Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machozi, sasa ulitaka waziri afánye nn? Haogopi?
 
Ungekisanua kwa mapolisi kwamba kuna mashoga wana party hapo: Ila dah unatumia TECNO alafu unaenda bar, aisee hiyo hela ya bia si ungezichanga ununue sim original?
Khaaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]e
 
Mabasha wengi ni waume za watu, Ushoga hauweżi kuishaaa kamweeeeh.
 
Imeishaaaaa hiyooooooo.
 
Askari Polisi kutoka Kituo Cha polisi Himo, Jana alionesha kusitikitishwa Sanaa na kitendo Cha kupokea kundi la wazazi, wa watoto wa walio lawitiwa,na watoto walio fanya vitendo vya kulawiti wenzao, waliofika kituoni hapo kwa rengo la kuomba kupewa pfthree Ili kupeleka watoto hao hospital in Kwa matibabu zaidi.

Akiongea Kwa uchungu, Afande ambae hakupenda jina lake litajwe, alisema vitendo vya ulawiti vinaongezeka Kwa kasi ya Ajabu sana Kwa sababu wanaume wa Kilimanjaro wamekuwa jobless, jambo ambalo linasababisha wake zao kuwa bize masokoji kutafuta fedha za kualisha watoto na wanaume zao ambao siku za hivi karbuni utafiti unaonesha yakuwa wanaume wengi hawajishughulishi wanao lishabfamilia ni wanawake,''

Wamama wamekuwa bize hawana muda wa kukaa na watoto wao Tena,wanawaacha watoto na baba zao nyumbani wapo wanao najisiwa na wazazi wao,wapo wanao najisiwa na watoto wennzao,lakini jambo Ili Lina mikono ya watu wazima kabisa nyuma yake''

Watoto wanao daiwa Kulawitiana Sasa wameongezeka kutoka 2 mpaka kumi na wote wanatarajiwa kufikishwa kituoni Kwa hatua zaidi za kisiasa.

Mkoa wa Kilimanjaro vitendo hivi vinaongezeka Sanaa ila vinafunikaa na majani ya masare,yaani mtoto analawitiwa alafu baba au mama wa mtoto alitefirwa analetewa masare na kusamehewa Kwa kusema hacha mtoto wangu hawe choko tu.
 
Naona umeweka kambi kabisa! Maana hakuna nyuzi zinazokukuna humu jukwaani kama hizi za ushoga!

Kazi kweli kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee bila mie mbna huendi, hupumui wala huemi,

Uwiiiiiii sasa c nasoma comments za watu, ko umenitafuta kote hukuniona ukaona uje huku, huhuhuhuh haya bhana.

Nipo na nimejaa teleeeee, najua umeni mic ila unajistukia,
Au unataka nije jukwaa la sports tuanze kucharuanaaa???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu wangu weuweeeeeeeee,
 
Sema nimemiss zaidi ile micharuo yako kule kwenye jukwaa la michezo! Umeninyanyasa sana aisee.

Ila hata wewe pia huwa nakumiss eti!! Sijui umeniwekea limbwata! 😃😃
 
Shida; akinamama wengi wako busy kutafuta maisha kama waume zao.
matokeo yake familia yote iko busy na watoto wanajilea wenyewe.

Kwa asili Mwanamke ni mlezi na sio mtafutaji wahela.

Tumekiuka nature, shida lazima zituandame tu.
 
Sema nimemiss zaidi ile micharuo yako kule kwenye jukwaa la michezo! Umeninyanyasa sana aisee.

Ila hata wewe pia huwa nakumiss eti!! Sijui umeniwekea limbwata! [emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazimaaa unimic tyuuh mie najua mbna. Sasa huko jukwaa la soka enyewe mambo yapo kombe la dunia, sasa mie Kombe la dunia sina mzuka nalo, tena la mwaka huu sitaki hata kulisikia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] limbwataaa la kingonii mchezooo, bado nikuibee kabisaaaa, ngoja kombe la Dunia liishe, narudi kule kwa kasi ya ajabu. Full kucharuana na kuchangamshaa jukwaaaa.

Mic u piaa best, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…