Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
Kwaiyo mkuu ushoga Tunaweza kuufananisha na uraibu kama uraibu mwingine mf. betting, Sigara, pombe.kunywa soda, punyeto NkKubadilika anaanza yeye kutaka muhusika, vunginevyoo atakua anaigiza.
Ushoga n jambo LA muhusika, anapaswaa yeye kuanza kuukataa, LA sivyo ni buree tyuuh.
Asanteh mkuu.
god phucking damn it, hii inaingiaje hapa ?punyeto
Sasa vijana na watoto wote wanataka kuwa kama wale watangazaji na wao wamiliki range wanaende dubai na wao...Kubadilika anaanza yeye kutaka muhusika, vunginevyoo atakua anaigiza.
Ushoga n jambo LA muhusika, anapaswaa yeye kuanza kuukataa, LA sivyo ni buree tyuuh.
Kwenye ukweli lazima tuseme,Kwaiyo mkuu ushoga Tunaweza kuufananisha na uraibu kama uraibu mwingine mf. betting, Sigara, pombe.kunywa soda, punyeto Nk
Maana ivyo vyote mtu akiamua kuacha anaacha Tu.
Mkuu nakazia apo na kama sio uraibu basi ni kuendekeza na kuigizia tabia za magharibu. Yaani uMagharibi ndio unaopoteza vijana wetu. Mungu atunusuruKwenye ukweli lazima tuseme,
Ushoga ni maamuzi na matakwa ya muhusika, wala hausiani na matatizo ya akili au mwili, na sio ugonjwa.
Maana hata km ni hoja ya hormonal imbalances bado haileti mantiki au sababu mtu awe shoga. Couz unaweza kuwa na matatizo ya hormone na bado kuwa straight tena rijali haswaaa.
Na hata km itakuja hoja ya uhanithi, bado haileti maana mtu awe shoga, anaweza kuwa hanithi na akawa hivyo na asiwe shoga.
Ushoga ni maamuzi na matakwa ya muhusika, ila huwa tunasingizia ni ugonjwa au matatizo ya hormone, ila ni uongo mtupuuu.
Yaan hata awe shogaa mzoefu kiasi gan, ila akiamua kuukataa na kuachaa anaweza kabisaaa tena bila shida, ila yeye muhusika ndo aamue kwa dhati.
Ushoga ni uraibuuu tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Penye ukweli nasimamia hapo,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa hatareee tupuuu.Sasa vijana na watoto wote wanataka kuwa kama wale watangazaji na wao wamiliki range wanaende dubai na wao...
Ova
Ushoga ni Uraibu.Mkuu nakazia apo na kama sio uraibu basi ni kuendekeza na kuigizia tabia za magharibu. Yaani uMagharibi ndio unaopoteza vijana wetu. Mungu atunusuru
Boys wa huko kwenuAll boys are
Na wa huko kwenu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boys wa huko kwenu
Mimi mwenyewe nilishuhudia madogo wanafanyana hiyo michezo usawa wa dirishani kwangu, nikamtafuta mama wa yule mtoto aliekuwa anafanyiwa vile akawa ananikwepa kwepa mwisho wa siku akanicheki akaniambia nasikia ulikuwa unanitafuta, nikamwambia ndio kuna moja mbili tatu kuhusu mwanao. To my surprise yule bimkubwa akaanza nambia hii sio mara ya kwanza mwanzoni tulipokuwa tunakaa kunamtoto wa darasa la sita alikuwa anawafanyia hivyo, ikawa imeishia hivyo ni kama bimkubwa anachukulia poa. Tangu siku hiyo nikajiapiza hata nikute mtoto wa nani kainamishwa hapo anapigwa miti sitohangaika nae wala kujigusa.Kipindi nasoma sekondari ya NYABULOGOYA-NYEGEZI(mwanza) nakumbuka ilikuwa siku ya sherehe flani ya UKWATA.
Nilipewa kazi ya kufunga matent,baada ya kumaliza ile kazi sasa nikasema wacha niende kule chooni nikaoge na mimi niulambe machomeko nikakae kwenye table,katika harakati za kwenda chooni kuoga nikakutana na rafki angu anaitwa Maruguabili huyu yeye alikuwa wamepanga geto anaishi na kaka yake afu geto lilikuwa karibu sana na shule.
Huyo rafiki akaniambia acha kuoga chooni twende gheto ukaoge kwa utulivu na raha,nikakubali tukaenda.Alivyofika akanipa funguo za gheto na kunionesha bafu wanalotumia maana pale kila mpangaji anatumia bafu lake kisha yeye akarudi shule kuendelea na kazi ya kufata kreti za soda kwa ajili ya sherehe.
PICHA LINAPOANZA SASA
Nikaenda kuoga fresh nikaingia gheto kujifuta na kupaka mafuta sasa si mnajua wengi vitu kama vioo hivi huvipachika madirishani ili wakati anajichana au kujiona uso anakuwa anapata mwanga fresh na kioo kinampa taswira yake,pia hivyo ndivyo ilivyokuwa kwangu.
Wakati najichana nywele nipo usawa wa dirisha naangalia kioo pia upande wa kule nje unaweza kuutazama vyema nikaona jamaa almost baadae nilikuja kuambiwa alikuwa form3 anasoma shule (taqwa au thaqafa)apa nmesahau shule halisi ila ni kati ya hizo.
Katika kutazama kwangu nikaona amezunguka nyuma ya nyumba na watoto almost wakizidi sana ni darasa la 3 wale watoto walikuwa kama 3 hivi na yeye wa 4.
Akawaambia wale wawili kuwa waende atawaita badae akabaki na dogo mmoja apo mimi nipo upande wa pili tena ndani ya chumba hanioni ila sikujua ana ajenda gani nikaonama kujipaka mafuta na kubrash viatu,sasa wakati na simama hivi nimeshavaa suruali najiangalia kwenye kioo kilocho usawa wa dirisha nione mavazi yamenikaaje asee kwa mara ya kwanza nikaona mwanaume anamuingilia yule dogo tena dogo wa kiume na dogo yupo anachekelea.
Nilipata hasira nikatoka nje chap nikatafta mbugu(kuni) ya fasta fasta kuzunguka kule nyuma nikamrushia na kumtukanq yule jamaa aache ujinga huo lakin ile mbugu ilikwama kwenye fence ya senyenge na mimi sikuweza iruka jamaa yule akakimbilia ndani napia kale katoto kakuzubaa kidgo nakenyewe kakafata mbio kwenda ndani ila nikaona yule dogo kashazoeshwa maana nilipomuona alikuwa anachekelea tu nazani malinda yalikua tayari yashatatuliwa kitambo.
Baada ya muda yule refki yangu alikuja nikamueleza lile tukio na akaniambia jina la uyo kijana nikamueleza na mtoto aliyefanyiwa pia akanipa jina lake.Apo pia ndiyo niliambiwa kuwa anasoma form 3 shule tajwa apo juu basi mimi nikasema twende tukameipoti kwa mama yake lakni yule rafki yangu pamoja na wapangaji wengine pale maana waliniona kipindi natoka ndani nakimbia kumfata yule jamaa aloyekua anamgeuza dogo hivyo wakanishauri niache tu kwasababu uyo kijana analelewa kishoga na mama yake ambaye hapendi mwanae akosorewe.
Basi nikaipiga chini nikarudi kwenye sherehe kula wali ila kinyonge
Sasa asome ili iweje wakati kashajitoa kwenye kundi la wanaume anajiandaa kuwa mke wa mtu aolewe pumbavu zake.Sasa na yeye aliacha chuo kwanini? Yaan sijui kwann Gays wengi wa Bongo hawapendi Elimu au Kusoma.
Sijui wanawaza nn, sasa anaacha chuo ili iwejee?? Ili adange vizuri? Tobaaaaaah lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko alikukomeshaaa na umbea wako, lilikushuka shuu.Mimi mwenyewe nilishuhudia madogo wanafanyana hiyo michezo usawa wa dirishani kwangu, nikamtafuta mama wa yule mtoto aliekuwa anafanyiwa vile akawa ananikwepa kwepa mwisho wa siku akanicheki akaniambia nasikia ulikuwa unanitafuta, nikamwambia ndio kuna moja mbili tatu kuhusu mwanao. To my surprise yule bimkubwa akaanza nambia hii sio mara ya kwanza mwanzoni tulipokuwa tunakaa kunamtoto wa darasa la sita alikuwa anawafanyia hivyo, ikawa imeishia hivyo ni kama bimkubwa anachukulia poa. Tangu siku hiyo nikajiapiza hata nikute mtoto wa nani kainamishwa hapo anapigwa miti sitohangaika nae wala kujigusa.
Nilikoma!!!
Wapo sasa wa kuoa gays Bongo hii?? Hata walio bahatika kufanywa nyumba ndogo ni wachache mno na wengi wana Elimu au carrier fulaan.Sasa asome ili iweje wakati kashajitoa kwenye kundi la wanaume anajiandaa kuwa mke wa mtu aolewe pumbavu zake.
Kipya kinyemi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh mbna huko vingunguti kuna mambo ya kusikitisha hvyo. Uwiiiiiih
Nimecheka had bas lol