PAMOJA na kuomba lakini Kuna vitu vya kuomba na Vya kuchukua hatua. Ikatokea Burundi Imeivamia Rwanda ,hatuwezi kuomba Bali tunachukua hatua ya kupambana kumwondoa adui baada ya kuomba.
Mfano uhalifu kama Panya road ,Rushwa ,matumizi mabaya ya Mali za umma, ukabila,udini, unyanyasaji ,kukosekana Kwa maadili n.k. Haya yanaondoka kutokana na Sheria Kali zinazowekwa na jamii.
Kama Jamii haiweki Sheria Kali na haisimamii haya mambo. Waombaji watanusurika mmoja mmoja lakini kama Taifa Mungu hatanyamaza.
Na Kwa Sasa Mungu anaahirisha mabaya kutokana na Utii Wa Kristo Yesu Hata Mauti ilipomkuta. Leo wanapokea misaada ya mashoga Ili tu wakafanyie starehe. Taifa limejiingiza kwenye starehe za ajabu. Starehe zenyewe ni uzinzi,ulevi ,Ushoga,Usagaji na kivaa madhahabu, nguo Fupi,nywele za bandia na kuvaa suaruali zilizochanika na suruali za taiti. Mambo Yote ni Chukizo Kwa Mungu mana yameondoa Hata ubinadam na Huruma Kwa wahitaji. Udanganyifu umekua Mwingi. Hakuna anayeogopa Tena habari ya Jehanam,watu wanaogopa kukosa pesa ya starehe lakini SIO habari ya Jehanam.
Hiví Kwa Mfano : Shule imekutwa na vitabu Vya kuhamasisha Ushoga na Ndoa za jinsia Moja na ngono za utototoni lakini hatukusikia MTU akipelekwa mahakamani Wala polisi. Watu WALIOFANYA hivyo walipaswa kuuawa lakini tunasikia tu Kila mmoja akilalamika Badala ya kuchukua hatua. Nani Yuko Nyuma ya uovu huo?
Shule zinahamasisha kupoteza kizazi cha Mtanzania Kwa sababu tu Kuna MTU anapata pesa akainufaishe familia yake ambayo nayo itaangamia lakini SERIKALI inalalamika Badala ya kuzifungia na wenyeshule hizo kuwekwa wazi Ili ikiwezekana Jamii isome albadiri na Hata kuitaifisha . Na mwenyewe kuwekwe gerezani au kunyongwa.
SERIKALI ndiyo iliyopewa nafasi ya kusimama katika Haki na kulipa kisasi Kwa Wahalifu. Ukiona SERIKALI inaogopa kukupa kisasi au kuwaadhibu wakosaji Ujue SERIKALI hiyo Haina watu waadilifu mana anayepaswa kulipa kisasi ni lazima awe mwadilifu na asiyefanya kosa kama Hilo.
Tangu Demokrasia imeingia na mambo ya usawa Wa kijinsia ni kweli kuwa Nchi nyingi za Kiafrika hazina Tena Uelekeo Wa maendeleo endelevu Kwa Miaka mingi ijayo.Uzalendo umekufa kifo Cha Mende.
Wakati Wa Bunge la chama kimoja lililokuwa na wabunge wengi wanaume ,uzalendo ulikua ni Mkubwa sana na Jamii Ilikuwa na umoja na mshikamano Mkubwa na Sheria zilifuatwa Kwa Haki ,usawa watu WOTE walitii Sheria. Sheria zilitungwa Kwa manufaa ya wengi.
Chaajabu Tangu Jamii iingie kwenye usawa wa kijinsia na Bunge kuelekea kwenye nusu Kwa nusu kati ya Wanaume na wanawake ,uzalendo umepotea,Sheria zinatungwa kulinda maslahi ya watawala ,Kila MTU anawaza nafsi yake. Bunge hakijadili mambo Kwa ajili ya Vizazi vijavyo , Jamii Haina Tena MTU anayeweza kuzilinda kimaadili na kisheria. Zinatungwa Sheria kandamizi Kwa wanyonge , Sheria za Vikokotoo, mishahara ya watawala ,majaji, wabunge imekua ndiyo maendeleo ya nchi Sasa mana huko ndiko pato la nchi linakoishia. Sharia kandamizi Kwa wafanyakazi inatungwa na Bunge lenye wanawake wengi na wanapiga makofi na kufurahia Jinsi Jamii inavoangamia Kwa kukosa Uelekeo alimradi tu Sasa Panaibuka wanawake wenye pesa kuliko wanaume.
Na Sasa Watoto Wa kiume hakuna anayeweza Sheria Kali ya kuwalinda dhidi ya Taasisi na watu wanaohamasisha Ushoga. Mpaka Spika anakaa kimya na Hata kuwanyamazisha wabunge wanajaribu kuwasemea watoto Wa Kiume.
Taifa kitakalokua na Wanaume dhaifu litakuja kuvamiwa na kutawaliwa kirahisi sana muda SIO Mrefu. Mataifa makubwa yanalenga kuitawala Afrika Hata Kwa kuivamia. Taifa lenye wanawake wabaguzi haliwezi kuwazuia wanaume watakaokuja kama Wapelelezi na wavamizi katika Bara la Afrika. Watakuja wanaume watanashati,wenye pesa na elimu na ujuzi watawalaghai watawala na wakuu Wa vyombo Vinavohusika amabo wengi watakua ni wanawake na nchi zitachukuliwa na Watoto wenu watakua mateka wapende wasipende. Afrika itamezwa na kutawaliwa kiuchumi na kijamii.
Aliyeleta mfume dume ni Mwanamke na atakayeleta mfume Jike ni Mwanamke. Yote ni Kwa sababu Mwanaume hakutaka kumtii Mungu na kusimama katika Sheria za Mungu. Baadae atakayelaumiwa ni Mwanaume.