Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Wewe ni Kati ya wale wanaume wasiojua nafasi zao kwenye jamii, na hiyo haikuondolei kosa la kutokuwajibika kama mwanaume
Polee
KINA MAMA NI TATIZO KUBWA KATIKA SUALA LA MALEZI MABOVU YA WATOTO. HUZALISHA WEZI, WAVUTA BANGI,MASHOGA NA WATOTO WA MAMA.
KWA HILI KINA MAMA HAMNA LA KUJITETEA. TEMBEA USWAZI UTAJUA NAMAANISHA NINI
 
Hiyo PHD hukuipata bure Mkuu, Heshima kwako.
 
acha kutumia jf kwanza ndo upaze saut kupinga ushoga
 
acha mitaa,makanisani,misikiyini,madaktari,wanasheria waandishi wa habari,wasanii na wacheza mpira wanakulana sana
 
Utandawazi Mama D
 
Hahahaaa ndio ni MAGAY.

Unatumia SIMU YA SHOGA halafu unajifanya hupendi ushoga?

Haiwezekanii.
Hata hiyo simu yako unayotumia ni mfumo wa compyuta kwa hio tu-conclude ww ni............kwa matumizi ya vitu vya namna ya kicompyuta. sivyoooooo? Unaleta vitu kwa emotions na sio fact, please prove with emperical data and not subjective data.
 
Ahsanteni sana Mods kwa kuunganisha nyuzi zinazoongelea Ushoga, msiishie hapo tu ili kufanya hizi mada zipungue, kila mada ihusuyo ushoga iwe inaunganishwa hapa itasaidia watu kukata tamaa maana wengi hawapendi nyuzi zao kuunganishwa na hatimae hizi mada zitapungua na kuisha kabisa humu ndani.

Nitakua nawatag kila nikiona mada ihusuyo ushoga ili tupunguze kelele [emoji28]

Moderator

Cookie

Maxence Melo
 
Nilichogundua humu ndani mashoga ni wengi sana,basi mjitangaze tu
wengi sana. kama hadi askari wenye sura ngumu namna ile ni gasho? zamani nilidhani wanaume wenye sauti ndogo au wasio wakakamavu tu ndio mapunga, nimekuja kugundua kati ya hao ni wachache sana wenye tabia hizo. wengi wao ni hao mabaunsa, watu ambao ukiwaangalia kwa kawaida sometimes unaweza usiamini hii dunia ilivyo.
 
Hoja, Pinga ushoga kwa vitendo sio maneno

Unaongea huku umebeba bidhaa yenye nembo ya mashoga mfano begin Halafu unasema unapinga ushoga

Kataa ushoga kwa vitendo sio maneno ndio hoja
shida yenu mashoga akili zenu zipo kwenye makalio. kwa hiyo kwako wewe unaamini kutumia iphone iliyotengenezwa na shoga ni kufanya ushoga? una akili kweli wewe?
 
Haya mambo wengi mnayajua kwa juu.

1: watu wengi mnalaumu wazungu kwamba ndio wanaleta ushoga. Wakati wazungu hao hao ndio waliotunga na kusimamia sheria za kuadhibu wafanyao mapenzi kinyume na maumbile hapo zamani kipindi cha ukoloni. Sasa baada ya miaka mingi wazungu kuwafunga na kuwaasi mashoga wengi, wakatambua ya kwamba ushoga ni likitu ambalo lipo tangia enzi na kupambana nalo ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma.

Embu fikiria serikali iajiri watu special kufwatilia MSM au iwaongeze majukumu mapolisi kuwakamata wafilaji, wakati kesi za jinsi tu zinawashinda kufwatilia kwa ufanisi, huku ni kuchoshana ukiangalia sehemu kubwa nchini bado hazijapelekewa huduma za kijamii. Waafrika tunapaswa kutumia akili kama wazungu kwenye kufikiri, hamna haja serikali kuingilia kati. Ukisema uwauwe hapo unapoteza nguvu kazi huku na wengine wanazaliwa. Ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

2. Watu wanapinga ushoga kwa kutumia vigezo vya vitabu vya kidini. Nashindwa kuelewa shida ipo wapi, ukisoma kwa uelewa mafundisho ya kikristo kuna mafundisho juu ya kuhukumu, kuna mifano juu ya mwanamke kahaba mbele ya bwana yesu, kuna visa juu ya miji ya Sodoma na Gomora.
Sasa kama mtu kweli kashika dini na ana imani ulimwengu huu tunapita, na endapo kipenga cha KIAMA kikipulizwa mda wowote, hata sasa kiroho safi anaingia kwenye ufalme wa Mungu. Sasa nini kuanza kukemea watu wasitende dhambi wakati wadhambi kardi wanavyokuwa wengi ndivyo KIAMA kinazidi kuwa karibu na ndivyo kuingia mbinguni kunakuwa karibu zaidi.

Kujifanya kujua kuhukumu sana pia unamkosea muumba, yaani unajiona una hekima kumzidi yeye, au unaona anafanya kazi ya hovyo. Kumbuka kwenye biblia imeandikwa Muumba anawapenda wote maadui zako na marafiki zako wote anawapatia mahitaji yao yote muhimu, anawaangazia jua na kuwapa hewa. Kristo mwenyewe aliomba msamaha kwa wale walio muua kwa sababu hawajui walitendalo. Na kristo alisema bila kufwata mwongozo wake mbinguni utakusikia kwenye bomba.
 
kuna siri gani imejificha katika masharti ya misaada tunayopewa na mataifa mbalimbali yenye nguvu kiuchumi?

Kwanini mambo mengi ya ushoga yanapotajwa tu gafla hoja ya misaada ya mabeberu inaibuka na kuwa sababu kuu ya kuenea kwa ushoga?

Misaada ni sababu pekee au kuna hoja nyingine zimejificha nyuma ya pazia?

Hili ni janga la kitaifa na linahitaji maswali mengi na majibu chanya katika jamii yetu.

Wadau naomba tuseme ukweli katika hili. Ni masharti ya misaada au mmomonyoko wa maadili?
 
Sasa IPHONE zinazotengenezwa china na Marijali can you compare Na software za mashoga software unaweza shika??
 
Tuanze kampeni ya kuwaua hao Mashoga watapungua kama kufanya Kwa uficho wa hali ya juu Sana na sio kujiachia kama yule mtangazaji.
 
Hizi habari za ushoga kila siku ninazisikia karibia kila sehemu…What’s happening?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…