Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kubadilika anaanza yeye kutaka muhusika, vunginevyoo atakua anaigiza.

Ushoga n jambo LA muhusika, anapaswaa yeye kuanza kuukataa, LA sivyo ni buree tyuuh.
Kwaiyo mkuu ushoga Tunaweza kuufananisha na uraibu kama uraibu mwingine mf. betting, Sigara, pombe.kunywa soda, punyeto Nk

Maana ivyo vyote mtu akiamua kuacha anaacha Tu.
 
Kubadilika anaanza yeye kutaka muhusika, vunginevyoo atakua anaigiza.

Ushoga n jambo LA muhusika, anapaswaa yeye kuanza kuukataa, LA sivyo ni buree tyuuh.
Sasa vijana na watoto wote wanataka kuwa kama wale watangazaji na wao wamiliki range wanaende dubai na wao...

Ova
 
Kwaiyo mkuu ushoga Tunaweza kuufananisha na uraibu kama uraibu mwingine mf. betting, Sigara, pombe.kunywa soda, punyeto Nk

Maana ivyo vyote mtu akiamua kuacha anaacha Tu.
Kwenye ukweli lazima tuseme,

Ushoga ni maamuzi na matakwa ya muhusika, wala hausiani na matatizo ya akili au mwili, na sio ugonjwa.

Maana hata km ni hoja ya hormonal imbalances bado haileti mantiki au sababu mtu awe shoga. Couz unaweza kuwa na matatizo ya hormone na bado kuwa straight tena rijali haswaaa.

Na hata km itakuja hoja ya uhanithi, bado haileti maana mtu awe shoga, anaweza kuwa hanithi na akawa hivyo na asiwe shoga.

Ushoga ni maamuzi na matakwa ya muhusika, ila huwa tunasingizia ni ugonjwa au matatizo ya hormone, ila ni uongo mtupuuu.

Yaan hata awe shogaa mzoefu kiasi gan, ila akiamua kuukataa na kuachaa anaweza kabisaaa tena bila shida, ila yeye muhusika ndo aamue kwa dhati.

Ushoga ni uraibuuu tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Penye ukweli nasimamia hapo,
 
Kwenye ukweli lazima tuseme,

Ushoga ni maamuzi na matakwa ya muhusika, wala hausiani na matatizo ya akili au mwili, na sio ugonjwa.

Maana hata km ni hoja ya hormonal imbalances bado haileti mantiki au sababu mtu awe shoga. Couz unaweza kuwa na matatizo ya hormone na bado kuwa straight tena rijali haswaaa.

Na hata km itakuja hoja ya uhanithi, bado haileti maana mtu awe shoga, anaweza kuwa hanithi na akawa hivyo na asiwe shoga.

Ushoga ni maamuzi na matakwa ya muhusika, ila huwa tunasingizia ni ugonjwa au matatizo ya hormone, ila ni uongo mtupuuu.

Yaan hata awe shogaa mzoefu kiasi gan, ila akiamua kuukataa na kuachaa anaweza kabisaaa tena bila shida, ila yeye muhusika ndo aamue kwa dhati.

Ushoga ni uraibuuu tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Penye ukweli nasimamia hapo,
Mkuu nakazia apo na kama sio uraibu basi ni kuendekeza na kuigizia tabia za magharibu. Yaani uMagharibi ndio unaopoteza vijana wetu. Mungu atunusuru
 
Sasa vijana na watoto wote wanataka kuwa kama wale watangazaji na wao wamiliki range wanaende dubai na wao...

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa hatareee tupuuu.
Woiiiiiiih.
 
kuna moja alikuwa ticha wangu likawa linaomba nilikoboe aise dahh sikuamini kabisa. cha ajabu ana mke na watoto kabisa na amejiajiri na kazi zake safii dahh
 
Kipindi nasoma sekondari ya NYABULOGOYA-NYEGEZI(mwanza) nakumbuka ilikuwa siku ya sherehe flani ya UKWATA.

Nilipewa kazi ya kufunga matent,baada ya kumaliza ile kazi sasa nikasema wacha niende kule chooni nikaoge na mimi niulambe machomeko nikakae kwenye table,katika harakati za kwenda chooni kuoga nikakutana na rafki angu anaitwa Maruguabili huyu yeye alikuwa wamepanga geto anaishi na kaka yake afu geto lilikuwa karibu sana na shule.

Huyo rafiki akaniambia acha kuoga chooni twende gheto ukaoge kwa utulivu na raha,nikakubali tukaenda.Alivyofika akanipa funguo za gheto na kunionesha bafu wanalotumia maana pale kila mpangaji anatumia bafu lake kisha yeye akarudi shule kuendelea na kazi ya kufata kreti za soda kwa ajili ya sherehe.

PICHA LINAPOANZA SASA
Nikaenda kuoga fresh nikaingia gheto kujifuta na kupaka mafuta sasa si mnajua wengi vitu kama vioo hivi huvipachika madirishani ili wakati anajichana au kujiona uso anakuwa anapata mwanga fresh na kioo kinampa taswira yake,pia hivyo ndivyo ilivyokuwa kwangu.

Wakati najichana nywele nipo usawa wa dirisha naangalia kioo pia upande wa kule nje unaweza kuutazama vyema nikaona jamaa almost baadae nilikuja kuambiwa alikuwa form3 anasoma shule (taqwa au thaqafa)apa nmesahau shule halisi ila ni kati ya hizo.

Katika kutazama kwangu nikaona amezunguka nyuma ya nyumba na watoto almost wakizidi sana ni darasa la 3 wale watoto walikuwa kama 3 hivi na yeye wa 4.

Akawaambia wale wawili kuwa waende atawaita badae akabaki na dogo mmoja apo mimi nipo upande wa pili tena ndani ya chumba hanioni ila sikujua ana ajenda gani nikaonama kujipaka mafuta na kubrash viatu,sasa wakati na simama hivi nimeshavaa suruali najiangalia kwenye kioo kilocho usawa wa dirisha nione mavazi yamenikaaje asee kwa mara ya kwanza nikaona mwanaume anamuingilia yule dogo tena dogo wa kiume na dogo yupo anachekelea.

Nilipata hasira nikatoka nje chap nikatafta mbugu(kuni) ya fasta fasta kuzunguka kule nyuma nikamrushia na kumtukanq yule jamaa aache ujinga huo lakin ile mbugu ilikwama kwenye fence ya senyenge na mimi sikuweza iruka jamaa yule akakimbilia ndani napia kale katoto kakuzubaa kidgo nakenyewe kakafata mbio kwenda ndani ila nikaona yule dogo kashazoeshwa maana nilipomuona alikuwa anachekelea tu nazani malinda yalikua tayari yashatatuliwa kitambo.

Baada ya muda yule refki yangu alikuja nikamueleza lile tukio na akaniambia jina la uyo kijana nikamueleza na mtoto aliyefanyiwa pia akanipa jina lake.Apo pia ndiyo niliambiwa kuwa anasoma form 3 shule tajwa apo juu basi mimi nikasema twende tukameipoti kwa mama yake lakni yule rafki yangu pamoja na wapangaji wengine pale maana waliniona kipindi natoka ndani nakimbia kumfata yule jamaa aloyekua anamgeuza dogo hivyo wakanishauri niache tu kwasababu uyo kijana analelewa kishoga na mama yake ambaye hapendi mwanae akosorewe.

Basi nikaipiga chini nikarudi kwenye sherehe kula wali ila kinyonge
Mimi mwenyewe nilishuhudia madogo wanafanyana hiyo michezo usawa wa dirishani kwangu, nikamtafuta mama wa yule mtoto aliekuwa anafanyiwa vile akawa ananikwepa kwepa mwisho wa siku akanicheki akaniambia nasikia ulikuwa unanitafuta, nikamwambia ndio kuna moja mbili tatu kuhusu mwanao. To my surprise yule bimkubwa akaanza nambia hii sio mara ya kwanza mwanzoni tulipokuwa tunakaa kunamtoto wa darasa la sita alikuwa anawafanyia hivyo, ikawa imeishia hivyo ni kama bimkubwa anachukulia poa. Tangu siku hiyo nikajiapiza hata nikute mtoto wa nani kainamishwa hapo anapigwa miti sitohangaika nae wala kujigusa.
Nilikoma!!!
 
Sasa na yeye aliacha chuo kwanini? Yaan sijui kwann Gays wengi wa Bongo hawapendi Elimu au Kusoma.

Sijui wanawaza nn, sasa anaacha chuo ili iwejee?? Ili adange vizuri? Tobaaaaaah lol
Sasa asome ili iweje wakati kashajitoa kwenye kundi la wanaume anajiandaa kuwa mke wa mtu aolewe pumbavu zake.
 
Mimi mwenyewe nilishuhudia madogo wanafanyana hiyo michezo usawa wa dirishani kwangu, nikamtafuta mama wa yule mtoto aliekuwa anafanyiwa vile akawa ananikwepa kwepa mwisho wa siku akanicheki akaniambia nasikia ulikuwa unanitafuta, nikamwambia ndio kuna moja mbili tatu kuhusu mwanao. To my surprise yule bimkubwa akaanza nambia hii sio mara ya kwanza mwanzoni tulipokuwa tunakaa kunamtoto wa darasa la sita alikuwa anawafanyia hivyo, ikawa imeishia hivyo ni kama bimkubwa anachukulia poa. Tangu siku hiyo nikajiapiza hata nikute mtoto wa nani kainamishwa hapo anapigwa miti sitohangaika nae wala kujigusa.
Nilikoma!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko alikukomeshaaa na umbea wako, lilikushuka shuu.
Had aibu maskinii wee.
 
Sasa asome ili iweje wakati kashajitoa kwenye kundi la wanaume anajiandaa kuwa mke wa mtu aolewe pumbavu zake.
Wapo sasa wa kuoa gays Bongo hii?? Hata walio bahatika kufanywa nyumba ndogo ni wachache mno na wengi wana Elimu au carrier fulaan.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh mbna huko vingunguti kuna mambo ya kusikitisha hvyo. Uwiiiiiih

Nimecheka had bas lol
Kipya kinyemi!

Mida kabla wakury ukimwambia wee basha yuko tayari kupigana, lakini ukimwambia wee msenge anafurahi mii msenge bana![emoji56][emoji38][emoji38] walikuwa hawajui maana ya maneno hayo![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Lakini siku hizi wana test yao kwa mashogä utasikìa jamba tuone ikilia kama honi anapiga makofi anaamini wamo ni mnato akisikia pa pa papapapaaa pwaaa utasikìa unataka kuniibia chimba au chukua buku...[emoji56][emoji24][emoji24]
 
Twende kwenye mada.

Kabla ya kupondea au kukemea jambo ni vyema ukajisafisha kwanza wewe mwenyewe ndipo uje ukemee huo ushoga.

Kwa mganga wa kienyeji hukatiki mguu, ukipitia changamoto kidogo tu unakimbilia kijijini kuroga.

Kazi umepata kwa rushwa, kazini kila siku unaiibia serikali , wake za majirani unawafanya wake zako
Yet unajifanya Mtakatifu na kupondea ushoga.

Swali: Huo utakatifu wa kuuponda ushoga umeutoa wapi?

Sheria za torati ziko hivi; ukiivunja moja wewe unahesabiwa umekipuuza kitabu chote.

Mimi sio shoga na sili mashoga ila napinga unafiki wa mtu mweusi kujihesabia haki.
 
Back
Top Bottom