Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kilimanjaro pombe inawapelekea kufanya ufirauni sana.

Kilimanjaro ni washamba wa pombe
Hizi huwa hawapendi Mana unaharibu ama kupunguza ego zao. Yaani wao waambie Ni watafutaji ,wasomi Wana mapesa Wana majengo mengi Wana akili kuliko wengine watafurahia Ila waambie upande mwingine mbaya wanakushambuliaje. Mfano waambie Ni waabaguzi hawawezi hata panda Basi yako ,nunua duka lako wanamuunga mkono ndugu yao. Waambie wake zao wanaua wanaume kisa pesa. Hili hawalitaki. Tafuta vyasaka walioko Moshi wenye maduka ama hiace hawapandi watu na wanajua,Mana ukiwa huko kwao ukitoa lafudhi tofauti tu wasiyoelewa Cha kwanza aisee wewe Ni mtu wa wapi. Yaani hii kitu ndio Kama salamu kwao.
 
Shida; akinamama wengi wako busy kutafuta maisha kama waume zao.
matokeo yake familia yote iko busy na watoto wanajilea wenyewe.

Kwa asili Mwanamke ni mlezi na sio mtafutaji wahela.

Tumekiuka nature, shida lazima zituandame tu.
Mnatuambia tupambane tusibweteke na sie tutafute, na wanaume siku hizi hawataki kuombwa hela.
Wanawake wameitikia wito wanapambana kulijilisha wao na watoto.
Tunapoelekea ni papaya zaidi....niko paleeee nimekaa.
 
Kilimanjaro pombe inawapelekea kufanya ufirauni sana.

Kilimanjaro ni washamba wa pombe
Sio ndagu kweli sema jamaa Ni watafutaji na wasomi mno yaani wao ndio waliowahi kusoma Tanzania. Wamishionari walitua kwanza machame mnamo.miaka iyo
 
Madhara ya Haki sawa,madhara ya hamsini kwa hamsini.
 
Sawa kabisa
 
Mbona usukumani hakuna hayo mambo,mbona ukuryani hakuna hayo mambo,mbona ufipani hakuna hayo mambo,mambo hayo utayakuta upembani,uchagani,uhayani.
 
Siku hizi ukiwa shoga unalipwa mdhajara mkuu, nasikia wa marekani wanaingiza mihela kwenye account za mashoga, wengine mnawaona wanakula bata kubwakubwa ambao oil chafu aliwataja
 
Dah utakuwa shoga wewe
 
Wanawake wanakuza makalia sana
 
Asilimia angalau 80% ya mashoga ni matokeo ya single mothers ( Watoto kulelewa bila baba).
 
Asilimia angalau 80% ya mashoga ni matokeo ya single mothers ( Watoto kulelewa bila baba).

Wewe hizo ni assumption zako na sio kweli,kuna wengine baba na mama ndio wamewalea but wako hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…