Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Blah blah hizo. Mimi nafuga Mbuzi, Ng'ombe na Mbwa sijawahi ona Mbuzi dume akipandwa na Mbuzi dume au Ng'ombe dume akipandwa na Ng'ombe dume. Sijawahi ona Mbwa dume kwa dume wakipandana na hata hiyo link yako hakuna sehemu wamesema Simba dume anampanda simba Simba dume mwenzio.
Ni simba jike hao. Imekua observed hata simba wengine wanapandana jike kwa jike...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mwenyewe nilishuhudia madogo wanafanyana hiyo michezo usawa wa dirishani kwangu, nikamtafuta mama wa yule mtoto aliekuwa anafanyiwa vile akawa ananikwepa kwepa mwisho wa siku akanicheki akaniambia nasikia ulikuwa unanitafuta, nikamwambia ndio kuna moja mbili tatu kuhusu mwanao. To my surprise yule bimkubwa akaanza nambia hii sio mara ya kwanza mwanzoni tulipokuwa tunakaa kunamtoto wa darasa la sita alikuwa anawafanyia hivyo, ikawa imeishia hivyo ni kama bimkubwa anachukulia poa. Tangu siku hiyo nikajiapiza hata nikute mtoto wa nani kainamishwa hapo anapigwa miti sitohangaika nae wala kujigusa.
Nilikoma!!!
Hatari sana
 
Tupinge ushoga kwa vitendo na sio kwa maneno, Unakubali msaada toka kwa mashoga halafu unasema unapinga ushoga

Mkurugenzi na mwanzilishi wa I Phone bwana Steve jobs alikuwa shoga na alijitangaza hadharani huku akizisifia bidhaa zake za I phone

Leo hii wafanyakazi wengi wa I phone ni mashoga na wamejitangaza hadharani

Unapingaje ushoga huku umenunua simu ya I phone na unajitapa mtaani kuwa ushoga hatutaki Afrika

Watumiaji wa bidhaa na misaada toka kwa mashoga ndio Wanaofanya ushoga uendelee

Unapiga kelele Tanzania Leo wakati bidhaa za mashoga ndio zinazopendwa na zinazidi kuwasifia wao

Watumiaji wa I phone sasa wameongezeka Tanzania na hii imewavutia hata watoto kutaka kuwa na I phone

Wengi wanaopiga kelele za ushoga ndio mashoga wenyewe nyuma ya pazia, Wanatumia mwanya kutangaza zaidi ushoga usikike kwa wale ambao bado hawajaanza huo mchezo

Kama kweli tunapinga ushoga kwa vitendo tuanze kwa kukataa misaada yao, Kukataa bidhaa zao kama za I phone

Huwezi ukawa umebeba I phone Halafu unasema unapinga ushoga

Huwezi ukawa unapata msaada toka nchi kama luxumbourg ukasema unapinga ushoga
 
Tupinge ushoga kwa vitendo na sio kwa maneno, Unakubali msaada toka kwa mashoga halafu unasema unapinga ushoga

Mkurugenzi na mwanzilishi wa I Phone bwana Steve jobs alikuwa shoga na alijitangaza hadharani huku akizisifia bidhaa zake za I phone

Leo hii wafanyakazi wengi wa I phone ni mashoga na wamejitangaza hadharani

Unapingaje ushoga huku umenunua simu ya I phone na unajitapa mtaani kuwa ushoga hatutaki Afrika

Watumiaji wa bidhaa na misaada toka kwa mashoga ndio Wanaofanya ushoga uendelee

Unapiga kelele Tanzania Leo wakati bidhaa za mashoga ndio zinazopendwa na zinazidi kuwasifia wao

Watumiaji wa I phone sasa wameongezeka Tanzania na hii imewavutia hata watoto kutaka kuwa na I phone

Wengi wanaopiga kelele za ushoga ndio mashoga wenyewe nyuma ya pazia, Wanatumia mwanya kutangaza zaidi ushoga usikike kwa wale ambao bado hawajaanza huo mchezo

Kama kweli tunapinga ushoga kwa vitendo tuanze kwa kukataa misaada yao, Kukataa bidhaa zao kama za I phone

Huwezi ukawa umebeba I phone Halafu unasema unapinga ushoga

Huwezi ukawa unapata msaada toka nchi kama luxumbourg ukasema unapinga ushoga
Tukueleweje? Wewe unaunga mkono ushoga?
 
Ulikuwa na haja gani kuurudia uzi wa Nyani ngabu kujifanya unaanzisha point.?

Kwahiyo wewe hupingi ushoga?

Kwahiyo kwa sababu mashoga wanatumia magari basi sisi tusitumie magari?

Acheni kujipromoti wajinga nyinyi.
Mkuu mbona unaumia sana, Unapinga utoaji mimba lakini unauza vifaa kwa kutolea mimba

Unapinga ushoga lakini unaruhusu na unagawa mafuta ya vilainishi kwa mashoga kwa kuwa ni haki za binadamu

Mbona hapa Tanzania kuna hospital zinagawa vilainishi kwa mashoga?utasema watanzania wanapinga ushoga?
 
Tupinge ushoga kwa vitendo na sio kwa maneno, Unakubali msaada toka kwa mashoga halafu unasema unapinga ushoga

Mkurugenzi na mwanzilishi wa I Phone bwana Steve jobs alikuwa shoga na alijitangaza hadharani huku akizisifia bidhaa zake za I phone

Leo hii wafanyakazi wengi wa I phone ni mashoga na wamejitangaza hadharani

Unapingaje ushoga huku umenunua simu ya I phone na unajitapa mtaani kuwa ushoga hatutaki Afrika

Watumiaji wa bidhaa na misaada toka kwa mashoga ndio Wanaofanya ushoga uendelee

Unapiga kelele Tanzania Leo wakati bidhaa za mashoga ndio zinazopendwa na zinazidi kuwasifia wao

Watumiaji wa I phone sasa wameongezeka Tanzania na hii imewavutia hata watoto kutaka kuwa na I phone

Wengi wanaopiga kelele za ushoga ndio mashoga wenyewe nyuma ya pazia, Wanatumia mwanya kutangaza zaidi ushoga usikike kwa wale ambao bado hawajaanza huo mchezo

Kama kweli tunapinga ushoga kwa vitendo tuanze kwa kukataa misaada yao, Kukataa bidhaa zao kama za I phone

Huwezi ukawa umebeba I phone Halafu unasema unapinga ushoga

Huwezi ukawa unapata msaada toka nchi kama luxumbourg ukasema unapinga ushoga
Una hela ya kununua iphone?, Tuanzie hapo kwanza
 
Tupinge ushoga kwa vitendo na sio kwa maneno, Unakubali msaada toka kwa mashoga halafu unasema unapinga ushoga

Mkurugenzi na mwanzilishi wa I Phone bwana Steve jobs alikuwa shoga na alijitangaza hadharani huku akizisifia bidhaa zake za I phone

Leo hii wafanyakazi wengi wa I phone ni mashoga na wamejitangaza hadharani

Unapingaje ushoga huku umenunua simu ya I phone na unajitapa mtaani kuwa ushoga hatutaki Afrika

Watumiaji wa bidhaa na misaada toka kwa mashoga ndio Wanaofanya ushoga uendelee

Unapiga kelele Tanzania Leo wakati bidhaa za mashoga ndio zinazopendwa na zinazidi kuwasifia wao

Watumiaji wa I phone sasa wameongezeka Tanzania na hii imewavutia hata watoto kutaka kuwa na I phone

Wengi wanaopiga kelele za ushoga ndio mashoga wenyewe nyuma ya pazia, Wanatumia mwanya kutangaza zaidi ushoga usikike kwa wale ambao bado hawajaanza huo mchezo

Kama kweli tunapinga ushoga kwa vitendo tuanze kwa kukataa misaada yao, Kukataa bidhaa zao kama za I phone

Huwezi ukawa umebeba I phone Halafu unasema unapinga ushoga

Huwezi ukawa unapata msaada toka nchi kama luxumbourg ukasema unapinga ushoga
Acha kuchafua watu na story zako za kijinga. Steve Jobs hakuwahi kuwa shoga na alikuwa na mke na watoto watatu, wa kiume akiitwa Reeds. Hebu leta uthibitisho hapa wa andiko alilojitangaza yeye Ni shoga..
 
Tupinge ushoga kwa vitendo na sio kwa maneno, Unakubali msaada toka kwa mashoga halafu unasema unapinga ushoga

Mkurugenzi na mwanzilishi wa I Phone bwana Steve jobs alikuwa shoga na alijitangaza hadharani huku akizisifia bidhaa zake za I phone

Leo hii wafanyakazi wengi wa I phone ni mashoga na wamejitangaza hadharani

Unapingaje ushoga huku umenunua simu ya I phone na unajitapa mtaani kuwa ushoga hatutaki Afrika

Watumiaji wa bidhaa na misaada toka kwa mashoga ndio Wanaofanya ushoga uendelee

Unapiga kelele Tanzania Leo wakati bidhaa za mashoga ndio zinazopendwa na zinazidi kuwasifia wao

Watumiaji wa I phone sasa wameongezeka Tanzania na hii imewavutia hata watoto kutaka kuwa na I phone

Wengi wanaopiga kelele za ushoga ndio mashoga wenyewe nyuma ya pazia, Wanatumia mwanya kutangaza zaidi ushoga usikike kwa wale ambao bado hawajaanza huo mchezo

Kama kweli tunapinga ushoga kwa vitendo tuanze kwa kukataa misaada yao, Kukataa bidhaa zao kama za I phone

Huwezi ukawa umebeba I phone Halafu unasema unapinga ushoga

Huwezi ukawa unapata msaada toka nchi kama luxumbourg ukasema unapinga ushoga
Point yako mbona haina relation ya kifiro na iphone 😀. Wafanyakazi wote wa apple ni mashoga? Yani tusitumie product fulani kisa tu mwanzilishi alikuwa shoga, ama walitangaza hizo iphone ni kwa ajiri ya mashoga😀😀 tafuta namna nzuri ya kuconnect mawazo yako
 
Tatizo kubwa ni watu kuacha dini .Mleta mada ujinga alioandika ni kwa sababu ya kupuuza dini

Biblia imeandika wazi kuwa mukienda sokoni hamtakiwi kuuliza uliza maswali kama hayo

Fikiria unaenda sokoni unaanza kuuliza kuwa huo.mchele nanunua ulilimwa na shoga au la ili uamue kununua au uko dukani au kondakta kwenye daladala unauliza pesa unayopewa unahoji hii pesa unayonipa wewe shoga au la kabla kupokea.Daladala lote unahoji kila abiria ili ujue ni shoga au la kabla kupokea au kukataa hela yake ya nauli

Pili Biblia inatamka watu kufanya kazi halali
Kutengeneza iPhone ni kazi halali na mtu kuinunua ni halali sababu imetokana na kazi halali

Dini mtu ukitekekeza ni rahisi sana kuwa mjinga tena aliyekubuhu
Mleta mada mrudie Mungu ili akili ikurudie
 
Tatizo kubwa ni watu kuacha dini .Mleta mada ujinga alioandika ni kwa sababu ya kupuuza dini

Biblia imeandika wazi kuwa mukienda sokoni hamtakiwi kuuliza uliza maswali kama hayo

Fikiria unaenda sokoni unaanza kuuliza kuwa huo.mchele nanunua ulilomwa na shoga au la ili uamue kununua au uko dukani au kondakta kwenye daladala unauliza pesa unayopewa unahoji hii pesa unayonipa wewe shoga au la kabla kupokea.Daladala lote unahoji kila abiria ili ujue ni shoga au la kabla kupokea au kukataa hela yake ya nauli

Dini mtu ukitekekeza ni rahisi sana kuwa mjinga tena aliyekubuhu
Mleta mada mrudie Mungu ili akili ikurudie
Dini zililetwa na wazungu na tukazipokea kwa mikono miwili

Wa Afrika tulikuwa na mila na tamaduni zetu

Usitake kujificha kwenye kichaka cha dini Zilizoletwa na wazungu Afrika

Mababu zetu hawakuwa na dini ya mzungu, Walifanya mambo kwa tamaduni zao

Wewe umeshapokea dini ya mzungu, Afrika hakukuwa na hizo dini za mzungu

Kama baadhi ya wazee wetu walivyopigana dini zisiingie Afrika ndio sasa kuna kundi linapinga ushoga usiingie Afrika

Kumbuka dini zili ingia kwa kutoa misaada kama nguo Afrika

Unawezaje kuzuia ushoga wakati unakula misaada ya mashoga na una promote bidhaa zao kwa kununua
 
Dini zililetwa na wazungu na tukazipokea kwa mikono miwili

Wa Afrika tulikuwa na mila na tamaduni zetu

Usitake kujificha kwenye kichaka cha dini Zilizoletwa na wazungu Afrika
Mila zetu pia na desturi zinatambua kazi halali na zinahimiza watu kufanya kazi halali kama kulima,kufuga na kutengeneza bidhaa mbalimbali

Kutengeneza Iphone ni kazi halali bayo hakuna mila wala desturi ya kabila lolote laweza pinga hiyo kazi kuwa si halali

Hivyo mtu kununua IPhone inayotokana na kazi halali kabisa ya kiwandani sio kosa
Sio swala tu la dini za kizungu au kiarabu
Inaonyesha wewe hata mila na desturi hujui.xinaongea nini kwenye maswala ya kazi halali

Ninvyokuona shida yako iko kote kwenye dini na mila na desturi kote uko mweupe kichwani kuhusiana na swala hili la watu kununua IPhone zilizotengenezwa na hao unawaita mashoga
 
Back
Top Bottom