Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

kweli nakwambia! itakua unawafananisha na waarabu wa Oman ila sio watalibani wa afaghanstan

kule hata pensi hurusiwi kuvaa ni wewe na kanzu tu
Sasa Oman sio huko kwa imani kali? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
No 6 inamaliza kila kitu.
 
Mkuu mbona unanimix,kuhusu kulawiti/kulawitiwa mara nyingi linakuja kama ukatili(hakuna makubaliano kati yao)..

Ushoga,lazima utongozwe na wao ndio wanatutongoza 80%..

Kwaiyo kulawiti hakumpelekei mtu kula jicho..
Kabisaaaaa.
 
nafikiri ifike mahala haya mambo tusiyape sana muda ni kama tunazidi kuyapromot,chini ya jua hakuna kitu kipya inawezekana mabadiliko ya tecknologia yanachangia kuongeza kasi na ongezeko kama unavyosema ila hakuna kitu ambacho hakijawahi kuwepo hapa duniani.
 
Wanaanzaje na wanategemea misaada kutoka kwa hao hao ambao unasema wakawakemee.
 
Leo asubuhi mwenge nimeona lesbian dah, wapo huru Kabisa wanatembea wameshikana
Uliwatambuaje kuwa ni lesbian? Maana wanawake huwa wanakumbatiana, kuitana mpenzi, na hata kupeana busu la lips kwa lips hadharani na still wakawa si lesbians.

Ila mwanaume hata akicheka cheka hovyo mbele ya wanaume wenzake taa ya hatari inawaka kichwani, au ukute mwanaume na mwanaume wanakumbatiana au kutembea wameshikana mikono tayari inakupa red flag.
 
Ongezeko la ushoga Vingunguti.
Vingunguti imekuwa kama zanzibar kuna ongezeko kubwa la vijana walioaribikiwa na kujingiza katika mapenzi ya jinsia moja.
Daah ni changamoto
.... tunakomeshaje...
Vingunguti mmefikiwa??? Huko si kwa vibakaa?? Na ushogaa umoo pia lol.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ongezeko la ushoga Vingunguti.
Vingunguti imekuwa kama zanzibar kuna ongezeko kubwa la vijana walioaribikiwa na kujingiza katika mapenzi ya jinsia moja.
Daah ni changamoto
.... tunakomeshaje...
Sahihi kabisa leo nilikuwa maeneo ya msikiti wa mchongomani nimekutana na kijana kwakwel Malinda mule n neh neh yaan kwisha dogo anatikisa tako kwakujiachia na saut nyororo bila woga

Vingunguti imeanza kuoza
 
Sahihi kabisa leo nilikuwa maeneo ya msikiti wa mchongomani nimekutana na kijana kwakwel Malinda mule n neh neh yaan kwisha dogo anatikisa tako kwakujiachia na saut nyororo bila woga

Vingunguti imeanza kuoza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…