Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Huko usafini wamejaa top mpaka wataalam wake wa mavaz mapunga
Acha tu kizaz hiki mapunga wajaeee tu maana hakuna namna mfumo si ndiyo unapenda hivyo

Ova
 
POINT!!!!
 
Mi nilidhani ungesema tutokomeze hiki kizazi kilicho haribika tayari na kizazi kipya kiishi kwa taadhari ya kuto kurudia ya kizazi kilichoangamizwa?

Mashoga hawana msaada wowote zaidi ya kuendelea kuangamiza jamii kwanini wasiangamizwe wao kwanza, ili iwe fundisho kwa kizazi kipya?

Mahakama huwa inatoa hukumu kali kwa matendo mabaya, ikiwemo kuingilia kinyume na maumbili "ILI LIWE FUNDISHO KWA WENGINE WENYE KUFIKIRI KUFANYA HIVYO" Kwanini ili kuponya kizazi kizuri, tusiangamize kizazi kilicho haribika ili tuanze na kizazi safi?.
 
Mawazo yako ni mazuri, lakini sidhani kama umezingatia haki ya msingi ya Kuishi. Kila mtu ana haki ya kuishi.
 
Kwani Baraza la Kiswahili Tanzania limetoa tafsiri kuwa "Kwa Mpangale" inamaanisha vitendo vya kishoga au hiyo ni tafsiri yako?
 
Kwa vile watanzania walivyo na jinsi serikali inavyowa treat, wamekosekana watu wa kuwatongoza tu ile 60% wawe wawe wanapakazwa mafuta. Ila in 10 years kama hali itaendelea hivi basi 60% watakuwa wamesha left magroup
 
Kwani Baraza la Kiswahili Tanzania limetoa tafsiri kuwa "Kwa Mpangale" inamaanisha vitendo vya kishoga au hiyo ni tafsiri yako?
Hata mtu akijitoa data wananchi wanaelewa sana maana ya neno hilo. Hata ukiita popobawa tunajua pia. Otherwise mengine ni kuchoshana tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…