Kama kuna viongozi wa serikali humu, ni vizuri wasome comment hii kama ushauri kwao na kulifanyia kazi ili kuokoa hiki kizazi cha sasa
So sad....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mwenzio yuko sokoni, asijirembe akose Dangaaa?? Uwiiiiih
Ndo hivyoooo.So sad....
Km kawaida yako mzee wa topeee hukosekani lol.Jamani wapo wapi hao wanaotaka kufumukiwanlinda na sie tukawakule...connection jamani plz
Sii unanijua mie mzee wa kuzurula mitaa ya jf kila sehemu natia neno kichangamsha gengeKm kawaida yako mzee wa topeee hukosekani lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We koma weee. Tabata hatuna huo upuuzi wako. Ni kinondoni.Hii ni aibu kubwa
Kuna bwege mmoja alinitumia link ya Telegram nikaingia huko. Nilichokutana nacho ilinibidi nifunge siku nzima nikiomba TOBA kwa Mungu.
Vijana mahendisam wa kibongo wanapakuliwa mzigo na wanajiuza waziwazi na wanatuma vids zao wakinyooshwa marinda.
Wapo wanawake pia wanaishi kwenye trauma kubwa baada ya kugundua waume zao ni versatile yaani wanapakuliwa kinyume na maumbile.
Sikuwahi kufikiria kuwa bongo imekuwa nyoso hivyo. Nilidhani wapo wachache na Wanajificha mnoo. Jamaa nimemuhoji tangu lini yupo kwenye group za kununua mashoga wa kibongo kanijibu ni mwaka qa tatu sasa. Ananiambia kuwa wanaume wengi wanaoenda GYM huwa wanaenda kujiuza ama kununua wanaume wenzao.
Kama jamii, tunaweza kusema tunalaani na kukemea ushoga na usagaji lakini hao hao wanaokemea ndiyo wanunuzi ama washiriki wakubwa. Maeneo yaliyotia fora ni Tabata. Mbagala, Mbezi na Sinza.
Wazazi ni muhimu sana kuweka uangalizi chanya kwa watoto kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.
Hatari kubwa hii
Pumbavu jwahiyo wakike ndio inafaa eeeh??Aisee hii ni mbaya sana.
Kuharibu watoto wa kiume haifai.
Basi Tabata wanajitangaza sana kuliko KinoWe koma weee. Tabata hatuna huo upuuzi wako. Ni kinondoni.