Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kilimanjaro pombe inawapelekea kufanya ufirauni sana.

Kilimanjaro ni washamba wa pombe
Hizi huwa hawapendi Mana unaharibu ama kupunguza ego zao. Yaani wao waambie Ni watafutaji ,wasomi Wana mapesa Wana majengo mengi Wana akili kuliko wengine watafurahia Ila waambie upande mwingine mbaya wanakushambuliaje. Mfano waambie Ni waabaguzi hawawezi hata panda Basi yako ,nunua duka lako wanamuunga mkono ndugu yao. Waambie wake zao wanaua wanaume kisa pesa. Hili hawalitaki. Tafuta vyasaka walioko Moshi wenye maduka ama hiace hawapandi watu na wanajua,Mana ukiwa huko kwao ukitoa lafudhi tofauti tu wasiyoelewa Cha kwanza aisee wewe Ni mtu wa wapi. Yaani hii kitu ndio Kama salamu kwao.
 
Shida; akinamama wengi wako busy kutafuta maisha kama waume zao.
matokeo yake familia yote iko busy na watoto wanajilea wenyewe.

Kwa asili Mwanamke ni mlezi na sio mtafutaji wahela.

Tumekiuka nature, shida lazima zituandame tu.
Mnatuambia tupambane tusibweteke na sie tutafute, na wanaume siku hizi hawataki kuombwa hela.
Wanawake wameitikia wito wanapambana kulijilisha wao na watoto.
Tunapoelekea ni papaya zaidi....niko paleeee nimekaa.
 
Kilimanjaro pombe inawapelekea kufanya ufirauni sana.

Kilimanjaro ni washamba wa pombe
Sio ndagu kweli sema jamaa Ni watafutaji na wasomi mno yaani wao ndio waliowahi kusoma Tanzania. Wamishionari walitua kwanza machame mnamo.miaka iyo
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Madhara ya Haki sawa,madhara ya hamsini kwa hamsini.
 
Wanaume hatuwezi kuisha mkuu hizo mambo zilikuepo enzi na enzi.

Sema tu sasa hivi ni kama watu hawaogopi kuyafanya hadharani na hata wakigundulika hawaoni jau kwasababu wengi wanajua hayo mambo yapo. Mfano ni huyu kiumbe wa jf, anaefata watu PM.

Usiogope kuzaa mtoto wa kiume mkuu, kitu wanachokosea kinamama wengi ni ile ana mtoto wa kiume maybe wa miaka 8 au 9 na anamchukua kwenda kupiga umbea na mashoga zake.

Mtoto wa kiume kushinda na wanawake mda mrefu hua inawaathiri sana, mwache akacheze na wakiume wanzie aige tabia za kiume na sio zako wewe mama yake. Na kikubwa zaidi tumuombe Mungu.
Sawa kabisa
 
Chanzo kikuu cha ushoga ni ukatili nitaeleza jambo hapa;

Nikisema ukatili sio tu ule ukatili wa kijinsia wa kulawiti watoto na vijana hapana kwani ukatili huu unachangia kwa asilimiaa ndogo sana pengine isifike 10%

Ukatili wa baba kumpiga mkewe au kutengana naye kwa visa vya ukatili, huu ndio kiini hasa cha ushoga maeneo mengi ya Tz, ukifuatilia mashoga wengi utagundua hili swala. Sasa kwanini hili linachangia na linachangia vipi?, Hii ni mada pana kidogo wakuu.
Mbona usukumani hakuna hayo mambo,mbona ukuryani hakuna hayo mambo,mbona ufipani hakuna hayo mambo,mambo hayo utayakuta upembani,uchagani,uhayani.
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?[emoji24][emoji24][emoji24]
Siku hizi ukiwa shoga unalipwa mdhajara mkuu, nasikia wa marekani wanaingiza mihela kwenye account za mashoga, wengine mnawaona wanakula bata kubwakubwa ambao oil chafu aliwataja
 
Alafu hii tabiaya kukaa kujadili mashoga kama vile wao siyo watu acheni kuishi zama za kale, sikuhizi kila mtu ana haki za kuishi maisha yake anavyopenda yeye.

Nyie mkienda ulaya au china mkaambiwa nyie Weusi siyo watu ni nyani muuwawe mtafurahi? Mbina mnapenda kunyanyasa wenzenu wakati nyie pia hampendi kunyanyaswa?

Kuna wazungu wanaamini mtu mweusi siyo binadamu kabisa anafaa auwawe. Yaani watu tuko katika zama za kupambana na unyanyasaji wa haki za muafrika na binadamu wote kwa ujumla kuna matakataka yapo humu yanajadali kama mashoga wauwawe au siyo watu.

Hebu acheni mawazo mgando, mimi naweza nisikubaliane na style ya maisha ya mtu mwingine lakini ninaelewa haki za kila binadamu kuishi kwa jinsi mungu alivyomuumba. Awe shoga awe straight siyo nafasi yangu kumpangia mtu style ya maisha yake. Acha mungu awe hakimu wa kila mtu mwisho wa maisha yake.
Dah utakuwa shoga wewe
 
Nimejaribu angalia sana video nyingi za wasanii mbali mbali. Wasanii wengi kwa sasa wanatoa nyimbo ambazo watu hutingisha makalio au kuonesha mwanamke alivyobeba, hii husababisha watu watake kuwaingilia kinyume, wakishazoea ni rahisi wao kuwaingilia wanaume wenzao.

Wasafi inaongoza kwa wanaume kukata viuno. Wadada wengi wanahamasisha kinyume na maumbile kwa jinsi wanavyoweka maumbile yao.

NB: ni mawazo yangu tu.
Wanawake wanakuza makalia sana
 
Asilimia angalau 80% ya mashoga ni matokeo ya single mothers ( Watoto kulelewa bila baba).
 
Asilimia angalau 80% ya mashoga ni matokeo ya single mothers ( Watoto kulelewa bila baba).

Wewe hizo ni assumption zako na sio kweli,kuna wengine baba na mama ndio wamewalea but wako hivyo
 
Back
Top Bottom